 
Legendary rapper Heavy D died earlier this afternoon at the young age of 44. 
 
The unfortunate news broke when hip-hop legend Grandmaster Flash tweeted "I was just told Heavy D passed away."
 Heavy D was most widely known for his role in the hip-hop group Heavy
 D & The Boyz, which included G-Whiz "Trouble" T. Roy, and Eddie F.
From on-stage nudity to over the top outfits, this year's EMA 
awards held in Belfast gave the audience a lot more to enjoy than just 
music. 
 
 
Katy Perry and Jeremy Scott
 Pulling out all stops, expectedly, Lady Gaga chose to wear Manish 
Arora’s debut collection for Paco Rabbane. Jessie J too went the Indian 
path with her Falguni & Shane Peacock floor length dress. Holding 
the flag for American brands, Bar Rafaeli wore a custom-made Republic 
dress while Hayden Panettiere opted for a floral TIBI mini dress.

 Lady Gaga
While the host Selena Gomez changed her outfit a number of times, our 
favourite was her red carpet look in an age-appropriate Marchesa dress. 
Here our list of some of the best outfits at his year's award ceremony.
KOCHA WA MCHEZO WA NGUMI SUPER D KUDHURIA KOZI YA KIMATAIFA YA NGAZI YA JUU YA MCHEZO HUO
  

 
KOCHA
 wa timu ya ngumi ya Ashanti ya Ilala na Mkoa wa Kimchezo Ilala, Rajabu 
Mhamila 'Super D', ameteuliwa kuhudhuria mafunzo ya ngumi yaliyoandaliwa
 na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kwa kushirikiana na 
Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC).
Miongoni mwa makocha wa ngumi 
watakaoshiriki mafunzo hayo, ni mpiga picha wa Magazeti ya Business Time
 inayochapicha Magazeti ya Majira, Sports Starehe na jarida la Maisha, 
Mhamila ambaye maarufu kwa jina la Super D.
Super D mbali na kuwa kocha wa ngumi na mpiga picha, pia ni bondia wa zamani wa ngumi za ridhaa na kulipwa.
Akizungumza
 Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alisema kozi 
hiyo itawahusisha makocha wa mchezo wa ngumi nchini kuanzia Novemba 12, 
mwaka huu hadi 20, ambapo itafanyika wilayani Kibaha, Pwani.
Mashaga
 alisema Mkufunzi wa kozi hiyo atatoka nchini Algeria, ameteuliwa na 
Chama cha Ngumi Ridhaa cha Dunia (AIBA), ambapo makocha  30 kutoka mikoa
 mbalimbali ya Tanzania Bara, wameteuliwa kushiriki.
Mashaga 
alisema makocha hao wamechaguliwa kwa kuzingatia mchango wao katika 
ushiriki wa matukio mbalimbali ya BFT, hasa mashindano kwa kuleta timu 
au mikoa yao kushiriki mashindano mbalimbali yaliyoandaliwa na BFT.
"Baadhi
 ya makocha hao, walipata  mafunzo ya awali yaliyoandaliwa na BFT, 
watakaofuzu mafunzo haya, watatambuliwa na kuingizwa katika kumbukumbu 
za AIBA," alisema Mashaga. 
Alisema makocha hao wataweza 
kufundisha mchezo huo popote duniani na kuruhusiwa kushiriki mashindano 
yote ya kimataifa kama makocha katika mashindano  yatakayoandaliwa kwa 
kufuata sheria za AIBA.
Alisema kwa uzoefu wao BFT, wanategemea 
mara baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo, kutakuwa na ushindani wa 
uhakika kutoka kwa makocha hao.
Mashaga alisema kwa msingi huo, 
wanatarajia kupata ushiriki wenye tija katika mashindano kufuzu 
kushiriki katika mashindano ya Olimpiki 2012, London Uingereza.
nae
 Super D aliongezea kwa kusema kozi hiyo imekuja wakati muafaka kwa kuwa
 dhamira yake ni kukuza na kuendeleza mchezo wa ngumi kimataifa Super D 
ambaye sasa ni muhandaaji wa nafunzo ya ngumi kwa njia ya DVD ambao huwa
 anaweka matukio mbalimbali ya mapambono ya ngumi za Dunia wakiwemo 
Floyd Mywherther, Manny Paquaio,Mohamedi Ali, Davidi Haye, mike Tayson 
na wengine wengi DVD hizo za mafunzo zinapatikana makutano ya barabara 
ya Uhuru na Msimbazi au katika kambi ya ngumi ILala na klabu ya AShanti 
nayo ya Ilala.
 
No comments:
Post a Comment