Baadhi ya wadau wa urembo wakikatika pichaq ya pamoja na Geneviva Emanuel,zakia na Mr.makoye ambae alikuwa mkuu wa msafala huo.
Show ya miss kagera itafanyika tarehe 10 june katika club ya Linuz Bukoba mjini.
BEAKING NEWZ... CHADEMA WAITEKA SUMBAWANGA !!
Maandamano na mkutano unaofanywa na chama cha CHADEMA mjini sumbawanga ni balaaa uwanja umetema watu ni wengi kupita kawaida picha zitakujia sooooooon......
No comments:
Post a Comment