Naibu
 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba (MB) 
akizungumza kwenye uzinduzi wa Azam TV uliofanyika Hyatt Regency The 
Kilimanjaro Hotel mwishoni mwa Juma ambapo amesema Azam TV imekujali 
kuleta mapinduzi katika ulimwengu wa Digitali na kutoa fursa ya ajira 
kwa Vijana wa Tanzania wenye vipaji sanjari na kuitangaza nchi yetu 
katika bara la Afrika hasa kwenye upande wa Soka na Filamu.
Azam
 TV itaanza kurusha matangazo yake Desemba 6 mwaka huu, Watanzania kaeni
 mkao wa kula kupata King’amuzi kwa bei rahisi ambacho kitakuwa na 
chaneli zisizopungua 50.
 Mkurugenzi wa vipindi wa Azam Tv Efe Atiyio akifafanua juu ya program mbalimbali za Azam Tv
Lucy Ngongoseke Kihwele (kulia)akiwa katika pozi na dada yake
 
 
No comments:
Post a Comment