Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, May 6, 2011

LEO NDIO LEO..MBEYA YAWAKA MOTO..!!

wanachama wa chadema na mapango yao
Wanachama wengine wachadema wakiwa na mabango mbali mbali katika maandamano hayo ya Amani
Baadhi ya Magari yaliyo kuwepo katika msafara huo. 
Siku ya jumamosi inategemewa kuwa ya aina yake baada ya wabunge na viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) kuwasili kwaajili ya maadamano na mkutano mkubwa siku ya jumamosi hii mkoani mbeya pia harakati hizi zitaendelea mikoa mingine iliyotajwa punde.



MTIKILA AMJIA JUU RIDHIWANI
            MWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amemtaka mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwan Kikwete, kwenda mahakamani ndani ya siku saba alizosema vinginevyo atakwenda yeye kushtaki kutokana na utajiri alionao kwani ni kosa la jinai.
          , Mchungaji Mtikila alisema kwa taratibu za kisheria Ridhiwan anapaswa kuwapa kwanza ‘Demand Note Letter’( barua ya kuwataka wamwombe radhi au kufuta kauli zao) yeye na Dk. Willibrod Slaa.
“Ikiwa Ridhiwan hatafanya hivyo nitajipanga kwenda mahakamani kuwaeleza Watanzania namna mtoto huyo alivyo ni bilionea kupindukia kwa kumiliki mali nyingi zikiwemo fedha za Watanzania ambazo ni mabilioni katika akaunti zake, kampuni ya malori 150 na ya ujenzi pamoja na ghorofa za kupangisha,” alisema Mtikila.
       Kwa mujibu wa Mtikila, hawezi kuthibitisha kwa vielelezo aliyoyasema wakati alipokutana na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki iliyopita kuhusu utajiri wa mtoto huyo wa Rais kama hatapelekewa barua hiyo.
         “Yawezekana Ridhiwan anazungumza maneno asiyoyafahamu kisheria na yeye tunasikia ni mwanasheria, kama unamtaka mtu akuombe radhi na kama akishindwa utampeleka mahakamani…maneno hayo kisheria huenda na demand note letter, sasa yeye hajatufikishia je tujipeleke? Alihoji Mchungaji Mtikila.
        Alieleza kuwa kama kweli Ridhiwan ni mwanasheria na anazifahamu sheria, siku ile aliyozungumza na waandishi wa habari angekuwa na barua hizo mkononi tayari kwa kuwapelekea na kusubiri matokeo yake.
        “Sasa naamini kwamba ni kweli Ridhiwan hajui sheria na kama angezifahamu, ningeshapata barua yangu mapema kwa kuwa anayafahamu makao makuu ya DP pale Ilala Msikitini na kama hazifahamu ofisi hizo angeniletea nyumbani kwangu Mikocheni B tuko jirani.”
    Juzi Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, naye alimtaka Ridhiwan kwenda mahakamani haraka kwa kuwa yaliyozungumzwa na kinywa chake yana ukweli. 



Lil' Kim Refuses to Name Her Dog After Nicki Minaj

nicki_minaj_lil_kim_dog.jpgThings have been relatively quiet between Nicki Minaj and Lil' Kim for the past few weeks, but the latest flare-up took place on Twitter, Monday night (May 2).
       Kim fired off a series of angry messages at Minaj in reply to a tweet from the Young Money rapper that reportedly read, "Lil Kim U Next." A look at Nicki's Twitter timeline will show no evidence of the tweet now, but it angered Kim enough to send her into a rage.
       After asking fans to help with choosing a name for her new dog, she took aim at Minaj after followers suggested she name the pup after her rival.
      "I would never name her "S---ty Garbaj"!!! My dog is way prettier than that b----!!!," she wrote. "What type of coward lame a-b---- tweets some s--- and then deletes it. REAL b-----s stand by what they say BOZO..."




KIM KADARSHIAN AKIRUSHA UFUKWENI NA MCHEZA BASKET(NBA)KRIS HUMPHRIES
 Mambo yakanoga hivi, utamu wa denda ukaenelea
 Malavidavi kwa sana huko mexico 




JIM JONES KAKATA NYWELE ZAKE 
  Jim Jones has had long hair since like 1996 or something and seemed as if the long perm turned cornrows were a staple of his look.  Well, now he has decided to go for the big chop.


Floyd Mayweather Jr. Facing More Charges


       Boxer Floyd Mayweather Jr. is facing new misdemeanor harassment charges accusing him of threatening two homeowner association security guards outside his Las Vegas home.
The charges filed Thursday in Las Vegas stem from an October dispute over parking with guards in the gated community where the undefeated prizefighter lives.
      Mayweather’s lawyer, Karen Winckler, didn’t immediately respond to messages from The Associated Press seeking comment.
Mayweather already faces a September trial on a misdemeanor battery charge stemming from allegations that he poked a 21-year-old guard in the face during a separate argument over parking tickets in November. He also faces unrelated felony charges in a domestic argument with his ex-girlfriend and two of their children last year.
          The new charges allege Mayweather threatened the guards after they cited several of his vehicles parked on the street in violation of association rules.
According to a police report, guard Miguel Burgos told police that Mayweather approached him and co-worker Aaron Ryan after they cited the cars and told them not to touch his vehicles.
The guards tried to explain the association’s parking rules, but Mayweather said he had 29 vehicles and they didn’t need to touch them, Burgos told police.
        “I already have a pending gun charge and I don’t want any problems, but my homeboys have guns and I’ll call them to come over and take care of you guys,” Mayweather said, according to Burgos’ account. “What do you guys want to do?”
Mayweather does not have gun charges pending against him.
        The guards said Mayweather then took the citations and put them on the windshield of the officers’ vehicle while laughing, repeating the threat several times and telling them to leave.
        Police said the guards left and called police, but told officers they didn’t want to press charges. Ryan called police two weeks later saying he wanted to move forward with the case.
Winckler told police in March that Mayweather would not be available for an interview.
       Mayweather, 34, is 41-0 in his professional career with 25 knockouts. His last fight was against Shane Mosley a year ago.

No comments: