Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, July 15, 2011

BREAKING NEWZ:PhD HEMEDY ATUA DAR KISHA AFANYA SHOPPING YA 1ML

                 Msanii na muigizaji maarufu afrika mashariki na kati anayetupia pamba ile mbaya Hemedy suileman siku mbili zilizopita alitua jijini Dar akitokea nchini kenya kwenye bonge la project linaloendelea hivi sasa nchini humo.
      Jana mida ya saa kumi na moja hivi nilipozama Robby one fashion kuchukua viwalo kadhaa nikakutana na jembe PhD mzee wa pamba namzungumzia Hemedy akifanya bonge la shopping linaLOfikia one milioni kwaajili ya kuvaa weekend hii ambako Tusker project inaendelea nchini Kenya.
        Nilipomuuliza kwanini yuko Dar wakati huu wakati alitakiwa kuwa kambini alisema "mkataba wangu na wao ni weekend tu siku za weekdays narudi Dar kuendeleza mambo yangu binafsi" aliongea kwa pozi Hemedy.
        Kijana huyo mtanashati anaondoka leo usiku kwa ndege kwa daraja la kwanza(busness class) ambako anaenda kujiunga na wenzake kambini hapo.
       Mpigie kura hemedy ili aibuke mshindi katika Tusker project  andika  Tusker 3 kwenda 15324,kumbuka Hemedy ni mtanzania mwenzetu na anawakilisha nchi yetu katika mashindano hayo tuwe wazalendo wa kweli kwa kumpigia kura kijana wetu..



 KIM CLASSIC WEAR- PAMBA ZA UKWELI
 Duka lipo kona ya makutano ya barabara ya kawawa na mwinjuma
 New stock alived,kuna mguo safi za kijanja na kisasas zaidi fika jichukulie yako mapema.



 NANI MKALI KATI YA MARIAM NA AMISUU
 Mariam salum(kushoto) na Amisuu Mmaliki(kulia).Hili ni pozi tu wadau mmh watoto wa kinondoni bwanaa!!

TOA COMMENT ZAKO HAPO NCHINI KAMA UTAKUWA UMEVUTIWA NA HIZI PICHA KATI MREMBO MMOJAWAPO NANI ZAIDI




ALICIA KEYS NA MWANAE KITAA
Msanii huyu kanenepa kiasi kwamba anapoteza shepu yake ile ya zamani mmh! cheki picha hapo juu.

No comments: