Waombolezaji
 mabo wengi wao ni makada wa CHADEMA wakiwa wamebeba sanduku 
lililohifadhi mwili wa Marehemu Bob Makani wakati mwili huo 
ulipofikishwa katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam kwaajili 
ya kutolewaheshima za Mwisho. 
Vioongozi
 wa juu wa Serikali akiwepo Rais Jakaya Kikwete (watatu kuli) Makamu wa 
Rais, Dk. Gharib Bilali(wapili kulia) Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman 
Mbowe (wa nne kulia) walihudhuria. 
rais Kikwete akishiriki kubeba sanduku hilo.
 
 
No comments:
Post a Comment