Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, March 8, 2012

VODACOM YATOA WASHINDI 100 WA SH. ELFU 50 KILA MMOJA KATIKA DOO YA SIKU YA PROMOSHENI YA M-PESA


Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania,  Matina Nkurlu (kushoto)  akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50, 000 kila mmoja, wakati wa hafla ya kuchezesha droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom, Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid.

No comments: