Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, April 21, 2011

MUUAJI WA SOUTH BEACH AKAMATWA UWANJA WA NDEGE AKITOROKA

     Marehemu Lilah Hussen Alieungua vibaya mwili mzima akiwa ndani ya Gari la Kubebea Wagonjwa(Ambulance)ya hospitalki ya Kigamboni jijini Dar es Salaam Tayari KukimbizwaHospitali ya taifa ya muhimbili mara baada ya kuchomwa moto Lakini baada ya siku chache alipoteza maisha.

Mmiliki wa hoteli ya south beach ambae ni mtuhumiwa wa mauaji ya kijana mmoja mkazi wa mjimwema kigamboni jana amekatwa na jeshi la polisi uwanja wa dege akijaribu kutoroka.

  Habari za kiuchunguzi zinasema kuwa raia huyo mwenye asili ya kiasia alitoroka polisi kinyemela angali akiwa mtuhumiwa wa mauaji ya kinyama,aidha wakazi wa kigamboni wameingiwa na hasira zaidi baada ya kuona mtuhumiwa huyo anatumia uwezo wake wa kifedha kuwa huru.

   Hata hivyo ni hali ya hatari kwa eneo la hoteli ya south beach kwani wakazi wa maeneo hayo wanataka kuichoma hoteli hiyo ama ifungwe na kwa kudhihirisha hayo jamii ya watu wa kihindi wanaofika maeneo hayo husimamishwa katika magari na kupewa kichapo ikiwa ni hasira za raia baada ya mwenzao kuawa bila hatia.

   Habari zisizo rasmi zinasema hoteli hiyo inamilikiwa na mama mmoja ambae ni mke wa kigogo kinyume na jinsi inavyojulikana kwa sasa likuwa ya muhindi huyo.

 

 DR.SLAA AMULIKA ROSTAM AZIZ

          KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mapato ya Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM), kwa kile alichodai yana uhusiano mkubwa na ufisadi.
         Dk. Slaa aliyasema hayo juzi jioni katika mkutano wake mjini Igunga, mkoani Tabora katika mwendelezo wa ziara zake.
        Alisema mapato ya Rostam kwa mwaka yanafikia sh bilioni 280, hivyo TAKUKURU haina budi kumkamata na kumchunguza kwani aliwahi kutangaza kuwa hana shida ya kuwa kiongozi au kung’ang’ania madaraka yoyote, kwani pesa alizonazo zinamtosha.
Kwa mujibu wa Dk. Slaa, ikiwa TAKUKURU haitamchukulia hatua Rostam, atawashawishi wananchi kutotoa ushirikiano wowote kwa taasisi hiyo ikiwa ni pamoja na kuwazomea maofisa wake kila wanapowaona.
       Akifafanua tuhuma hizo za ufisadi, alisema kuwa kati ya makampuni 17 yanayosemekana kuwa ni ya Rostam hakuna jina lake hata moja.
       Alisema kama Rais Jakaya Kikwete angekuwa na nia ya kweli angemshirikisha kuwakamata mafisadi badala ya kuwapa siku 90 kuondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
       Kwa mujibu wa Dk. Slaa, ikiwa Kikwete amewapa mafisadi hao siku hizo kuondoka ndani ya chama pamoja na kuachia ubunge, naye hana budi kujipa siku hizo, kwani naye ni fisadi.
       Alisema kujitokeza kwa mmiliki wa Dowans Brigedia Jenerali (mstaafu), Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi, ulikuwa ni usanii wa picha ya Rostam kwani baadaye ndiye atakayelipwa fedha hizo za Dowans.
Alisema CHADEMA haitakubali fedha hizo zilipwe na kwamba itaitisha maandamano nchi nzima kupinga.
       Dk. Slaa alisema ufisadi mwingine wa serikali katika sakata hilo la Dowans ni serikali kuweka mawakili watatu kinyemela na kupanga kuwalipa sh bilioni tano.
“Nilimtaja Rostam kuwa ni mmoja wa mafisadi kule Mwembeyanga, naye alinitumia vitisho kwa ujumbe mfupi kuwa nina sekunde chache za kuishi hivyo nipige magoti, nisali. Nilimjibu na nasema …nilizaliwa siku moja na nitakufa siku moja, sitaogopa kusema ukweli,” alisema Dk. Slaa.
      Katika hatua nyingine, Dk. Slaa alisema moto uliowashwa na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) umeifanya serikali ya CCM akiwamo Rais Jakaya Kikwete kushindwa kulala.
      Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ikungi katika Jimbo la Singida Mashariki jana aliposimama kuwasalimia wakati akitokea Singida kuelekea Dar es Salaam, Dk. Slaa alisema Lissu ni mbunge jasiri katika Bunge ambaye amediriki kumnyooshea kidole hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema.
    

Real Madrid yashinda Copa Del Rey

    Real Madrid imeichapa Barcelona bao 1-0 na kunyakua kombe la kwanza katika msimu wa soka nchini Uhispania.
Ronaldo
Cristiano Ronaldo
     Bao pekee la Cristiano Ronaldo katika dakika za nyongeza ndio limeipa Real ushindi huo.
Real Madrid na Barcelona zitakutana tena mara mbili katika mchuano wa kuwania kucheza nusu fainali ya Klabu Bingwa Ulaya.




Earlier today we told you Rosa’s favorite positions and favorite time and place to get intimate, so if you meet these 3 requirements after the jump…maybe you should keep those other things in mind!! Hit the jump to find out if you qualify.
prv:
 she shared her favorite and least favorite sex positions. Wouldn’t you love to know what they are?! Hit the jump to find out, and see a couple pics of course.
prv :
she said My favorite time to get intimate is at night because it’s very romantic and I’m very passionate so I like the comfort of a bed.”




NYETI KULIKO NYETI TULIZONAZO
    Inasemakana ni bonge la soo ikiwa mke wako akiwa mjamzito kisha mkawa mnashea vyombo vyakuogea na baba mwenye nyumba,wachunguzi wa mabo wanadai mara nyingi wanawake wanaoshea vyombo vya kuogea na baba mwenye nyumba watoto wakizaliwa hufanana na baba mwenye nyumba hiyo,pengine ikwa sura,miguu,kifua ama kiungo chochote lazma kitawiana tu...hii ni sayansi jamii..



Snoop Dogg -- Is Today 4/20???

  In case you missed it -- today, 4/20, is an unofficial stoner holiday. 
  In fact,just spoke with Tommy Chong -- who told us he plans to celebrate by taking 420 hits from one of his favorite pipes at 4:20 PM. (Side note -- that can't be good for you.)
So, in summary, 4/20 seems like every other day for these guys.


Daladala yauwa wawili asubuhi hii


Thursday, April 21, 2011 11:32 AM
WATU wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 21 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Kigogo jijini Dar es Salaam.
Basi aina ya Toyota DCM linalofanya safari zake kati ya Kigogo Mburahati na Kivukoni limepinduka lilipofika eneo la Kigogo Festini na kusababisha ajali hiyo.

Kufuatia ajali hiyo watu wawili wameweza kupoteza maisha papohapo na kupatikana majeruhi hao

 

Michael Owen ahuzunishwa baada kuzomewa na mashabiki

   Mshambuliaji wa Manchester United, Michael Owen amesema amehuzunishwa sana kutokana na kuzomewa na mashabiki wa Newcastle siku ya Jumanne, walipotoka sare ya 0-0 katika uwanja wa St James' Park.
    Owen mchezaji wa zamani wa Newcastle, alizomewa alipoingia katika dakika ya 81.
Owen amesema katika mtandao wa Twitter: "Kupata mapokezi mabaya ukiwa nje ya uwanja wa nyumbani inakera sana. Inakufanya ujitahidi ufunge bao!"
    Aliongeza: "Nilifahamu nitazomewa kama wanavyofanya mashabiki wengi, lakini iwapo wangefahamu ukweli basi wangekuwa na mawazo tofauti."
Owen alijiunga na Newcastle akitokea Real Madrid kwa kitita cha paundi milioni 16 mwaka 2005 na alifanikiwa kufunga mabao 30 katika mechi 79 alizoshiriki.
    Mshambuliji huyo wa England jitahada zake hazikuweza kufua dafu mwaka 2009 kuiokoa Newcastle isiteremke daraja na akaihama klabu hiyo na kujiunga na Manchester United akiwa mchezaji huru.
Baada ya mchezo wa siku ya Jumanne, Owen, mwenye umri wa miaka 31, alijibu mapigo ya kuzomewa na mashabiki wa Newcastle,    akisema: "Kwa kile ambacho nyinyi mashabiki wa Newcastle mnachokisema, mfurahi kwamba niliondoka katika klabu! Iwapo ningefahamu mapema, basi ningeondoka mapema zaidi!
   "Mkiangalia rekodi yangu, nilijitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuitumikia Newcastle. Chini ya KK (Akimaanisha Kevin Keegan) nilicheza vizuri sana na sitasahau mechi tuliyoshinda 2-1 dhidi ya Sunderland tarehe 20 mwezi wa Aprili 2008.
"Ninapokutana na mashabiki wa Newcastle au wa Liverpool wote wanaheshimu niliyofanya katika klabu zao. Uwanjani wanabadilika, mmoja anaanza kuzomea wengine wanafuata.
   "Hata hivyo siombi huruma. Mradi familia yangu hawanizomei ninapopita mlangoni, sijali kitu!!!"
    Owen alitazamia mapokezi ya kukera katika uwanja wa St James' Park, akasema kabla ya mchezo: "Ni siku nzuri, jua linawaka hapa Newcastle! Najiandaa kukutana na marafiki wangu wa zamani lakini mashabiki watanipokea kwa mtazamo mwengine!"
   Matokeo ya mechi hiyo yameifanya Manchester United kupoteza nafasi ya kuongeza wigo wa pointi katika msimamo wa ligi kileleni.



Rihanna Confesses That She Thought Russell Brand Was An Idiot The First Time They Met

      Though singer Rihanna seems to now have a pleasant relationship with her BFF Katy Perry’s British actor/comedian husband, Russell Brand, when she first met him she thought he was an “idiot” and didn’t think he was “funny.” She tells Australian’s Cleo Magazine:
“I first met him when he was interviewing me on TV. I was sick and it was the worst interview I’ve ever done. I was throwing up in a bucket and a doctor gave me a shot in my butt. Nothing was funny to me. I thought it was the most stupid f***ing interview I ever did in my f***ing life.[...]Why am I talking to this idiot? He made me want to throw up again.”
We did another interview on MTV and I realised he was funny. I was probably a complete bitch, but only months afterwards did I get it.”
Last year, Rihanna confessed that she felt bad about missing Katy Perry’s and Russell’s wedding in india. She revealed in an interview.
“I will never ever forgive myself for that, it was a crazy time, it was a crazy week, I’m switching management. There was no phone service in India and very little-to-no internet service, so it would have been a little irresponsible of me. I’m sad that I missed it.”



KANUMBA Vs SYLVIA SHALLY TAMU YAGEUKA CHUNGU 

   Kwa mujibu wa chanzo hicho, kabla ya tukio hilo, wawili hao     walitibuana kufuatia kutoelewana kwa suala la kimapenzi ambalo halijawekwa wazi.
“Unajua   kabla Kanumba hajamtumia demu wake meseji hiyo, walianza kupishana lugha kwenye uhusiano wao, ndiyo jamaa akaja juu,” kilisema chanzo.

    Kikaendelea kudai kuwa, baada ya Sylvia kulifikisha suala hilo polisi, Kanumba aliitwa na ‘kusomewa’ shitaka lake lakini hakuonesha kukiri wala kukataa.

     Inadaiwa kuwa, afande anayepeleleza kesi hiyo (jina tunalo) aliwataka wawili hao wakakae chini na kuondoa tofauti zao kisha warudishe majibu Jumatatu ya Aprili 18, mwaka huu.

     Hata hivyo, chanzo kinasema, mpaka siku inakatika Jumatatu, wawili hao hawakurudi kituoni hapo kuelezea walikofikia baada ya ushauri wa afande. 
Baada ya madai hayo, Jumanne ya Aprili 19, mwaka huu, mwandishi wetu aliamua kuwasaka wapenzi hao kwa njia ya simu zao za mikononi ili kuupata ukweli.

    Saa nne asubuhi, Kanumba ndiye aliyekuwa wa kwanza kupigiwa simu ambapo iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa.

    Alipogeukiwa Sylvia, naye simu yake ya kiganjani iliita kwa kitambo bila majibu.
Hata hivyo, paparazi wetu aliendelea kufanya jitihada za kuwapigia simu mara kwa mara lakini hakuna aliyepokea.

    Ilipofika saa nane mchana, kila mmoja kwa wakati wake, walipigiwa tena simu na hakuna aliyeipeleka sikioni kutaka kujua kulikoni.

    Saa tisa alasiri, mwandishi wetu aliamua kumtumia ujumbe mfupi (sms) Kanumba akimtaka apokee simu huku akijtambulisha kwa majina yote na anakofanyia kazi.

    Baada ya hapo, simu hiyo ilipigwa tena, ikapokelewa na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Kiuno ambaye alidai mwenye simu (Kanumba) alikuwa ‘shuting’.
Aliombwa amwambie kuna ishu muhimu inamtaka mwenyewe, Kiuno akasema atafanya hivyo muda si mrefu huku akimtaka mwandishi apige baada ya dakika tano.

    Kama vile haitoshi, mwandishi kabla ya kupiga tena, alimtumia Kanumba ujumbe mfupi akimwelezea ‘shitaka’ lililo mezani kwake.

    Baada ya meseji hiyo kuonesha imefika, mwandishi alitwanga simu, ikapokelewa na Kiuno yule yule ambapo alisema:
“Jamaa sijamwambia bwana. Lakini pia nimeona meseji, nikampelekea simu, alipoisoma akasema ‘si kweli.’

    Baada ya kugonga mwamba kwa Kanumba, mwandishi alimtumia meseji Sylvia, akajaribu kumwelezea kisa kamili kutoka kwa chanzo chetu makini, lakini mrembo huyo hakujibu meseji wala kupiga simu achilia mbali ‘kubipu’.
 Hivi karibuni, mmoja wa marafiki wa Sylvia alikaririwa akisema kuwa, mapenzi kati ya wawili hao yameingia nyongo.

    Rafiki huyo (jina tunalo) alisema kuwa, Kanumba ni kama amemtosa Sylvia kwani hana ukaribu naye tena kama zamani,  jambo ambalo linamkosesha raha mrembo huyo.
“Yaani naweza kusema kuwa, Sylvia anajua penzi la Kanumba kwake halipo, anasema ule ukaribu kama zamani hakuna tena, anakosa raha kabisa,” alisema rafiki huyo.   

Beyonce And Jay-Z Spotted Dining With Julez & Solange Ex-Husband in Paris

    Earlier today, Beyonce and Jay-Z were spotted leaving Le Meurice Hotel where they have been staying over the last few days. They then headed over to L’Avenue restaurant where they were spotted toasting to the good life while dining with Julez and Solange ex-husband Daniel Smith Sr.
            vinywaji vya kufa mtu

More photos and braabraaaa...




Beyonce would make such a cute mommy!



GAME AZUIWA KUINGIA CANADA

JAYCEON TERRELL TAYLOR AKA GAME

Jayceon Terrell Taylor aka Rapper The Game amepata matatizo nchini Canada,coz kwa nza alikataliwa kuingia nchini humo,lakini baadaye alizuiliwa kwa wiki 2
Game aliwaomba radhi fans wake wa Canada na kufunguka kuwa aliiingizwa mkenge na promoters waliomuambia kuwa angeingia bila matatizo,kusababisha issue yake isikilizwe na judge,ambaye ataamua kama afukuzwe au ashitakiwe kwa kuvunja sheria za uhamiaji za nchini Canada
Mwisho wa siku Game aliachiwa na kurudi Los Angeles na kutupia kwenye Tweeter “najisikia vibaya kupanda ndege toka Los Angeles mpaka Canada kwa ajili ya kuzuiliwa kwa wiki 2,ila anashukuru pia kukusanya kila kilicho chake na kurudi salama”

No comments: