Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, November 9, 2011

SAIDA MWILIMA AVISHWA PETE YA UCHUMBA KWA MBINDE

 Mtangazaji wa Luninga Saida mwilima amevishwa pete ya uchumba hivi karibuni na mchumba wake wanotarajia kufunga ndoa hivi punde.
 Hii ndo pete aliovishwa mtangszaji wa kipindi cha Bongo beat cha Star Tv.
 Nasibu akiwa na mchumba wake Wema sepetu nao walialikwa .
Sauda mwilima akicheza muziki kwa furaha na mchumba wake baada ya kuvishana pete siku hiyo. 


  KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu pamoja na wanachama wengine 25 wa chama hicho wamekamatwa na kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali.
  Mbali na hao, mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe ametakiwa kujisalimisha mwenyewe polisi baada ya kutoweka katika Viwanja vya NMC Unga Limited baada ya polisi kufanya operesheni ya kushtukiza kuwatawanya mamia ya wafuasi wa chama hicho na viongozi wao waliokesha hapo usiku wa kuamkia jana. 
 Juzi, viongozi hao wa juu wa Chadema walitangaza kupiga kambi kwenye viwanja hivyo kwa siku tatu ikiwa ni shinikizo la kutaka mahakama itoe kibali maalumu cha kumtoa gerezani Kisongo, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye naye anatuhumiwa kufanya mkusanyiko usio halali.
  Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Akili Mpwapwa alisema jana kwamba viongozi hao walikamatwa alfajiri ya kuamkia jana baada ya polisi kuvamia mkutano huo wa mkesha.


Last night, NY’s Carnegie Hall hosted the 21st annual Glamour Women of the Year Awards, where several fabulously accomplished women in fashion, arts, politics, and social justice were honored. LaLa Anthony, Kerry Washington and Jennifer Lopez were in attendance.
LaLa Anthony



MUONEKANO MPYA WA 50 CENT
50 Cent
50 CENT akiwa katika pozi la suti na muonekano mpya kichwani na suti imemkaa vilivyo(stylish man)
50 Cent

BREAKING NEWS: HEAVY D AFARIKI DUNIA


1108_heavyd_EX_02
Legendary rapper Heavy D died earlier this afternoon at the young age of 44. 
The unfortunate news broke when hip-hop legend Grandmaster Flash tweeted "I was just told Heavy D passed away."
 Heavy D was most widely known for his role in the hip-hop group Heavy D & The Boyz, which included G-Whiz "Trouble" T. Roy, and Eddie F.

Best Dressed at The MTV Europe Music Awards

From on-stage nudity to over the top outfits, this year's EMA awards held in Belfast gave the audience a lot more to enjoy than just music.
 

Katy Perry and Jeremy Scott


 Pulling out all stops, expectedly, Lady Gaga chose to wear Manish Arora’s debut collection for Paco Rabbane. Jessie J too went the Indian path with her Falguni & Shane Peacock floor length dress. Holding the flag for American brands, Bar Rafaeli wore a custom-made Republic dress while Hayden Panettiere opted for a floral TIBI mini dress.

 Lady Gaga
While the host Selena Gomez changed her outfit a number of times, our favourite was her red carpet look in an age-appropriate Marchesa dress. Here our list of some of the best outfits at his year's award ceremony.


KOCHA WA MCHEZO WA NGUMI SUPER D KUDHURIA KOZI YA KIMATAIFA YA NGAZI YA JUU YA MCHEZO HUO

KOCHA wa timu ya ngumi ya Ashanti ya Ilala na Mkoa wa Kimchezo Ilala, Rajabu Mhamila 'Super D', ameteuliwa kuhudhuria mafunzo ya ngumi yaliyoandaliwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kwa kushirikiana na Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC).
Miongoni mwa makocha wa ngumi watakaoshiriki mafunzo hayo, ni mpiga picha wa Magazeti ya Business Time inayochapicha Magazeti ya Majira, Sports Starehe na jarida la Maisha, Mhamila ambaye maarufu kwa jina la Super D.
Super D mbali na kuwa kocha wa ngumi na mpiga picha, pia ni bondia wa zamani wa ngumi za ridhaa na kulipwa.
Akizungumza Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alisema kozi hiyo itawahusisha makocha wa mchezo wa ngumi nchini kuanzia Novemba 12, mwaka huu hadi 20, ambapo itafanyika wilayani Kibaha, Pwani.
Mashaga alisema Mkufunzi wa kozi hiyo atatoka nchini Algeria, ameteuliwa na Chama cha Ngumi Ridhaa cha Dunia (AIBA), ambapo makocha 30 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara, wameteuliwa kushiriki.
Mashaga alisema makocha hao wamechaguliwa kwa kuzingatia mchango wao katika ushiriki wa matukio mbalimbali ya BFT, hasa mashindano kwa kuleta timu au mikoa yao kushiriki mashindano mbalimbali yaliyoandaliwa na BFT.
"Baadhi ya makocha hao, walipata mafunzo ya awali yaliyoandaliwa na BFT, watakaofuzu mafunzo haya, watatambuliwa na kuingizwa katika kumbukumbu za AIBA," alisema Mashaga.
Alisema makocha hao wataweza kufundisha mchezo huo popote duniani na kuruhusiwa kushiriki mashindano yote ya kimataifa kama makocha katika mashindano yatakayoandaliwa kwa kufuata sheria za AIBA.
Alisema kwa uzoefu wao BFT, wanategemea mara baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo, kutakuwa na ushindani wa uhakika kutoka kwa makocha hao.
Mashaga alisema kwa msingi huo, wanatarajia kupata ushiriki wenye tija katika mashindano kufuzu kushiriki katika mashindano ya Olimpiki 2012, London Uingereza.
nae Super D aliongezea kwa kusema kozi hiyo imekuja wakati muafaka kwa kuwa dhamira yake ni kukuza na kuendeleza mchezo wa ngumi kimataifa Super D ambaye sasa ni muhandaaji wa nafunzo ya ngumi kwa njia ya DVD ambao huwa anaweka matukio mbalimbali ya mapambono ya ngumi za Dunia wakiwemo Floyd Mywherther, Manny Paquaio,Mohamedi Ali, Davidi Haye, mike Tayson na wengine wengi DVD hizo za mafunzo zinapatikana makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi au katika kambi ya ngumi ILala na klabu ya AShanti nayo ya Ilala.

Tuesday, November 8, 2011

BREAKING NEWS: ANASWA NA UMEME AKIIBA MAFUTA YA TRANSFOMA

   Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake amenaswa na umeme wa transfoma usiku wa kuamkia leo katika eneo la Hospitali ya Bugando jijini Mwanza na kufariki dunia papo hapo.
  Taarifa za uchunguzi zinamtaja mtu huyo ambaye inasemekana kuwa alikuwa katika mchakato wa kuiba mafuta ya transfoma hilo, wakati akifanya wizi huo alinasa mara baada ya kuegemea bila kujua moja ya nyaya zilizokuwa na umeme.

Mafundi wa umeme kutoka Tanesco wakipanda kuunasua mwili wa jamaa huyo.
Kutokana wizi huo baadhi ya maeneo ya jiji la Mwanza hususani eneo la Hospitali ya Bugando na maeneo yake ya jirani yamekosa umeme usiku mzima hadi leo na baadhi ya shughuli kusimama kwa kukosa nishati ya umeme.
Asubuhi ya leo mashuhuda kutoka sehemu mbalimbali walimiminika kwenye tukio hilo la kutisha na kuona hatua kwa hatua za ushushaji wa mwili wa mwizi huyo wa mafuta ya transfoma.
TANESCO kupitia kitengo chake cha usalama, kimekuwa kikifuatilia kwa ukaribu hali hiyo, ili kupambana na wizi huo na licha ya kuwakamata baadhi ya wahalifu ambao baadhi yao walifikishwa mahakamani na kesi zao bado zinaendelea kusikilizwa kwenye mahakama mbalimbali hapa nchini bado wizi unafumuka kwa kasi tena ya ajabu chanzo kikuu kikitajwa kuwa ongezeko la mahitaji.
Kila kukicha TANESCO imekuwa ikingia gharama katika kununulia vifaa vilivyoibwa badala ya kuendeleza maendeleo ya miradi ya umeme nchini.

VICTORIA'S SECRET FASHION SHOW 2011 YAFANA

Adriana Lima
Chanel Iman

Although the show won't air until November 29th, the 2011 Victoria's Secret Fashion Show is being filmed this Wednesday and, like the shows in the past, this one is sure to amaze!

REAL MADRID INA NAFASI KUBWA KUNYAKUA UBINGWA ISPANIA



Inawezekana ikawa ni mapema sana, lakini baada ya kuvuka vikwazo kadhaa katika rounds za mwanzo Primera Division, Real Madrid tayari wameanza kuonekana kama mabingwa.
Mapema jumapili, Madrid hawakuonyesha ishara zozote za kusinzia baada ya kuwatandika Osasuna 7-1 at Santiago Bernbeau. Ushindi wa 10 mfululizo kwa vijana wa Mourinho katika mashindano yote – na saba kati ya 10 ni ushindi katika Primera division. Hii ni form ya ubingwa.


 BREAKING NEWS:SARATANI YAMUUA BONDIA  JOE FRAZIER
1107_joe_frazier_bn
Joe Farazier the former world heavyweight Champion of the world has died from cancer. He was 67 years old. Joe's family alerted the media of the information earlier this evening(kwa time kibongo ni alifajiri ya leo). 

Monday, November 7, 2011

PRINCE CHARLES ALIVYOPOKELEWA IKULU NA RAIS KIKWETE



Mtoto wa Malkia wa Elizabeth wa Uingereza,Prince Charles na mkewe Camilla wakiwa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Dkt Jakaya Kikwete katika ikulu ya Ikulu ya Dar es salaa.

Prince Charles akiweka saini yake  kwenye kitabu cha kumbukumbu ya wageni mashuhuri.

Dkt Rais Kikwete na Mama Salma kikwete wakiwa na wageni wao Prince Charles na mke wake Camilla ikulu leo jijini Dar es salaam.

KEVIN LITTLE ARUDI UPYA KWENYE GEMU
kevin_lyttle_soca_r%26b.jpgInternational soca pop star Kevin Lyttle returns with the sweet vocals that made him a household name on his new joint, "Wine Go Down," released on his very own Tarakon Records. The singer/songwriter teams up with Richy Peña, talented music producer of the Latin Grammy-Winning Album Mi Niña Bonita, for the sizzling single that he's taking to the 2012 carnival season and across the globe.
"This tracks depicts the reality of where I come from and the type of creation in music that has made me successful," reveals Lyttle, on his inspiration for the song. "I really didn't want to do another 'Turn Me On' so I came back with something that is still classic Kevin Lyttle but something that's still original."
Recently completing his Miami-based studio, Lyttle has been busy recording with various producers and touring the world. From China, Japan, Egypt, Thailand, Sri Lanka, Dubai, Abu Dhabi, India, Australia, Suriname and throughout Europe, he continues his journey as a globe-trotting Caribbean music ambassador.


LINDSAY AACHIWA HURU LEO
1106-lindsay-lohan-tmz-EX 
Lindsay Lohan has been released from jail -- a mere 4.5 hours after she checked in.
As we first reported, Lindsay checked into the Century Regional Detention Facility in Lynwood, CA last night at 8:48 PM PST to begin serving her 30-day jail sentence.


Slimm left Vivica? What the hell is going on?
If you’re wondering what is going on between Slimm and Vivica Fox, we have news for u. Apparently these two decided to split. According to Slimm , he’s the one who walked away from the relationship. He told Too Fab:
She’s a good woman, it’s just one of those situations where in life people outgrow each other. I’m highly intelligent, very wise and one thing I hate is negativity and drama, I hate arguing, and I value communication no matter what the problem may be. So as in any relationship, tension can build up and I finally had to walk away.
I was only in it for love and it just didn’t work out. Even though she was older than me the age difference didn’t play a part.

MISS WORLD 2011 AWA IVIAN SARCOS (VENEZUELA)

Miss Venezuela 2010 WinnersHATIMAYE kitendawili cha nani ataibuka Malkia wa Dunia 2011, kimeteguliwa kwa Miss Venezuela2011, Ivian Sarcos usiku wa Jumapili Novemba 6, 2011 kufanikiwa  kutawazwa kuwa Malkia Mpya wa Taji la Urembo la dunia “Miss World 2011, hulku matumaini ya Tanzania kupitia kwa Miss Tanzania 2011, Salha Izrael Kifai yakigonga mwamba kwa mara nyingine tena katika mashindano hayo.
Vanessa Andrea Goncalves Gómez was born on February 10, 1986, in Nuestra Señora del Rosario de Baruta.
Katika shindano hilo la aina yake lililofanyika katika ukumbi wa Earls Court in London, Sarcos mwenye umri wa miaka 21 alifanikiwa kuwatupa nje zaidi ya warembo 100 kutoka nchi mbalimbali Duniani katika shindano hilo ambalo lilikuwa ni la 61 tangu kuanzishwa kwake.
Nafasi ya pili ilikwenda kwa Miss Philippines 2011, Gwendoline Ruais na nafasi ya tatu ikienda kwa Miss Puerto Rico 2011, Amanda Perez.

Bara la Afrika lilifanikiwa kuingiza warembo wawili katika hatua ya makundi ya 15 bora ambapo mrembo kutoka nchini Zimbabwe na jirani zao Afrika Kusini ndio waliolitoa kimasomaso bara hilo.
Afrika tena ikabahatika kuingia katika hatua ya 7 bora ya Miss World pale mrembo kutoka Afrika Kusini alipofanikiwa kuingia katika hatua hiyo.
Shindano hilo lilianza kufanyika saa 2 usiku kwa saa za Afrika Mashariki lilipambwa na burudani mbalimbali za muziki kutoka kundi la Vijana wa Uingereza la street dance troupe Diversity, wakifuatiwa na utambulisho wa Washiriki wote wa Miss World 2011.

Shindano hilo lilifikia tamati pale Miss World 2010 Alexandria Mills alipopanda jukwaani na kumvika taji Sarcos. 
Miongoni mwa majaji wa shindano hilo alikuwa ni washindi wa taji la Miss World ambapo alikuwepo  Miss World 1976, Cindy Breakspeare , Miss World 2001, Agbani Darego kutoka Nigeria,Miss World 2007, Zhang Zilin na Miss World 2009, Kaiane Aldorino.

Aidha warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya 15 bora ni kutoka nchi za Indonesia, Korea, Italy, Sweden, Zimbabwe, Kazakhstan, Ukraine, Venezuela, Philippines, US VI, Spain, Puerto Rico, Afrika Kusini, Scotland na wenyeji Uingereza.
Huku hatua ya kundi la warembo 7 bora nafasi hizo kuchukuliwa na nchi za Korea, Venezuela, Uingereza , Philippines, Puerto Rico, Afrika Kusini na Scotland.

REDD'S UNI FASHION -KILIMANJARO

Mmoja wa washiriki akipita mbele ya majaji wakati wa shindano la Redds Uni Fashion Bash lililofanyika mjini Moshi
Baadhi ya washiriki wa shindano hilo wwakiwa wamejipanga jukwaani wakati wa shindano hilo la fainali ilifanyika katika ukumbi wa Glaciers Inn Moshi mjini Moshi.
Moja kati ya burudani zilizotolewa kwenye tamasha hilo ikiendelea kwa mtindo wa Sarakasi na kuwa kivutio kikubwa-kundi hili.

Olivia Discusses Kissing Maino, New Boyfriend And Love & Hip Hop Drama

Olivia and Maino are one of those confusing couples. You just don’t know whether they are cute together or kind of odd…
On Friday, G-Unit’s former first lady turned reality TV star called into WGCI’s Tony Sculfield & The Morning Riot Show to talk about the recently released pictures of her kissing Maino. She also dished on her new boo, NBA star Tarence Kinsey, who is currently playing overseas and his reaction to the photos. Rounding out the interview, Olivia talked about ‘Love and Hip Hop and claimed that this season would definitely trump every season of any reality show you’ve ever watched.

Sunday, November 6, 2011

PRINCE CHARLES KUPOKELEWA NA MABANGO YAKUPINGA USHOGA TANZANIA

                                      Baada ya Serikali kutoa msimamo wake juu ya masharti ya Serikali ya Uingereza kutoa misaada kwa nchi masikini ikiwamo Tanzania, ziara ya mtoto wa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II, inatarajiwa kupokewa na mabango ya kupinga masharti hayo. 
  Prince Charles na mkewe Camilla, wanatarajiwa kuwasili nchini jioni ya leo kwa ziara ya siku tatu nchini, ambapo wanaharakati nchini wamepanga kumpa ujumbe wa kupinga masharti ya misaada kwa kulinda haki za mashoga nchini.
  Waandamanaji wenye mabango kwa mujibu wa habari zilizopatikana jana Dar es Salaam, watajipanga katika maeneo atakamopita mgeni huyo, wakiwa na mabango yanayounga  mkono kauli ya Serikali kulaani tishio la Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, la kukata misaada kwa nchi ambazo hazitaruhusu ushoga.
 
 Kitendawili cha nani atavaa taji la Miss World 2011 kinataraji kuteguliwa leo wakati wa Fainali za mashindano hayo zitakapo fanyika katikaukumbi wa Earls Court ndani ya jiji la London Uingereza. 
 Tanzania katika mashindano hayo ya urembo ambayo ni makubwa Duniani inawakilishwa na Miss Tanzania 2011, Salha Izarael Kifai. Tyari mapema wiki hii Salha alifanikiwa kuingia katika 16 bora ya shindano dogo la Beauty with Purpose. Blogu hii ya Father Kidevu inaungana na watanzania wote popote pale ulimwenguni kumtakia kila la heri Salha katika mashindano hayo. Mungu Mbariki Salha, Mungu ibariki Tanzania.
  Miss World 2011, the 61st edition of the Miss World pageant is scheduled to take place at the Earls Court Two on November 6, 2011 in London. As part of the events, the contestants also traveled to Edinburgh, Scotland between October 23 and October 27.. Alexandria Mills of the United States will crown her successor at the end of the event. Although over 120 delegates were expected to compete, problems regarding the timely acquisition of visas prevented several candidates from participating, thus reducing the final number to 115.