Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, November 1, 2011

LUCY MWITA MREMBO WA KIKULYA MWENYE KITU CHA ZIADA

          Lucy mwita.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
                 Karibu Tanzania kuna vivutio vingi pembezoni mwa bahari ya Hindi.
 
 
 
 
 
  Lucy Mwita ni mrembo mwenye miaka 23 ana elimu ya diploma ya utawala wa biashara anapendelea kuogelea na kusikiliza muziki,anapenda kusifiwa.
   Mrembo huyu wa kikulya ni mkazi wa g'mboto jijini Dar anapenda kula wali na samaki na yupo katika mahusiano na mpenzi wake.
   Rangi aipendayo ni Green apple na matarajio yake ya baadae nikuwa mfanyabiashara wa kimataifa 


NDOA YA KIM KARDASHIAN NA KRIS HUMHRIES VIPANDE VIPANDE!!

Kim Kardashian and Kris Humphries have confirmed they are headed towards divorce.

After living in not-so-wedded-bliss for 72 days, Kim filed for divorce this morning and has already confirmed that the rumors are true.



Miss Tanzania 2011, Salha Izrael Kifai akipita jukwaani na vazi la jioni wakti wa shindano maalum la kumtafuta Top Model wa Dunia ikiwa ni moja ya sehemu ya shinjdano la Miss World 2011. Pia Sahla alishinriki katika shindano lingine la Ufukweni hapo awali.

No comments: