Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, November 5, 2011

WEMA SEPETU ADUNDWA KAMA MWIZI NA DIAMOND

    Diamond na Wema walikuwa wamepumzika mchana, ghafla jamaa alichukua simu ya Wema na kuanza kusoma sms, ndipo alipokutana na moja iliyoshiba mapenzi kutoka kwa mwanaume ikionesha kama wana uhusiano toka zamani,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Diamond hakutaka kuhoji zaidi, kilichofuata ni kipigo ambacho Wema hawezi kukisahau.”
     purukushani kubwa ambapo Wema aligeuka bondia  kwa kupangua makonde ya Nasibu
Ilidaiwa kuwa staa huyo wa filamu hakufua dafu kwani Diamond alipeleka konde moja matata kama lile la Miyeyusho kwa Matumla hivyo kumwachia michoro ya makofi usoni huku akimsababishia mrembo huyo kutosikia vizuri hadi sasa.
   Baada ya kumuona paparazi wetu, Wema alihoji kulikoni ambapo alimwagiwa ‘upupu’ wote na kupewa nafasi ya kufunguka juu ya ishu hiyo.
  Kwanza alianza kwa kusita, lakini baadaye alifunguka: “Jamani mapenzi nyie acheni tu, ni kweli alinipa ‘mbata’, lakini hayo ni mambo ya kimapenzi tu kwa sababu mimi mwenyewe nasikia raha sana nikipigwa na mpenzi wangu.
  “Asikwambie mtu, bila kunipiga atakuwa hana wivu na mimi, lakini alivyonipiga amethibitisha anavyonipenda.
  ”Nampenda Diamond na nitampenda maisha yote, kama ni vipigo sijali acheni nitoke manundu.” .....ha ha ha utajuta kupenda wema..na bado.



BIEBER NA SELENA HAPATOSHI..!!

 Justin Bieber's life has been turned upside this past week with rumors that he fathered a child with 20-year-old Mariah Yeater.

DETAILS: Justin Bieber Slammed With Paternity Suit!

 Although Justin has denied the rumors and has taken to twitter to show that he's sticking to the positive, rumors have now come out that his boo of eight months, Selena Gomez is leaving him because of the scandal.

 Could this be true? Would Selena break up this picture perfect relationship and disappoint the millions of diehard fans that have been rooting for them?

Thankfully, the answer is no!

BONDIA FRANCISI MIYAYUSHO ANDELEA KUSHEREKEA UBINGWA KINONDONI

Bondia Fransic MIyayusho wa pili kulia akiwa katika picha ya pamoja na promota wake Mohamedi Bawaziri na kushoto ni Mdau wa michezo Wilaya ya KInondoni Prosper Mzee pamoja na kocha wake msaidizi kulia
Msanii Recho akiongea wakati wa sherehe ya kumpongeza bondia huyo mwenye masumbwi yakufa mtu.

Jamaica's Dancehall Vixen Toya Is the Face of Sensuality in Norway

toya_norway_jamaica_dancehall.jpgDownsound Records' sultry Dancehall diva Toya will add some Caribbean heat to Scandinavian households this fall, with a special appearance on Cruiseliv, a brand new travel series on TVNorge in Norway. Broadcast to 25 million Scandinavian homes on November 23rd, Toya will be featured on episode that focuses on the sensuality of young Jamaican women.
With her racy single "One Man Woman," featuring Dancehall king Beenie Man bubbling in the top ten on the local charts, and her latest club-banger "You A Life" in heavy radio rotation, the bold and sassy 23 year old was a natural choice for the Cruiseliv episode about sexuality and Jamaican women.
"I am a young, fresh face, and my style and the way I carry myself is naturally sexy," says LaToya 'Toya' Jackson. "Recently, I've been attracting international attention, filming in the United States, and now doing a television show for Norway about Jamaica and Jamaican women. It's very exciting."

No comments: