Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, December 26, 2010

MSHINDI WA UNIQUE 2010 MODEL APATIKANA

   Mshindi wa Giraffe Unique Model, Asia Dachi (katikati) akiwa na furaha mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo(unique model of the year 2010).Kulia ni mshindi wa pili, Diana Mainanson na mshindi wa tatu Mariam Rabii. shindani lilidhaminiwa giraffe ocean view hotel,channel ten,magic fm,Global pubishers,mohammed enterprises,Truworths,mtaakwamtaablog na uniqueentertz blog.

 Nawashukuru wate,vyombo vya habari,wadau na ushirikiano mzuri na sapoti kubwa aliyonipa Bwana CHARLES BEKON KWAKUNIDHAMINI NA  NIMEFANIKIWA KUFIKISHA JAHAZI UKINGONI na kufanikiwa kuwatangaza wanamitindo kumi katika soko a mitindo Tanzania.

NA MWANDISHI WETU

DANSA wa zamani Sammy Cool, ameanzisha mashindano ya kucheza muziki yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Bingwa, Dar es Salaam jana, Sammy Cool alisema kuwa mashindano hayo anatarajia kuyapa jina la Black Moses Dancing Competition, lakini baada ya kupata ridhaa ya ndugu za marehemu wa mcheza dansi huyo wa zamani.
Sammy Cool alisema kuwa lengo la mashindano hayo, mbali na kuendeleza vipaji vya madansa, pia ni kumuenzi Black Moses aliyekuwa dansa maarufu nchini kutokana na umahiri wake katika fani yake hiyo.
Alisema kuwa anatarajia kuwashirikisha wadau mbalimbali katika mpango huo, lengo likiwa ni kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa ufanisi zaidi kama alivyokusudia.
“Kwa sasa kuna vipaji vingi vya madansa hapa nchini, lakini hakuna mpango wowote wa kuwasaidia…hivyo nimeona ni vyema nikaanzisha mashindano haya ili kila mwenye kipaji cha kucheza muziki,” alisema.
Alisema kuwa mashindano hayo yatakuwa yakifanyika zaidi ya mara moja kwa mwaka katika maeneo tofauti nchini, japo yataanzia jijini Dar es Salaam na baadaye kuhamia mikoani.
Aliwataka madansa wote wenye vipaji, zaidi wakiwa ni chipukizi kukaa mkao wa kula kwani shindano hilo linatarajiwa kuwa la aina yake na lenye mvuto wa kipekee.
Sammy Cool ni miongoni mwa madansa waliotamba nchini kutokana na uhodari wake wa kucheza muziki, akiwa ametwaa tuzo kadhaa nchini.



                UKWELI KUHUSU SHUTUMA DHIDI YANGU,UNIQUE MODEL IMEANDAMWA NA MAMLUKI,PESA YATUMIKA KUMZALILISHA NA KUMCHAFUA MAGESE,MCHEZO MCHAFU WAGUNDULIKA DHIDIN YANGU.

  Nimesikitishwa na baadhi ya wanakamati wangu kuwa wasaliti kwa kupandikiza chuki kwa washiriki kuwahimiza waongee mambo ya uzushi na unafiki katika vyombo vya habari kwa lengo la kuniharibia shindano kwa kunivunjia uaminifu kwa jamii na wadhani.


TUMEKUWA NA MAMLUKI WENGI KATIKA MCHAKATO WA KUANDAA SHINDANI HILI KWANI TOKA AWALI TULIWAJULISHA WASHIRIKI NA VYOMBO VYA HABARI KUWA WAMEKUWA WAKITUMWA WATU MBALIMBALI KULETA MAMBO YA UZUSHI NA MAJUNGU HUKU WAKITUMIKIA NAFASI MBILI TOFAUTI


  Unique model ni shindano lililokuja kwa kasi lakini limeibua maadui wengi wanaolichukia shindano hili ikiwa hata wale wa ndani ya kamati kupeleka habari za uzushi katika vyoimbo vya habari mfano dhahili katika  Gazeti la MWANACHI  LILIANDIKA HABARI ZIMELETWA NA MMOA WA VIONGOZI WA SHINDANO LA UNIQUE MODEL.......jiulize sasa.. KIKULACHO KI NGUONI MWAKO,kama mtu anaweza kuandika habari ya kuchafua na kuituma kwenye vyoimbo vya habari je atashidwa kueneza maneno ya uzushi na kuwafatab chumbani washiriki waje kuongea maneno ambayo aliwasulutisha wayaseme kama alivyowanganga kuzungumza KATIKA TV YA TAIFA(...)

 MTU HUYU ALIDILIKI KUWASHAWISHI MAJAJI KUSUSIA MAAMUZI NA KUWASHAWISHI WASHIRIKI KUFANYA FUJO NA KUGOMEA KILE KILICHOTANGAZWA PALE JUKWAANI KWANI WAO HAWAKUWA NA WAZO HILO ALIONGEA MMOJA WA WASHIRIKI


WATNZANIA MIMI KAMA MWANDAAJI NAOMBA RADHI KWA YOTE YALIYOJITOKEZA ILA NAOMBA MTAMBUE KUWA KUNA MIKONO YA WATU WANAOTUMIA PESA,MAJUNGU,FITNA,UZUSHI NA KUWARUBUNI WASHIRIKI NA WATU WA KARIBU KUSAMBAZA MANENO YA UCHOCHEZI KUNIHARIBIA SHINDANO WABAKI PEKEAYO,ILA IPO SIKU UKWELI UTAJULIKANA TU KWA WATANZANIA WOTE....

INANIUMA SANA MTU KUMNUNUA MODEL WANGU AZUNGUMZE UONGO KATIKA MEDIA...HATA  YESU ALILETA UZIMA LAKINI ILIFIKA KIPINDI WATU WALIMTEMEA MATE,KUMDHIHAKI NA NA KUMDHALILISHA,KWANI BAADHI YA WATU HAO WALIONEKANA NI WENYE FURAHA SANA BAADA YA KUFANIKIWA MPANGO WAO AMBAO ULISUKWA KWA MUDA KADHAA NA KUWATUMIA WATU WA KARIBU YANGU KUFANIKISHA MKAKATI HUO


 MCHANGO WANGU KATIKA SANAA YA MITINDO NI MKUBWA LAKINI NDO UMEFIKA WAKATI AMBAO JIWE MOJA KUKATAA KUKAA KATIKA JIWE JENZAKE,PIA MEDIA ZOTE MNATAKIWA KUBALANCE STORY ZENU SIO KILA MNACHOAMBIWA TU MNAPELEKA HEWANI....INA MAANA LEO MTU AKISEMA AKISEMA MAGESE NI MCHAWI MNARUSHA TU....!?? TAFUTENI EVIDENCE KWANZA NDO MRUSHE SIO MNACHAFUA TU WATU NA BIASHARA ZAO.

No comments: