Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, January 29, 2011


5 HOTTEST VICTORIA"S SECRET MODELs

1: Heidi Klum

A lot of debate went into this ranking, but when the dust settled we had to name Heidi Klum the hottest Victoria’s Secret model of all time. In all fairness however, any of the top seven would have fit, and I’m sure arguments could be made for many of the other girls in this list. In the end though, it has to be Klum. She’s managed to stay at peak hotness for something like fifteen years now, and for that alone she deserves the top spot.

 2: Laetitia Casta

 mEasily one of the most iconic faces in the history of Victoria’s Secret. Casta has been on the cover of more than 100 magazines and has been featured in Guess, Tommy Hilfiger, and XOXO campaigns.

3: Gisele Bundchen

 

The inspiration for this list, Bundchen has been hot tabloid fodder ever since she started dating Tom Brady. She’s the face of more than 20 brands internationally and is supposedly worth over $150 million. Actually dated Leonardo DiCaprio before hooking up with Tom Brady, which means DiCaprio might be the luckiest bastard on the face of the planet considering he landed Bar Refaeli following Gisele.

4: Alessandra Ambrosio

 Tyra Banks has anointed Ambrosio “The future of the modeling world” and it’s not too tough to see why. Actually had her ears pinned back when she was 11 years old, and has since sworn off plastic surgery after having numerous complications. Has made cameos on Entourage as well as the film Casino Royale. 

5: Adriana Lima

 A Victoria’s Secret angel since 2000, Lima is also well known for being a spokeswoman for Maybelline, as well as her numerous magazine cover appearances.




 WATANZANIA KUSHTAKIWA UINGEREZA
WAMILIKI wa mashine za kuchambua pamba nchini wamefunguliwa kesi katika mahakama ya Usuluhishi ya Pamba iliyoko Liverpool, Uingereza, kutokana na kuporomoka kwa uzalishaji.
Watanzania hao walifikishwa katika mahakama hiyo baada ya zao hilo kuporomoka kwa asilimia 30 katika kipindi cha kilimo cha msimu uliopita wa mwaka 2010 hatua iliyosababisha kushindwa kukusanywa kwa tani 260,000 za zao hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Mbunge wa Kasulu Mjini Moses Machali (NCCR-Mageuzi) alisema amelazimika kuwasilisha hoja binafsi bungeni kujadili suala hilo.
“Matokea ya kuadimika kwa zao hilo ni kwamba wamiliki wa mashine za kuchambulia pamba wanadaiwa na wanunuzi toka nje na tayari wengi wao wameshashtakiwa kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa zao la Pamba Liverpool Uingereza,” alisema Machali.
Machali aliitaka serikali kupitia Wizara ya Kilimo na Chakula kutoa maelezo ya kina juu ya suala hilo ambalo linaweza kuitikisa nchi kama ilivyo kwa sakata la Dowans.
Alisema wamiliki hao wachache waliofikishwa mahakamani wanadaiwa zaidi ya sh bilioni 10 huku kukiwa na uwezekano wa kuongezwa wamiliki zaidi ya 38 jambo ambalo litaigharimu nchi.
Alisema aliwasilisha barua kwa Katibu wa Bunge kutaarifu dhamira aliyonayo kwa ajili ya kuwasilisha hoja binafsi katika Bunge litakaloanza Februari 8 mwaka.
Mbunge huyo alisema kama hoja hiyo haitajadiliwa mapema na kutolewa ufafanuzi kuna hatari kwa wamiliki wote ambao ni zaidi ya 38 kufikishwa kwenye mahakama hiyo na kufilisiwa mali zao jambo ambalo ni hatari kwa uchumi wa taifa.
Alieleza tatizo lingine linaloweza kulikumba taifa ni kwa wakulima wa zao hilo wanaotarajia kulima kutakata tamaa na kuachana nalo hivyo kupunguza kasi ya kukuza pato la ndani.

HUKU NDIKO MTAANI KWATU
 siku hizi ndo staili za kutegana kijiweni
Hizi ni bata  ama laana ...dunia imekwisha!!

No comments: