fULL MZUKA HAKUNA ALIEFUNIKWA JANA SUGU NA FABOLOUS NGOMA DROO KWA WATU.
lAZIMA TUKUBALI SUGU NI SUGU TU HAKUWA NA MDHAMINI LAKINI KAFUNIKA ILE MBAYAAA 
ST8 MUZIK NDANI YA LEADERS 2011
 Mwanamuziki
 wa hip hop toka nchini Marekani Fabolous akikamua kwenye tamasha hilo 
lililo hapen katika viwanja vya Leaders jijini Dar na kuhudhuriwa na 
bonge la nyomi
Mwanamuziki
 wa hip hop toka nchini Marekani Fabolous akikamua kwenye tamasha hilo 
lililo hapen katika viwanja vya Leaders jijini Dar na kuhudhuriwa na 
bonge la nyomi
 Msanii wa Hip hop toka bongo land Jay Mo akikamua sanjari na mwana hip hop mwenzie Mchizi Mox
Msanii wa Hip hop toka bongo land Jay Mo akikamua sanjari na mwana hip hop mwenzie Mchizi Mox
 Simba mzee, Mfalme asiyevuliwa taji Selemani Msindi aka Afande Sele alikosha kisasawa mashabiki walo hudhuria tamasha hilo.
Simba mzee, Mfalme asiyevuliwa taji Selemani Msindi aka Afande Sele alikosha kisasawa mashabiki walo hudhuria tamasha hilo. Masoja Long time kitambo wanaitwa Gangwe Mobb.
Masoja Long time kitambo wanaitwa Gangwe Mobb.
 
 






No comments:
Post a Comment