Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, April 16, 2012

MELI YA TAWALIQ ILIVYOZAMA KATIKA MAJI

 
ILE meli maarufu kama Meli ya Magufuli ambayo Serikali ya Tanzania iiliansa katika Eneo lake la bnahari ya hindio ikivua samaki bila ya Kibali imenza kuzama baharini na imeharibika vibaya.

Inaelezwa kuwa Meli hiyo ya Twaliq 1 Machi 8, 2009 wakiwa samaki tani 293 aina ya Jodari ikivua samaki kwenye Ukanda wa Kiuchumi wa Tanzania (EEZ), bila kuwa na kibali

Meli ya Tawaliq 1 ilikamatwa ikiwa na wavuvi 34 na hadi kufikia tamati ya Kesi hiyo jumla ya wavuvi 20 walitiwa hatiani.

Lakini licha ya Mahakama kuamuru meli hiyo itaifishwe kwa sababu ilikuwa haijulikani na Tume inayojihusisha na shughuli za uvuvi katika Bahari ya India (IOCT) lakini meli hiyo imeanza kuzama kama inavuyoonekana pichani.

Kuzama kwa meli hiyo ni kutokana na kutoboka baadhi ya maeneo hivyo kuingiza maji ndani na kuzama.

No comments: