MLIMA
 Kilimanjaro uliopo nchini na ambao ni mrefu kupita yote barani Afrika, 
umetupwa nje ya orodha ya Maajabu Saba mapya ya dunia yaliyotangazwa 
juzi usiku.  Taarfia
 hiyo ilitolewa juzi na Eamonn Fitzgerald ambaye ni msemaji wa ‘New 
Seven Wonders’ taasisi iliyokuwa ikiratibu upigaji kura kwa vivutio 
vipatavyo 28 dunia nzima, vilivyoingia fainali za ‘Maajabu Saba Mapya ya
 Asili.
’  Fitzgerald
 alibainisha upigaji hafifu wa kura kutoka Tanzania ulishindwa kuupa 
nguvu mlima Kilimanjaro ambao hata hivyo ulikuwa ukikusanya mamilioni ya
 kura kutoka nchi zingine za Ulaya na Amerika kwa zaidi ya asilimia 95. Fitzgerald
 ameutaja ‘Mlima Meza’ (Table Mountain) ulioko katika Jiji la Cape Town,
 Afrika Kusini kuwa miongoni mwa maajabu saba mapya ya dunia. 
 Mlima
 Meza na Kilimanjaro ndivyo vilivyokuwa vivutio pekee kutoka barani 
Afrika vilivyofanikiwa kuingia kwenye fainali ya mbio hizo za kimataifa.
  Hivi
 sasa maajabu mapya saba ya asili ya Dunia ni pamoja na msitu mnene wa 
mvua wa Amazon ulioko Amerika ya Kusini, Maporomoko ya Iguazu yaliyoko 
Argentina, Kisiwa cha Jeju kilichopo Korea Kusini, Mto wa Chini ya ardhi
 ujulikanao kama ‘Puerto Princesa’ ambao uko Ufilipino na Mlima Meza 
(Table Mountain) wa Afrika Kusini.
BONDIA MANNY PAQUAIO AMDUNDA JUAN MANUEL KWA POINTI
 Manny
 Pacquiao celebrates his majority decision victory against Juan Manuel 
Marquez in the WBO world welterweight title fight at the MGM Grand 
Garden Arena on November 12, 2011 in Las Vegas, Nevada. Photograph: 
Ethan Miller/Getty.
Manny
 Pacquiao celebrates his majority decision victory against Juan Manuel 
Marquez in the WBO world welterweight title fight at the MGM Grand 
Garden Arena on November 12, 2011 in Las Vegas, Nevada. Photograph: 
Ethan Miller/Getty.BREAKING NEWZ:MGUNDUZI AFARIKI DUNIA
Evelyn Lauder, daughter-in-law of Estee 
Lauder, and part-creator of the pink breast cancer symbol, passed away 
yesterday from complications of nongenetic ovarian cancer. Check out the
 details...
 
 

No comments:
Post a Comment