Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, January 19, 2011

JESHI LA POLISI LANASA VIPUSA VYA FARU JIJINI MWANZA


Polisi mkoani Mwanza, imewakamata watu wawili akiwamo afisa wa wanyama pori, Allchraus Jacob (31),na Kasika John (44) ambaye ni mkuluma wa wilayani Bunda, wakijaribu kuuza pembe za kifaru maarufu kwa jina la George (12) akifahamika kama faru wa Rais Jakaya Kikwete, aliyeuawa na majangili, Desemba mwaka jana. Jeshi hilo limekamata Vipusa vya Faru vikitembezwa sokoni kutafuta Mteja, Inasemekana kuwa pembe hizi za faru (Vipusa) hutumika kutengenezea dawa ya kuongeza nguvu za Kiume huko katika nchi za Falme za Kiarabu, Japan, Korea na hata china ambako vinasoko kubwa sana.

#####WAKATI HUO HUO jeshi la polisi mkoani mwanza lanawashikilia watu wanne, wawili kati yao wakiwa na bunduki aina ya SMG na risasi 64 ambazo zilikuwa zimefichwa ndani ya begi la nguo zikisafirishwa kwenda wilayani Geita..Kaimu wa polisi amesema kuwa watuhumiwa ambao walikamatwa na begi hilo la silaha walijitambulisha kama mke na mume na kwamba walikuwa wakielekea katika kijiji cha Bukondo wilayani Geita.

Ndani ya begi hilo kulikuwa na viatu vya kike, panga moja na shoka ambavyo vilikuwa vimefungwa katika mfuko wa sandarusi pamoja na vikaratasi vidogovidogo vilivyokuwa vimefungwa dawa mbalimbali za mitishamba ambavyo walidai kuwa ni hirizi za dawa za kusaidia wakati wa matukio ya ujambazi.

Baada ya kuwakamata watu hao waliweza kuwataja wenzao ambao walikuwa bado hawajaondoka Mwanza kuungana nao katika shughuli zao za uharamia, ambao nao waliweza kukamatwa eneo la Nyegezi wakiwa na mkakati wa safari kuelekea ambako walipanga kufanya uhalifu mwingine..


 KIINGLIO CHA SIMBA NA ATLETICO BWERERE...!!


Rais wa Kampuni ya RPB, Rahma Al Kharoous, akizungumza na waandihi wa habari baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki katika ya Yanga na Atletico ya Brazir uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa leo jioni.

KUTOKANA na muitikio mdogo wa mashabiki wa soka waliojitokeza kushuhudia mchezo wakirafiki baina ya Yanga ya Dar es Salaam na Atletico Paranaense ya Brazir kwenye Uwanja wa Taifa leom, Rais wa Kampuni ya RPB Oil, Rahma Al Kharoous, amesema kuwa mchezo wa keshokutwa kati ya Simba na timu hiyo kiingilio itakuwa ni bure.
Akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Rahma, ambaye ndiye mratibu wa michezo hiyo ya kirafiki, alisema kuwa ameamua kufanya kiingilio kuwa bure ili mashabiki wengi waweze kujitokeza kushuhudia mchezo huo na kuishangilia timu ya Simba ili kuwapa morari waweze kushinda.

Aidha alisema kuwa iwapo Simba itaweza kuibuka na ushindi basi ataigharamia timu hiyo ya Simba kuisafirisha hadi nchini Brazir kwa ajili ya mchezo wa marudiano na kuwataka mashabiki wengi kujitokeza kushuhudia mchezo huo.

Ndugu mtazamaji kama unavoona mechi ya jana kwenye picha watu walikuwa kidogo sana kulinganisha na ukubwa wa mechi hiyo
  JE UTAMADUNI HUU HAUMZALILISHI MTU KINSIA?...WADAU....!!!
 Makirikiri walipoanza show yao Usiku wa kuamkia Januari 15, 2010 katika kumbi wa Wenge Garden Ukonga Mombasa Dar es Salaam.
 Staili hizi ziliwakosha sana wapenzi wa ngoma hizo za asili kutoka nchini Boswana.


2011 TANZANIA WOMEN OF ARCHIEVEMENT AWARDS

Frontline Porter Novelli, a local PR and communications firm, today launched the Tanzania Women of Achievement Awards that is due to take place on the international women’s day (8th of March 2011).

These annual awards were first launched in 2009 in honor of women across the country who have been at the forefront of achieving political, economical and social equality in their communities.

TWAA seek to recognize women, currently working in the geographical boundaries of Tanzania, paying tribute to the most exceptional and achieving women in the country who have not only achieved success in their own respective fields but who through their work and initiatives have made a significant difference in their community and society as a whole.

“The Awards provide a wonderful opportunity to recognize and applaud women who are helping to reshape Tanzania for the better. For many of the women this will be the first time that their achievement has received public accolade. The nominated women are awarded cash prize as well as a trophy and certificate signed by the current patron who is the UWT chairlady Mama Sophia Simba at a dinner gala attended by the corporate, government, NGO’s and diplomatic community.” Said Irene Kiwia, Managing Director of Frontline Porter Novelli. “To add more value to the awards, this year TWAA will incorporate a mentorship program where young emerging women leaders from different villages across the country will be identified and paired with women executives in politics and business for a 3 weeks mentorship program that aims at combining leadership training, networking and professional development to provide the mentees with the tools that they need to succeed as well as teach them a “pay it forward’ model of leadership that promotes the mentees efforts to promote positive changes in their communities”.

The Categories for this year’s awards are Arts and Culture, Business Entrepreneur, Information and Communication, Sports, Professional, Education, Health, Social Welfare, Science and Technology, Public Sector, Young Achiever, Agriculture, Lifetime Achievement and the overall Woman of the Year.

“We urge organizations, associations, women and men across Tanzania to nominate women in these categories and play a role in gender empowerment. There are thousands of deserving women out there who through their work have had significant impacts in their communities. We want to sing the praises of these unsung heroes and inspire millions of other Tanzania women to take charge and make a change” said Mrs. Sadaka Gandi, the TWAA committee chairperson, a Social Counselor and Psychologist. “We received a lot of nominations in the first TWAA but expect much more this time.”


The TWAA committee comprises of Mrs. Mary Rusimbi – Activist and Founder of Tanzania Gender Networking Program, Dr. Ramadhani Dau – Director General National Social security Fund,  Joaquine De Mello - Commissioner for the Commission of Human Rights and Good Governance, Dr. Marcelina Chijoriga – Dean University of Dar es Salaam Business School,  Mrs Jacqueline Lenhardt – Spouse of the US Embassy Ambassador, Innocent Mungy- Communication Director Tanzania Communication Regulatory Authority, Sadaka Gandi – Counselor Psychologist and Social worker, Irene Kiwia – Founder and Managing Director Frontline Porter Novelli and is sponsored by Serengeti Breweries through its Baileys brand, Delloite, NBC, Home Shopping Center, TCRA, Songas, The American People, DTP and the UN Development Partners Gender 


Group.jAKAYA AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI NA HESHIMA YA MWISHO KWA KIFO CHAMH.JAJI MAPIGANO


No comments: