Msanii wa filamu nchini Vicent Kigosi 'Ray' akikabizi sehemu ya msaada 
uliotolewa na Kampuni ya Steps Entatainment ya jijini Dar es salaam leo 
kwa Mlezi wa kituo cha Maunga Centre   kilichopo Kinondoni Zainabu 
Bakari vyakula mbalimbali vimetolewa vyenye samani ya shilingi milioni 
moja na nusu katika kituo hicho kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya 
Steps, Ignatus Kambarage.Picha na Mpiga picha Wetu
Msanii wa Filamu Nchini Visent Kigosi 'Ray' katikati na Meneja Masoko wa
 Kampuni ya Steps.Ignatus Kambarage wakiwa katika picha ya pamoja baada 
ya lei kugawa vyakula mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima 
cha Maunga Centre vilivyotolewa na Kampuni ya Steps wakati wa Uzinduzi 
wa filamu yao Mpya ya Sobing Sound.Picha na Mpiga Picha Wetu
 
 
No comments:
Post a Comment