Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Saturday, April 2, 2011

SIMBA YAANGUKIA PUA YACHAPWA 3-2 NA TP MAZEMBE



         Timu ya simba leo imbao 3- 2 kichapo toka Tp mazembe ya DRC ambapo mnamo dakika ya 18 Given singulamaalipachika bao la kwanza kwa Tp mazembe,dakika ya 58shija mkina aliisaazishia simba kwa kupachika bao kimiani


         Dakika ya64Alain kalayitika aliipatia bao Tp mazembe bao la pili,kisha dakika ya 65 Mbwana samata alisawazisha ndipo msumari wa mwisho ulipokomelewa Dakika ya 73 na Alain kalayitika kupachika bao la tatu kwa Tp mazembe na kuondoka kifua mbele kwa bao tatu kwa mbili dhidi ya simba.

Wiz Khalifa Amber Rose Not Private


Jay-Z and Beyoncé keep their relationship as private as the PentagonPapers, but Wiz Khalifa and his girl Amber Rose have been quite public about their pairing.
According to the rapper, there’s no agenda behind their privacy or lack thereof.
“I’m just me. That’s what it is,” Wiz told MTV News about taking his feelings for Rose, Kanye West’s ex, public. “I’m completely comfortable about everything in my life. That’s what my career has been built off. Everybody gets that right away, so you don’t have to find anything about me. I’m not gonna hide it; I’m gonna embrace it and give people in the same situation something to look up to.”
Rose joined Wiz on the “RapFix Live” couch, and after they exchanged kisses on the cheek, she spoke about her “Black and Yellow” boyfriend and what attracted her to him.
“He’s really funny, he’s really charming,” she said. “I didn’t know much about his music at first and, obviously, he became a good friend, I started listening to his music. He’s awesome, he’s talented, he’s amazing.”
Wiz added: “We’re really new, but we’re really close and understand each other’s life. Understanding is really important.”
Earlier this year, Wiz told Hot 97 radio jock Funkmaster Flex that Rose and his mother met before the rapper took the stage to perform before a Steelers playoff game.
“They actually really, really dig each other,” Wiz told MTV News about the meeting. “Amber is a sweetheart, and my mom, everybody who meets her loves her anyway. So it was really tight.”



Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia), akimkabidhi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick jengo la uzazi la Zahanati ya Kivule lililokarabatiwa na TBL baada ya kulipuliwa kwa mabomu kutoka kikosi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) cha Gongo la Mboto, Dar es Salaam Februali 16, mwaka huu.TBL imetumia sh milioni 30 kukarabati na kununua vifaa vilivyoharibiwa.
Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto), akimkabidhi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick moja ya vifaa vinavyotumika wakati wa mzazi kujifungua katika hafla ya TBL kukabidhi jengo la uzazi la Zahanati ya Kivule lililokarabatiwa na kampuni hiyo baada ya kulipuliwa kwa mabomu kutoka kikosi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) cha Gongo la Mboto, Dar es Salaam Februali 16, mwaka huu.TBL imetumia sh milioni 30 kukarabati na kununua vifaa vilivyoharibiwa. Kulia ni Mhandisi wa Ujenzi wa TBL, John Malisa na Doris Malulu ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.

ROBERT MROSO ADUNDWA NA MANENO OSWAD

Maneno oswad akionyesha umwamba dhi ya Robert mroso kwa point 98 kwa 97.


VIKONGWE 215 VYAULIWA WILANI MAGU
Hayo yameelezwa jana na mkuu wa  wilaya ya Magu, Zainabu
Kondo, wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi, aliyetaka kujua hali ya
ulinzi na usalama ilivyo wilayani humo, kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2005.
Mkuu huyo wa wilaya ya Magu, alifafanua kuwa mwaka 2005 jumla ya vikongwe 51
waliuawa, mwaka 2006 vikongwe 40, mwaka 2007 vikongwe 48, mwaka 2008 vikongwe
32, mwaka 2009 vikongwe 45 na mwaka 2010 vikongwe 39 waliuawa, kwa imani za
ushirikina, kwa kukatwakatwa na mapanga na watu wasiojulikana.

Aidha, mkuu huyo wa wilaya ya Magu, alisema kuwa  mwaka  2007 na 2008, jumla ya
watu wawili wenye ulemavu wa ngozi (Albino), pia waliuawa na watu wasiofahamika
na kuchukuliwa sehemu za viungo vyao kwa imani za kishirikina.

Hata hivyo mkuu huyo wa wilaya ya Magu, alisema kuwa  kutokana na matukio hayo
ya kikatili, wilaya imeendelea kuhamasisha jamii kuachana na vitendo vya
kishirikina na kwamba kwa sasa hali ya ulinzi na usalama wilayani humo ni ya
kuridhish
a.

Mapigano makali yaendelea Cote d'Ivoire 

Cote d'Ivoire
               Mapigano kati ya wafuasi wa mahasimu wawili wa kisiasa nchini Cote d'Ivoire yameingia siku yake ya tatu katika mji mkuu wa Abidjan.Vikosi vinavyomtii Alassane Ouattara anayetambuliwa na jamii ya kimataifa kama rais halali wa nchi hiyo, vinaripotiwa kupambana na wanajeshi wanaomuunga mkono Laurent Gbagbo.
          Laurent Gbagbo anaendelea kung'ang'ania madaraka na wanajeshi wake, wanaripotiwa kuwa wanakidhibiti kituo cha televisheni cha taifa. Laurent Gbagbo amewatolea wito wafuasi wake kuelekea barabarani na kupambana.Wakati huohuo,Marekani imemtaka Laurent Gbagbo kuachia madaraka haraka iwezekanavyo kwani anauhatarisha usalama katika nchi hiyo ya Afrika magharibi.   

Who Says You Can’t Have Candy Early in the Morning?

CoverGirl21_1.jpg

 NTONIO Tarver amtaka  David Haye.






Mpiganaji wa London, Haye anatajia kutwangana na
Ruslan Chagaev Mei au Juni baada ya kuchwa solemba na bingwa wa mataji ya WBO na IBF, Wladimir Klitschko.

Lakini mpiganaji mkongwe wa Marekani
Tarver, ambaye anapiga katika uzani wa
light-heavy, Hayemaker atatakiw kwenda Marekani ili kutwangana naye kama maafikiano yatafikiwa.

Bondi huyo mwenye umri wa miaka 42, anayejulikana kama Magic Man, alisema: "David Haye, ni wa Antonio Tarver.

"Nimesikia kuwa umekuwa huna mtu wa kupigana naye na Klitschko.

"Unawezaje wewe na mimi kupanga tarahe katika Apeili, unaweza kupata pambano lako la kwanza la uzito wa juu Marekani.

"Ni pambano kubwa kwako kupigana na mtu mwenye jina ambalo la mwisho haliishii na Klitschko."

Tarver aliongeza kusema kwenye
Twitter yake: "Hakuna mtu ambaye anaweza kunai nafasi ya kumtwanga Haye.

"Lakini ni majina mawili makubwa na ninafikiri inaleta maana kuwepo pambano kubwa la uzito wa juu kufanyika Marekani."

 

Blackburn yaibana Arsenal

Arsenal imeshindwa kutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kutoka sare ya 0-0 na Blackburn Rovers.
Arsenal
Arsenal imebanwa na Rovers
Licha ya Blackburn kucheza kwa karibu dakika 15 za mwisho wakiwa wachezaji 10, Arsenal walishindwa kutumia mwanya huo kujipatia ushindi.
Steven Nzonzi wa Blackburn alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumfanyia madhambi Laurent Koscielny.
Matokeo hayo yanaiacha Arsenal katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 59. Kwa Blackburn sare hiyo ni njema kwao wakiwa na pointi 34 katika nafasi ya 14.


PENZI LA WEMA NA DIAMOND LAFIKIA PATAMU  Mapenzi ya mastaa wawili ambao ni Diamond na wema sepetu  yamepamba moto mpaka kufukia kuishi kama mke na mume kabla ya ndoa.

     Duru za mapenzi zinasema kuwa wema amelewa penzi kiasi chakuwa crazy in love kwa mchizi na hii immempelekea wema kujichubua zaidi kwani mama yake Diamond anataka mkwe mweupe.

 

Amber Rose Denies katupa mbichi na Drake, Chris Brown, Lebron James kanye west,wiz haand More

Amber Rose ambaye alikuwa ni mcheza shoo za uchi zamani

 Baada YA kuachana na mastaa wote hawa Ambaer rose ameamua kujikita katika usagaji zaidi kiyu ambacho kimeuzi sana wapenzi wake wa snaa,
Amber Rose wants you to know that she is not a hoe and the only people she has slept with in the industry are Kanye West and Wiz Khalifa.

MAONYESHO YA HARUSI YAANZA LEO DIAMOND JUBILEE YAKIWA NA WASHIRIKI ZAIDI YA 50

Wfanyakazi wa Blue Pearl Hotel & Apartment wakijiweka sawa kwa maonyesho ya HARUSI ndani ya Diamond...
Mmoja wa waliotembelea maonyesho ya HARUSI kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE wakisiliza maelezo toka kwa washiriki wa maonyesho 

Beyonce Fired Her Father to Sign a Management Deal With Who?


Recently Beyonce released a statement saying that she would no longer be managed by her father, Mathew Knowles. However, that is not the end of the revelations.
B has yet to name her new management and the rumor mill is stirring with reports that she left to sign with Roc Nation. If you think about it the reports could be true because Jay-Z has yet to bring an act that will sell some major units. Not hating, but J. Cole and Jay Electronica probably won’t bring in the numbers that Roc Nation is looking for.
But as always, time will reveal the truth behind the rumors.


SUPER D KUTOA VIDEO YA MAFUNZO YA NGUMI HIVI KARIBUNI

Kocha wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 'Super D' (kulia) akiwapatia maelezo ya video aliyoiandaa kwa mtindo wa DVD ambayo itaweza kuwafundisha mchezo huo, Dar es Salaam jana Mabondia, Maneno Osward, Robart Mroso na Chaurembo Palasa. Video hiyo inatarajiwa kuingia mtaani hivi karibuni kwa wapenzi wa mchezo huo yaaani manunuzi ya jumla na rejareja piga simu SIMU 0787/0774/07 (Picha na Mpiga picha Wetu).


POZI LA WIKI HII:TIERRA
Sexy_Stuff_Tierra3.jpg
 Tierra mtoto mwenye figure ya kufa mtu soft kama mafuta jicho kama ulimbo lavutia kama zawadi ya iddi..



 DAR KAMA DRC SIKUI HIZI
hapa ni kuserebuka tu,Wanenguaji wa Bendi ya Akudo wakionyesha umahiri wao wa kunengua

click older post upate mengi sanaaa.......!!

No comments: