Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, October 31, 2010

breaking news.....

RATTIBA YA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010 (season one)  KUTANGAZWA

   Miriam Gerald moja ya majaji wa Giraffe unique model 2010
 
  Ratiba ya shindano la mitindo nchini Tanzania lijulikanalo kama Girrafe unique model 2010 imetangazwa leo jumapili na mkurugenzi wa Unique Entertainment Bwana Methuselah Magese.
   Magese amesema jumatatu ya tarehe 1  novemba kutakuwa na mkutano wa waandishi wa habari katika hafla fupi ya ufunguzi wa Shindani hilo katika hoteli ya Giraffe ocean view iliyopo Dar es salaam.
   Tarehe 20 Novemba utafanyika mchujo wa wanamitindo katika ukumbi wa Jet 1 uliomo ndani ya Hoteli ya Giaffe ambapo majaji watachuja na kupata wanamitindo kumi tu ambao watabahatika kuingia moja kwa moja kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mwanamitindo mwenye sifa za kipekee.
   Desemba 1 kutakuwa na mkutano mkubwa wa waandishi wa habari palepale Giraffe hotel kuhusu kuwatangaza washiriki rasmi walioteuliwa na majaji,pia itakuwa ni siku ya kuwangaza wadhamini rasmi wa shindano hilo ambayo itaambatana na utangazaji wa zawadi kwa Mshindi na washiriki wengine.
   Aidha Bwana Magese aliongeza kuwa kambi ya washiriki itaanza Desemba 13 katika Hoteli ya Giraffe ambapo wakuwa mazoezini chini ya matroni na mwalimu wa catwalk model hidaya.
   Fainali za Giraffe unique model zitakuwa usiku wa mkesha wa krismasi Desemba 24 katika hoteli ya Giraffe ambapo show itaanza mishale ya saa mbili usiku.
  Wakati huo huo wadhamini wawili wameongezeka ikiwa ni lubiarac paints na Gazeti la Jambo Leo.

..

KASORO ZAJITOKEZA UCHAGUZI 2010 MWANZA.

KWA UKOSEFU WA VITI NA MEZA MAWAKALA NA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI KWA BAADHI YA VITUO KAMA KITUO HIKI CHA UVUVI IGOGO MWANZA WALITOA HUDUMA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU. WAUNGWANA WANAHOJI JE ILIKUWA SI MBINU KUCHELEWESHA ZOEZI?

VYUMBA HEWAENEO HILI LILIKUWA NA VYUMBA 11 CHA AJABU NI KUWA VYUMBA 7 TU NDIVYO VILIKUWA VIKITENDA KAZI.

PICHANI UPIGAJI KURA UKIENDELEA MAWAKALA NA WASIMAMIZI WAKIWA WAMEKALIA MAWE KUJISITIRI, KASHESHE ILIKUWA WAKATI WA KUGONGA MIHURI KWENYE KARATASI ZA KUPIGIA KURA.

KWENYE MOJA YA VYUMBA VYA KUPIGIA KURA HADI INATUMU SAA NNE NA DAKIKA ZAKE MAJIRA YA ASUBUHI HAKUNA ALIYEPIGA KURA KWA KUKOSEKANA KWA SANDUKU LA KUWEKEA KURA ZA MBUNGE HALI ILIYOLETA TAFRANI KUBWA.

ASKARI WALITIA TIMU KITUO CHA UVUVI IGOGO ILI KUTULIZA GHASIA NAKUFANIKIWA KUMTIA NGUVUNI KWA MUDA MWENYEKITI WA ENEO HILO AMBAE ALISADIKIKA KUVUNJA KANUNI KWA KUWASHAWISHI WATU WALIOKUWA WAKIFIKA KUPIGA KURA KUELEKEZA KURA ZAO KWA WAGOMBEA CHAMA FULANI.

KITUO CHA MIRONGO NI NI MOJA YA VITUO AMBAVYO VILIPIGA KURA AINA MBILI TU YAANI YA URAISI NA UBUNGE ILE YA 3 YA UDIWANI HAWAKUPIGA, SABABU ZIKITAJWA KUWA NI KUCHELEWA KWA KARATASI ZA UDIWANI (KIUFUPI HAZIKUJA KABISAA). BAADAE WANANCHI WALIPEWA MAELEZO TOKA KWA WASIMAMIZI UPIGAJI KURA UKAENDELEA, HIVYO KURA HIZO KUMCHAGUA DIWANI WAO WATAPIGA BAADA YA MIEZI MITATU(MWEZI JANUARY 2011).

HUMU JOTO BALAA HAKUNA MAJI YA KUNYWA, WASIMAMIZI NA MAWAKALA WALIKUWA WAKIOMBA MUDA UISHE JIONI IFIKE.

..

UCHAGUZI MKUU NCHINI TANZANIA 2010
Rais Jakaya Kikwete akipiga kura yake katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Msoga, kata ya Msoga,Chalinze leo asubuhi.

..

United States - Alexandria MILLS has been crowned the 60th Miss World.

United States - Alexandria MILLS has been crowned the 60th Miss World. She won the coveted crown as Miss World 2010, triumphing out of 115 beautiful and talented young women who took to the stage of the 60th Miss World Final from the Beauty Crown Theatre in Sanya, China. As the final duty in her reign, Miss World 2009 Kaiane Aldorino removed the bejeweled crown to place it on the head of her successor as the new Miss World 2010. Taking up her deserved position on the throne, Miss World 2010 was joined by first runner-up Botswana and second runner-up Venezuela. Alexandria was almost lost for words at the excitement and emotion of the event: “It’s a cliché but this really is a dream come true,’ she said. “I can’t believe it’s happening to me. My time has come. I’m loving it!” The glittering two-hour live TV spectacular to launch the 60th anniversary of Miss World 2010 showcased the beauty and talent of 115 of the World’s most incredible young women, who have spent one month enjoying the wonders of China. Seven previous Miss Worlds from across the decades were among the judges at the live televised final: Denise Perrier Lanfranchi Miss World 1953 France Ann Sidney Miss World 1964 United Kingdom Mary Stävin Miss World 1977 Sweden AgbaniDarego Miss World 2001 Nigeria Maria Julia Mantilla Miss World 2004 Peru Zhang Xi Lin Miss World 2007 China KseniaSukhinova Miss World 2008 Russia International musical entertainment came from multi-Grammy nominee and superstar saxophonist Dave Koz, global chart-topper Shayne Ward and Puerto Rican singing sensation Carlos Aponte. The event also featured music and dance performances from Sanya, the home of Miss World in China. Angela Chow presented the show to a global TV audience. Angela is one of China’s most recognised and glamorous TV presenters who understands the status of Miss World as the co-presenter in previous years. She was joined by Miss World Event Director Steve Douglas. After the Final, the contestants attended the Coronation Gala at the Crowne Plaza Sanya, where they dined with family and new friends from around the world. Since 1 October, a record 115 contestants have been touring China. They visited Shanghai and Beijing, and saw some of the most famous ancient moments and sites, including the Great Wall of China and Genghis Khan’s mausoleum in Ordos, Inner Mongolia. They also got a taste of modern China, with a VIP visit to Beijing’s Olympic Stadium and a tour of the Shanghai EXPO. This is the fifth time that Sanya has been home to the Miss World Final, successfully hosting th

...

CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO CHATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kinatoa pole kwa klabu ya Simba na wanamichezo wote hapa nchini katika kuomboleza kifo cha kocha mahiri Syllersaid Mziray.
TASWA imeshtushwa taarifa za kifo cha Mziray, hivyo tunatoa pole kwa familia ya kocha huyo na wanamichezo wengine katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwanamichezo huyo mahiri.
Mziray atakumbukwa na waandishi wa habari za michezo kutokana na ukaribu wake na alikuwa na ushirikiano wa kutosha pale alipoombwa kufanya hivyo.
TASWA inamkumbuka zaidi Mziray kwani mara kadhaa alipata kushiriki kwa kufundisha kwenye semina ambazo ziliandaliwa na chama chetu ama na watu wengine kwa ajili ya waandishi wetu.
Tunaomba wanamichezo tumuenzi Mziray kwa masuala mbalimbali aliyokuwa akiyatilia mkazo ikiwemo kusimamia ukweli kwa kile alichokiamini na ndio maana tunasema tutaendelea kumkumbuka daima.
Amir Mhando
Katibu Mkuu TASWA

Thursday, October 28, 2010

KANUMBA,MIRIAM GERALD NA ALI LEMTULAH KUWA MAJAJI KATIKA GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010
   Mkurugenzi wa Unique  Entertainment Methuselah Magese ametangaza jopo la majaji ambao wameteuliwa na  kampuni hiyo  kuwa majaji katika hatua ya uchujaji na fainali kwa ujumla.
    Akiyataja majina hayo kuwa ni steven kanumba,Miriam Gerald,victoria martine na mbunifu mahili Ali lemtulah ambao watapata semina maalumu ya kuwanoa kabla ya kuanza kwa duru kubwa la kumsaka mwanamitindo mwenye sifa za kipekee.
     Aidha Bwana Magese aliitaja kamati ya yake ni  ya watu watatu ambapo meneja mradi ni Britney Urasa (miss Temeke  namba mbili), meneja utawala Michael Maulus(mhariri wa gazeti la Jambo) na Methuselah Magese ambaye ni mkurugenzi wa mashindano haya.
       Tunawashukuru wadhamini wote waliojitokeza na wanaoendelea kujitikeza katika shindano la  GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010 ambapo inategemewa kuleta mapinduzi makubwa ya sanaa ya mitindo nchini Tanzania.

......

LUNGILE RADU TO HOST 2010 CHANNEL O MUSIC VIDEO AWARDS

Channel O presenter Lungile “Lungsta” Radu will take on the role as 2010 Channel O Music Video Awards host. Over the years the multi-talented Lungile has made his mark in the entertainment industry through hosting shows like O-Boma, Dance Africa, Goal Diggerz as well as co-hosting the previous year’s awards ceremony. On the night he will be joined on stage by Thomas Gumede. The actor and comedian has performed at numerous live comedy gigs, including the successful 99% Zulu Comedy Show in Durban, South Africa.
Earlier - Monday September 27 – Loyiso Gola was announced as event host for the LIVE show which will take place on Thursday November 4 at the Sandton Convention Center in South Africa, but due to conflicting schedules, the popular South African comedian will not host the awards ceremony.
“Loyiso is a talented comedian and that is one of the reasons we had chosen him to host this year’s Channel O Music Video Awards, but unfortunately with great talent comes even greater demand and the awards are our flagship event and the time required to rehearse for the first ever LIVE broadcast is considerable. A mutual understanding was reached between him and the channel and we look forward to working with him on future projects,” says Yolisa Phahle, Channel Director: Special Interest Channels.
The Channel O Music Video Awards will be screened live on DStv on Thursday November 4, 2010.
Vote NOW and make sure that YOUR favourite artist wins in this year’s awards. Make your mark by voting - either via SMS [SMS the artist code to the number [+27 83 920 8406], on the web (www.mva.channelo.tv) or on your mobile phone [channelo.tv

Tuesday, October 26, 2010

BREAKING NEWS...

CHAMACha Waandishi wa Habari za Bunge (BUPAT)

Jengo la Bunge.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama cha waandishi wa habari za Bunge (BUPAT) , kinawapongeza wagombea wote kwa kupitishwa na vyama vyao na kunadi sera za vyama na pia kuonyesha nia binafsi za kutaka kuwasaidia Watanzania kwa ujasiri mkubwa. Pili, BUPAT kinawapongeza Watanzania wote kwa jinsi walivyoonyesha ushiriki wao katika kusikiliza mikutano mbalimbali ya kampeni za wagombea Urais, Ubunge na Udiwani sehemu mbalimbali nchini. Hakuna shaka kwamba wengi wamewatambua wagombea wenye busara, hekma, upendo wa dhati kwa Tanzania, Watanzania na wenye nia ya kutatua matatizo ya kijamii kwa dhati. BUPAT ambacho ni Chama kilichosajiliwa Wizara ya Mambo ya ndani na kupewa namba 16163 kinapenda kuwaomba Watanzania wote walioorodheshwa kwenye daftari la wapiga kura kujitokeza siku ya kupiga kura ambayo ni Oktoba 31, yaani Jumapili ijayo. BUPAT inawasihi wapiga kura kufika mapema kwenye vituo na kupiga kura, hatimaye wafuate maelekezo ya Tume ya Uchaguzi eneo husika kwa mujibu wa sheria. Lakini pia BUPAT inaishauri Tume ya Uchaguzi ngazi ya Taifa, Jimbo na Kata kuhakikisha haki inatendeka wakati wa kupiga kura, kuhesabu na kutangaza matokeo bila kigugumizi hata kama Chama Tawala kitaanguka ili kuendeleza demokrasia nchini. BUPAT inaisihi Tume , hata kama mawakala wa vyama vingine watakosekana kwenye vituo iendelee kusimamia haki bila kuchakachua kura za Watanzania. BUPAT pia inavisihi vyombo vya dola wakati wote kukumbuka kwamba vyama vyote vya siasa ni vya Watanzania, Wagombea wote ni Watanzania, hivyo yeyote atakayeshinda ni Mtanzania na ataongoza kata, jimbo na nchi kwa manufaa ya Watanzania. Lakini pia kwa kuwa polisi na maofisa usalama wengine wote ni Watanzania , BUPAT inaamini kwamba taasisi hizo hazitatumika kutaka kuwalinda baadhi ya wagombea watakaokataliwa kwa kura za Watanzania. Daima vyombo vya dola vitambue wazi kwamba kura za Watanzania ziwe mwamuzi wa mwisho wa kumpata Diwani, Mbunge na Rais wa Tanzania. Vyombo vya dola viweke mazingira mazuri katika vituo vyote ya kuwawezesha Watanzania wapiga kura wapige kura, zihesabiwe kura na kutangaza matokeo kwa amani. Vyombo vya dola vijitokeza kuwadhibiti watu watakaotaka kuvuruga uamuzi wa Watanzania kwa kura zao, lakini siyo kuwadhibiti wanaotaka kujua matokeo ya kura za Watanzania. Mwisho, BUPAT inawasihi pia wagombea watakaopata kura chache kuwa wavumilivu na kutambua kwamba ni uamuzi wa Watanzania. Watakaoshindwa wakubali matokeo na wavunje makundi na kama ahadi binafsi za kusaidia wananchi waendelee kuzitekeleza kwa nia ya kuendeleza nchi. Hali kadhalika watakaoshinda uchaguzi ujao, BUPAT inawasihi wasiweke uadui dhidi ya waliowapinga, bali wanaweza kuchukua baadhi ya ahadi za wapinzani wao kutatua matatizo ya wananchi na kuzitumia kipindi cha miaka mitano ijayo. Pia tunawasihi watekeleza ahadi zao kama walivyoahidi bila kuwafanya majuha Watanzania watakaowapigia kura. Waandishi wa habari za Bunge , wapo tayari na kalamu zao kuendelea kushirikiana na Wabunge watakaotangazwa kushinda mara tu baada ya uchaguzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu. BUPAT inawatkia kila la heri Watanzania wapiga kura na wagombea wote. Mungu ibariki Tanzania Ahsante. Mwenyekiti wa BUPAT Lauden Mwambona 26/10/2010

ANGELS ENTERTAINMENT KULETA THE MOST HANDSOMAN MAN KWA MARA YA PILI

   Kampuni ya Angels Enterainment inatarajia kufanya shindano la most handsoman in Tanzania kwa mara ya pili ambapo ushindi wa mwaka jana ulienda kwa Halid mohamed ambaye yuko nchini canada kikazi.
                                Joseph rwebangira-mkurugenwa Angels Entertainment

   Akiongea na Uniqueentetz blog ambayo pia ni moja ya wadhamini kufikisha ujumbe ,matukio na habari za shindano hili la kusisimu Bwana joseph Rwebangila amesema maandalizi yamekamilika na punde tu mambo yataanza kuonekakana katika vyombo mbalimbali vya habari
   Fomu bado zinapatikana Identity store ,zizzu fashion victoria ,ijumba enterprises,photppoints zote, wahi mapema naeasi ni chache.

Meneja udhamini wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa akiwaonyesha waandishi wa habari magari 30 kati ya 100 yanayotolewa kwa washindi wanaoshiriki shindano la shinda Mkoko linaloendeshwa na kampuni hiyo tangia tarehe 2 mwezi wa nane na mpaka sasa magari yamebaki 15 yakiwa tayari kwa kunyakuliwa na mteja yeyote Yule wa Vodacom Tanzania.
Magari aina ya Hyundai i10 yanayotolewa kwa washindi wa shindano la Shinda Mkoko linaloendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania yakipita chini ya bango la kampuni hiyo lenye ujumbe Habari ndiyo hii katika makutano ya barabara za Kawawa na Uhuru ya Ilala Boma leo.
Miongoni mwa magari hayo yapatayo 30 ambayo yamehifadhiwa katika ghala la kampuni ya kuuza magari ya FK Motors leo yalipitishwa katika maeneo mbalimbali jijini ili kuwaonyesha wananchi juu ya uhakika wa shindano hilo la Shinda Mkoko kutoka Vodacom Tanzania ambalo linaendeshwa kila siku na mshindi kujishinda gari moja la Hyundai I10 kila siku.
Jumla ya magari matatu yameshatolewa kwa washindi wa shindano hilo kutoka mkoani Dar es salaam, Dodoma na Ruvuma na magari mengine yataendelea kutolewa kwa washindi kwa utaratibu uliopangwa na Vodacom Tanzania ambapo kwa sasa taratibu mbalimbali za usajili wa magari hayo zinaendelea
Magari aina ya Hyundai I10 yanayotolewa na kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania katika shindano lake la kila siku la Shinda Mkoko yakiwa katika msururu wakati yalipokuwa yakipelekwa katika maegesho yaliyopo kwenye kampuni ya kuuza magari ya FK Motors iliyopo barabara ya Nyerere.
 

Monday, October 25, 2010

VIGEZO VYA KUSHIRIKI GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010  KUTANGAZWA

   Mkurugenzi wa unique Entertainment mr.Magese ametangaza vigezo vya wasichana wanao tarajia kushiriki mchakato wa shindano la mitindo la Giraffe unique model 2010.

1.catwalk and cariage in showing-off clothes
2.photogenic
.....Tape: height  5.8-6
            hips    36-37
            waist   26-27
             bust  33-35
3.Age  18-25
4.charm,natural and good looking
5.Intelligence and general knowledge
6.confidence
7.sex: female
8.nationality: Tanzanian
9,Appropiate behaviour in society

   Mamboyameiva mchakato kuanza hivi karibuni,wadhamini wanaendelea kupokelewa

Saturday, October 23, 2010

BREAKING NEWS !!

ULINZI IMARA NA MAZINGIRA TULIVU NI MUHIMU KUFANIKISHA ZOEZI LA KUPIGA KURA.

MWONGOZO KWA WAPIGA KURA WENZANGU.
OCTOBER 31 KUWAKILISHA NDIYO HOJA. KATIKA KIPINDI HIKI TUKIELEKEA KATIKA KIPINDI CHA UCHAGUZI, WATANZANIA WENGI TUMEKUWA NA WOGA HASA PALE TUNAPOKUTANA NA MAGARI MAPYA PAMOJA NA ASKARI WA JESHI LA POLISI WAKIWA NA NYENZO MPYA ZA KISASA KWA AJILI YA ULINZI NA USALAMA.
MENGI YAMEZUNGUMZWA MIONGONI MWETU LAKINI BLOG HII INAUNGANA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWAONDOA HOFU WATANZANIA KUWA YOTE HAYA YANAFANYIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE, NA TEKNOLOJIA HII NDIYO INAYOTUMIKA KATIKA DUNIA YA SASA. AU TULIPENDA WALINZI WETU HAWA WABAKI NA VITENDEA KAZI VYA KARNE ILIYOPITA KWA KULINDA BILA VIZUIZI, ILE HALI WAVAMIZI NA MAJAMBAZI WAKIZAMA MASKANI ZETU KWA SILAHA ZA MOTO NA MITUTU YA HATARI?
KWA NYENZO KAMA HIZI HATA YULE MFANYA FUJO HATOKUWA NA JEURI KAMA VILE ASKARI ANGEMFUATA MFANYA FUJO HUYO AKA MHALIFU BILA NYENZO YAANI KAVUKAVU.
JESHI LA POLISI NI RAFIKI WA RAIA TUSHIRIKIANE NALO KUKOMESHA UHALIFU, HIVYO HATUNA HAJA YA KUOGOPA TUJITOKEZE KWA WINGI OCTOBER 31 2010 KUKAPIGA KURA.
......SAUTI ZA BUSARA FESTIVAL ARTIST 2011.........
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNVZq_4q3182NN50U9ghF1NI_Tlqbf4WvxoQCPQ_v0QjKoqejtaGi8dgMTRGWaku2uCoekM90Mu0c3nTslcXCt2DAp5nIzVqkncrc1xsYlC2KvreXU_DnIZHs1grxHc1pc6OxkV8hPN-g/s1600/Sousou-&-Maher-Cissokko.jpg

Moussa Diawara

Style
fusion, jazz, roots
Guinean singer and composer Djeli Moussa Diawara is foremost among world players of the kora, the African harp-lute of the Manding people of the Senegambia. Born in Guinea in 1962 into a family whose musical roots span generations, his father was a famous player of the balafon (African wooden cousin to the xylophone), and his mother sang.
He joined his family as a member of the djeli (or jail) caste – the honoured griots that carry a tradition of reciting town news through improvised lyrics and melody on the kora. Like his half-brother Mory Kante -sharing the same mother - he was drilled by his elders in music, instrumental technique and a millennium’s worth of oral history and genealogies.
The kora is a demanding instrument, consisting of two parallel rows of 32 strings attached to a notched bridge on a resonating gourd. Djeli’s confident command of it is the result of a lifetime of study and practice. Through the intimate bond with the kora, he has developed a rich musical talent, allowing him to wander from traditional rhythms from his Mandingo roots to unexpected styles, such as salsa, flamenco and jazz, always pushing the boundaries of his kora.
Aside from his solo career Рof which he has released seven albums so far, with the eighth in the studio at the time of writing Рhe is also part of the Kora Jazz Trio group, which he founded together with Abdoulaye Diabat̩ (piano) and Moussa Cissoko (drums) and in which he composed most of the tracks of the three albums the trio have released.
Since the release of his first solo LP recorded in Abidjan in 1983, he has toured and recorded extensively meeting on stage or in the studio with many great artists such as Ali Farka Touré, Carolos Santana, Bob Brozman, Manu Dibango, Janice de Rosa, Stephan Eicher, Cheick Tidiane Seck.
Now living in Paris, Djeli Moussa Diawara is working on his new solo album, due for release later in the year.
 
HAFLA YA SWAHILI FASHION WEEK- MUCH MORE


Party ya uzinduzi rasmi ya Jukwaa la Tatu la Swahili Fashion week, itafnyika kesho jumamosi katika ukumbi wa Mach More Bilicanas Group, kuanzia saa 4:00 usiku.

Katika shughuli hiyo itawaleta pamoja wabunifu wa mvazi mbalimbali waliopo hapa nchini na wale ambao watashiriki Swahili Fashion Week ya mwaka huu, Sambamba na hao pia watakuwepo walibwende wa aina mbalimbali ambao watapamba jukwaa la Swahili Fashion Week.


“Tunaamini kwamba kufanyika kwa party ya uzinduzi ni mwanzo mzuri na tunategemea kuwa jukwaa la tatu la Swahili Fashion Week litakuwa bora, kutokana na maandalizi yake kuwa mazuri zaidi, watanzania wategemee kuona vitu tofauti na mwaka jana” Alisema Mustafa Hassanali, muandaaji wa Swahili Fashion Week.

“Kiingilio ni shillingi 20,000/= tu, itapendeza tukijumuika pamoja katika kusheherekea na kuunga mkono Sanaa ya ubunifu wa mavazi hapa nchini”. Alieleza Roy Mbowe wa East Africa Radio.

“Katika Sherehe hiyo ya uzinduzi kutakuwepo na burudani mbalimbali za kuvutia pamoja na bahati na sibu za aina mbalimbli, sambamba na muziki kabambe kutoka kwa DJ wa East Africa Radio”. Aliongeze Roy Mbowe Meneja Masoko kutoka East Africa Radio.

Swahili Fashion Week ni jukwaa linalowakutanisha wabunifu wa mavazi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya Kiswahili, mbalo litakalofanyika kuanzia November 4 , 5 na 6 katika Bustani ya Karimjee, Dar es Salaam.

Swahili fashion week 2010 imedhaminiwa na Home of Swahili Fashion week Southern Sun, Origin Africa, USAID Compete, EATV, East Africa Radio, Malaria Haikubaliki, BASATA (Baraza La Sanaa Tanzania) Ultimate Security, Monier 2000, Colour Print ltd, Global Outdoor Ltd, Amarula, Vayle Springs Ltd, ZG Films, Darling Hair, Danish make up designs, Nipashe, Bilicanas, Perfect Machinery LTD, 1 & 1 internet solutions, Sengi Tours, Ifashion na 361 Degrees.
 

Thursday, October 21, 2010

GLOBAL PUBLISHERS,HABARI COOPERATION NA TRUWORTHS WAJITOKEZA KUDHAMINI GIRAFFE UNIQUE MODEL 2010

    Wadhamini wa shindano la kumsaka mwanamitindo wa kike mwenye sifa za kipekee lina zidi kuchua sura mpya kila kukicha baada ya kampuni ya Global publishers & Genral Enterprises kudhamini shindano hili kwa kupitia magazeti yake ya Ijumaa,championi,risasi,uwazi,ijumaa wikienda,Amani na mtandao wa www.globalpublisherstz.com kurusha matukio yote kwa kipindi cha siku 55 za shindano.
     Aidha kampuni ya Habari cooperation ya jijini Dar itadhamini shindano hili kwa kutoa habari za Giraffe uniquev model 2010 kupitia magazeti yake ya Mtanzania,Dimba,Rai,The African na Bingwa kwa kila tukio,tunatumaini yakwamba habari za shindano hili zitamfikia kila mtanzani.
      Pia duka la nguo la Truwoths lililopo mlimani city litatoa nguo kwaajili ya washiriki siku ya shindano pamoja na blog ya uniqueentertz.blogspot.com ambayo itaandika na kuweka kila namna ya mwenendo mzima wa shindzno hili alikadhalika Giraffe ocean view hotel ndio mdhamini mkuu wa shindano hili



MSHINDI WA MILIONI KUMI SUPA PESA WIKI HII .
Mrs grace Biko akishika cheki ya milioni kumi ikwa ni mfano wa cheki kwa kiasi alichoshinda kupmchezo wa kubahatisha wa supa pesa
Supa Pesa Yamng’arisha Grace Absalom


Msambazaji wa vifaa vya ofisini na shuleni, Bi. Grace Absalom, amebahatika kuwa kati ya washindi waliojinyakulia Milioni Kumi kupitia bahati nasibu ya simu za mkononi, Supa Pesa.

Katika hafla ya kukabidhiwa hundi, Mshindi huyo alisisitiza kuwa alipata mshtuko kiasi cha kupata wasiwasi alipopata simu ya kutaarifiwa ushindi wake,kana kwamba sio ukweli yale aliyokuwa akiambiwa.

‘ Nilipata shauku sana hasa baada ya kupata simu niliyopigiwa na mtangazaji wa redio kunijulisha kuhusu ushindi wangu. Sikuamini kabisa niliyoyasikia, niliona kama ni utani mpaka kufikia kumuuliza mtangazaji huyo mara mbili mbili kuhakikisha sio utapeli. Namshukuru Mungu ikatokea ni ukweli nilipata ushindi wa Supa Pesa na papo hapo nikajawa na furaha sana.’ alisema Grace.

Grace alipokea hundi yake ya milioni Kumi katika ofisi za Supa Pesa jijini Dar es Salaam, mbele ya waandsihi wa habari pamoja na mwakilishi kutoka bahati nasibu ya taifa, Bw. Abdallah Salim.

Meneja mkuu wa Supa Pesa,Bi. Natasha Issa, akiwa anamkabidhi Bi. Grace hundi lake alisema, Supa Pesa inazidi kubadilisha maisha ya watanzania wanaoshiriki droo hiyo.

‘Ni jambo la faraja sana punde anaposhinda mshiriki wa droo hii rahisi ya Supa Pesa ,na kupata ushuhuda jinsi maisha yanavyobadilishwa siku baada ya siku kupitia bahati nasibu hii hasa kwa fedha wanazopata washindi.

Tunazidi kuwahamasisha washiriki wetu watume ujumbe mfupi wenye neno SUPA kuenda namba 15777 zaidi na zaidi ili kujiongezea nafasi za ushindi kila siku. Supa Pesa inatoa fedha taslimu Milioni Moja kwa washindi wa tatu kila siku na Milioni Kumi kwa mshindi anayeshiriki kutuma ujumbe mfupi zaidi ya mara nne kwa wiki.’
MWISHO MWAMPAMBA ATUA DAR KWAA KISHINDO
 kijana machachari katika Big brother All stars Mwisho mwampamba jana ametua jijini Dar toka bondeni kwa kuingia moja kwa moja katika studi za clouds fm na kubonga na Gadna G N Ephraem Kibonde
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhoqIjFfJI_fHpvXAwVW5Ult8yRaMNSp7KOyR0ykYO-6uHCT_Gaz0iu91oo2POIlHy6NsmHq8pH47V5VecjOyx6bwsrk8FhFZ3RqtwAjc4HDwO7SnXmM-4R5zt_HF426flB7a2Uj-VD_bZd/s1600/3.jpg

Wednesday, October 20, 2010

 

ALI KIBA KWENDA MAREKANI KUREKODI NA MSANII BORA WA KIMATAIFA



Mwanamuziki bora wa Kitanzania Ali Kiba anatarajiwa kwenda Chicago nchini Marekani kuungana na wanamuziki wengine maarufu wa Afrika kuunda kundi bora la muziki la Afrika linalojulikana kama ONE8 linalojiandaa kurekodi na mwanamuziki bora wa R&B Duniani.
Hii ni mara ya kwanza kutokea kwa wanamuziki wa Afrika kuungana kama ilivyotokea hivi.Ushirikiano huu wa nyimbo pamoja na Video umeonyesha ushirikiano mzuri wa Afrika na Nchi za Nje.Kundi la ONE8 ndio mshiriki mkuu katika mpango huu na wanashirikiana kwa karibu zaidi na kwa usawa na mwanamuziki bora wa R &B wa marekani mwenye makazi yake jijini Chicago akiwa na timu yake ambao wamefurahishwa sana kufanya kazi na wasaanii hawa kutoka Afrika..
Ali Kiba ni mfalme wa Bongo Flava na ni msanii bora kabisa nchini Tanzania. Japokuwa Ali Kiba alitoa Albam yake ya kwanza mwaka 2008 amefanikiwa kuwa mmoja wa wanamuziki bora barani Afrika, pamoja na nchi nyingi za barani Ulaya na Marekani.
Kwa mauzo Ali Kiba albam yake ya kwanza Ali kiba ilipata mafanikio makubwa Afrika mashariki kwa kuwa ndio albam iliyoongoza kwa mauzo katika ukanda huu.Ali Kiba anatarajiwa kuwa nguzo muhimu katika kundi la ONE8.
Wakati wanamuziki wote 8 kutoka Afrika wakiondoka kwenda nchini Marekani, mashabiki wa muziki duniani kote wataunganishwa nao kupitia mitandao mbalimbali kama vile Facebook, Twitter, Flicker na You tube.
Wanamuziki wengine kutoka Afrika wanaounda kundi la ONE8 ni Amani kutoka Kenya, Navio-Uganda, Fally Ipupa-RDC, 2 Face-Nigeria, JK-Zambia, 4 x 4-Ghana na Movaizhaleine kutoka nchini Gabon .
UZINDUZI WA SWAHILI FASHION WEEK KWA MARA YA TATU JIJINI DAR




Mbunifu wa Mavazi na Muandaaji wa onyesho la mavazi la Swahili Fashion Week,Mustafa Hassanali akifafanua jambo mbele ya wandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tamasha hilo katika mkutano na wanahabari hao uliofanyika leo katika hoteli ya Southen Sun jijini Dar.



Muwakilishi wa Hoteli ya Southen Sun,Bi. Judith Muyo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu onyesho la mavazi la Swahili Fashion Week,wengini ni Mustafa Hassanali (katikati),Mratibu wa Mitindo,Bw. Washington (kulia),Afisa habari wa Mustafa Hassanali,Saphia Ngalapi (pili kushoto) na mwisho kabisa ni Alex Galinoma kutoka EATV.

Kwa mara ya tatu sasa Swahili Fashion Week itafanyika Karimjee Hall kuanzi tarehe 4 hadi 6 November 2010, Dar Es Salaam , Tanzania .
Swahili Fashion Week itawaleta pamoja wabunifu wa mavazi 24 kutoka nchi zinazoongea lugha ya Kiswahili ili kuweza kuonyesha ubunifu wao katika kubuni mavazi ya aina mbalimbali kwa kutumia aina mbalimbali za malighafi.
Wabunifu watakaoonesha mavazi katika Swahili Fashion Week kwa mwaka huu ni pamoja na Ailinda Sawe, Manju Msita, Kemi Kalikawe, Christine Mhando, Shellina Ibrahim, Farha Naaz Sultan, Gabriel Mollel, Robi Morro, Asia Idarous, Zamda George, Khadija Mwanamboka, Jamilla Vera Swai and Made by Afrika. wabunifu kutoka Kenya ni Sonu Sharma, Moo Cow, KiKoromeo, John Kavike na Kooroo, na kutoka Uganda ni mbunifu Stella Atal.

“Pamoja na maonyesho ya mavazi, mwaka huu Swahili Fashion Week itakwenda sambamba na tamasha la maonyesho ya bidhaa mbalimbali zenye asili ya mswahili kutoka mwambao wa Afrika mashariki”. Alisema Mustafa Hassanali muaandaaji y tukio la Swahili Fashion Week.

“Tunafungua milango zaidi kwa ajili ya watazamaji wapya wa Swahili Fashion Week, amboa watapata fursa ya kununua bidhaa mbalimbali. Tamasha hili ambalo linazileta pamoja bidhaa mbalimbali za sanaa na utamaduni wa mswahili, pia litahamasisha ubunifu zaidi katika bidhaa zinazokwenda sambamba na maisha halisi ya jamii ya watu wanaoongea lugha ya Kiswahili kwa kukutana pamoja na kubadilisha mawazo na kujifunza uzoefu mpya katika masuala yanayohusiana na sanaa kwa ujumla.” Aliaongeza Hassanali.
Pamoja na maonyesho, pia kutakuwepo aina tofauti za burudani kutoka kwa vikundi
Mbalimbali vya muziki, uchoraji wa hina, usukaji mikeka, sambamba na semina za aina tofauti zitakazo washirikisha wabunifu wa mavazi.
Aidha Swahili fashion Week imeandaa aina tofauti za zawadi zitakazotolewa mwaka huu kwa lengo la kutambua na kuthamini vipaji vya aina mbalimbali vitakavyooneshwa, ikiwa ni pamoja na zawadi ya mwaka kwa mbunifu anaechipukia.
Swahili fashion week 2010 imedhaminiwa na Home of Swahili Fashion week Southern Sun, Origin Africa, USAID Compete, EATV, East Africa Radio, Malaria Haikubaliki, BASATA (Baraza La Sanaa Tanzania) Ultimate Security, Monier 2000, Colour Print ltd, Global Outdoor Ltd, Amarula, Vayle Springs Ltd, ZG Films, Darling Hair, Danish make up designs, Nipashe, Bilicanas, Perfect Machinery LTD, 1 & 1 internet solutions, Sengi Tours, Ifashion na 361 Degrees.

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdTrDDlWDKXrri8I9obcZFt4oXoe_5V84M3YEJLkKPeXK1QKsLVhA_BqDh0RQ5zbWiERA_XY5VNfddNIO4LxBTl1-rbRjaHdO59AxPik5lEDdtVNtFiaPkxZFdPz6TYV-kf0FJ2fuKEQwP/s1600/1.jpg


Global Fashion Show to benefit the Bisila Bokoko African Literacy Project .

On Friday, October 22, 2010 at 7:00 pm at Fashion Institute of Technology (FIT) - Fashionjunkii will be organizing a Global Fashion Show to benefit the Bisila Bokoko African Literacy Project (BBALP-www.bbalp.org).
Eight well established designers will be presenting their collections from different parts of the globe. They are:MATAANO, Amparo Chorda, Louda Collection, African Mosaique, Thula Sindi, David Tlale, Nike Kondakis, and Prajjé Couture. Moreover, there will be a total of 36 diverse models representing every part of the globe.
This one of a kind fashion show will not only bring the invited only attendees a taste of global culture, but will also give them a chance to ‘’hobnob’’ with global celebrities, high profile fashion gurus and New York Elite. Guests will also have a chance to see one of a kind pieces (most of which are not mass produced).
The fashion show is the first Global Fashion show event presented this year to benefit charities and is intended to be a yearly fashion gathering for great charity causes.
Press and Industry Registration is now open. For press and general enquiries, you can email us:globalfashionshow@gmail.com. For Inclusion in the official Press & Industry list, please register before October 15th at noon. Registration closes on October 18th, 201

Mwanafunzi wa Chuo Aula Milioni Moja Supa Pesa!

Huku droo ya Supa Pesa ikiendelea kutoa mamilioni kwa washindi wake kupitia bahati nasibu inayochezeshwa nchini kote, wikiendi iliyopita imemkuta mwanafunzi kutoka chuo kikuu cha Dodoma,tawi la Mwanza, Catherine Nyamoni, akibahatika kujinyakulia kiasi cha milioni moja fedha taslimu.
Mwanafunzi huyo, mwenye umri wa miaka 23, alisema,’ Kweli mimi nilikuwa kati ya watu ambao sitilii maanani michezo ya bahati nasibu wala kuwahi kushiriki kati shindano lolote maishani mwangu. Lakini wiki chache zilizopita nilipokuwa nasikiliza redio nyumbani, nilipata nafasi ya kumsikiliza mshindi wa milioni kumi akipigiwa simu kujulishwa kuhusu ushindi wake. Basi pale ndipo nilipata hamasa kubwa na kuamua kutopitwa na nafasi ya kujaribu bahati yangu. Nilishiriki kwa kutuma ujumbe mfupi kama walivyoelekeza na baada ya kujaribu mara kadhaa nimepata ushindi. Namshukuru Mungu nimefanikiwa na kupata ushindi.’
Catherine aliongezea kusema, ‘ Nitatumia hela za ushindi kuendeleza masomo yangu kwa kununua kompyuta itakayonisaidia kufanya kazi chuoni kwa ustadi zaidi na vilevile hela itakayobaki ninatarajia kutumia kama mtaji wa kuanzisha biashara ndogo ili kujipatia kipato cha kila siku.
Kushiriki droo ya Supa Pesa ni rahisi, inahitaji kutuma ujumbe mfupi wenye neno SUPA kwenda namba 15777. Hii inakuwezesha wewe kuingia moja kwa moja kwenye ushindani wa shilingi milioni moja kila sikui na ukishiriki kutuma Ujumbe mfupi wa simu zaidi ya mara nne basi utakuwa kati ya washindani wa milioni kumi kila w

Monday, October 18, 2010

breaking news..!!

UDHAMINI WA GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL WAFIKIA 35ML


  Udhamini wa hoteli ya giraffe katika shindano la Girafee unique model 2010 umefikia milioni 35 za kitanzania ambapo baadhi ya mambo mengine na wadhamini kadhaa wakijitokeza kudhamini shindano hilo la mitindo ambalo linategemewa kua la aina yake kwa kufungia mwaka kimitindo
   Girrafe unique model ni shindano la kumtafuta mwanamitindo wa kike mwenye sifa za tofauti ikiwa na lengo kuu la kuleta mapinduzi ya mitindo nchini tanzania
   Pia mbunifu wa mavazi nchini Tanzania ali lemtulah amejitokeza kama mdhamini wa mavazi na mtu atayemchukua model mmoja kama balozi wa nembo ya nguo zake zinazotegemewa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwaka ambae atafanya kazi na mwanamitindo huyo kwa mwaka mzima ....ni kitu kikubwa sana watanzania.


WASANII WA RAGGA NA REGGAE KUTUMBUIZA PAMOJA
                                              Msanii kutoka JAMAICA ZANZI- B
Msanii wa miondoko ya Ragga kutoka nchini JAMAICA ZANZI- B anatarajia kushiriki katika tamasha la ‘EXPLOSIVE ZION” lenye lengo la kukumbuka kifo cha nguli wa miondoko ya REGGAE hayati LUCKY DUBE wa AFRIKA KUSINI. 

Meneja wa kampuni ya I-NOCH ambao ndiyo waratibu wa tamasha hilo MUKALAY MTANGAZA na mwanamuziki JHIKOMAN wamesema mbali na kumuenzi LUCK DUBE tamasha hilo litasaidia kuwainua wasanii chipukizi wa fani ya reggae, ragga na dance hall.

Katika tamasha hilo litakalofanyika OCTOBA 29 katika ukumbi wa makumbusho KIJITONYAMA jijini DSM, burudani kutoka kwa wasani wa hapa nchini JHIKO MAN, AFRIKABISA BAND, HARD MAN, SAGANDA na ZEMKALA BAND pia itawaka moto na hapa wanatupa radha ya kile kitakachotokea
 

DHL WATOA VYANDARUA 1500 KITUO CHA KULELEA WATOTO SOS

Wafanyabiashara wanaojishughulisha na usafirishaji wa vifurushi na bidhaa mbalimbali DHL wametoa msaada wa vyandarua 1,500 leo kwa nyumba ya kulelea watoto yatima wanaoishi katika kituo cha (SOS Childrens Villages) kilichopo barabara ya Sam Nujoma Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa vyandarua hivyo Mkurugenzi Taifa wa Kijiji hicho cha SOS, Rita Kahurananga alisema kwa niaba ya kituo,watoto na uongozi wote wa SOS wanatoa shukrani za dhati kwa DHL.

Alisema msaada huo umekuwa ukiwa ni katika mpango mkakati wa kuendeleza mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria pia wakukuwa wakihitaji vyandarua hivyo msaada huo umekuja kwa wakati muafaka .

Kahuranaga aliendelea kwa kusema kuwa vyandarua hivyo watavigawa katika vituo vyao vungine vya kulelea watoto vilivyoko Mwanza, Arusha, Zanzibar, Bagamoyo, Shinyanga na Iringa.

Wakati huohuo aliongeza kwa kusema kuwa wanampango wa kuanzisha vituo vingine vya kulelea watoto katika kisiwa cha Pemba, Mtwara, Iringa na Mbeya ambapo pia wanahitaji wadhamini wajitokeza ili kufanikisha mpango huo endelevu.

Kituo cha SOS kiliasisiwa na Herman Gmeiner ambapo kituo cha kwanza alikilianzisha mwaka 1949 nchini Australia.
SOS ni shirika lisilo la kiserikali na wenye mipango ya muda mrefu ya kuweka malezi bora kwa watoto ambao huanza kulelewa kuanzia umri wa kuzaliwa hadi wanapopata umri mkubwa huku wengine wakimudu kujitengemea ambapo inalea watoto 419 katika vituo.
Mwisho.

Mtoto Kulwa akizunguma na mimi mara baada ya kukabidhiwa vyandarua hapa akirudi darasani.

BigBrother Allstars Uti Victorious!


After battling it out for a gruelling 91 days, Nigeria's own, Uti Nwachukwu has become Big Brother Africa's newest millionaire! After fighting off stiff competition from Zimbabwe's Munya Chidzonga, Uti was announced the winner of a cool USD 200 000. There was palpable tension as soon as host IK was beamed onto the House screens to make the announcement. Both Uti and Munya, who had earlier professed how nervous they were, sat on the couch, their cigarettes in hand. Uti stared into one spot while Munya bowed his head and held Uti's hand. Munya stared at the ceiling in disbelief for more than two minutes. He held his heads in his head and looked like he was holding back a bucket of tears. As soon as Uti found out he had won, he jumped onto the couch and sang his national anthem. Munya walked out slowly not believing what had happened. When interviewed, Munya mentioned how he wanted to make it further than he did last time. He saluted and did the Diamond Boy sign. As soon as he saw his family, he fell into his mothers arms and burst into tears. The race was the tightest the game has ever seen with Uti getting voted from 8 countries to Munya's seven!


Katy Perry, Akon to share runway with VS models

 NEW YORK – Katy Perry, Akon and model Adriana Lima in a $2 million fantasy bra are among the highlights planned for this year's Victoria's Secret fashion show.

Other models expected on the runway include Alessandra Ambrosio, Rosie-Huntington Whiteley, Chanel Iman and Candice Swanepoel. Missing from the lineup is Heidi Klum, who recently parted with the brand.
The lingerie show has become a holiday tradition of sorts, with many of the catwalkers outfitted in elaborate, fanciful wings — and very little else — parading in front of elaborate sets.
The fantasy bra has become a signature, too: This one created by jeweler Damiani features diamonds, sapphires and topaz.
The show will be taped Nov. 10 to be televised in an hour-long special on CBS on Nov. 30.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtnP6mnEA3a2pH-OzXPdURfroyS2N59BaFpCl3IWox3Jerj5qFWugl17Vw3OeP4PPxH7Y4I6eEzLy8n7RtKyTKU-7jrdZ-aUTRK81d06sJhH6WFtQ_n62HoEATPi4bx2NM4xbdzU-jMMVp/s1600/akudo+impact+musoma+(3).JPGwana-akudo sound wakijiachia kikwelikweli

Saturday, October 16, 2010

  the most handsome man in tanzania comming soon...

mazoezi yataanza soon pale mailaika ,chukua fomu mapema nafasi ni chache.


T.I. Sentenced to 11 Months in Prison

Yahoo! Music, Oct 15, 2010 7:00 pm PDT
T.I. was sentenced to 11 months in prison today after a judge revoked the rapper's probation following his arrest on drug charges in Los Angeles last month, the Atlanta Journal-Constitution reports. T.I., who was released from prison just eight months ago, after serving nearly a year behind bars on federal weapons charges, was on three years' probation as part of his initial plea bargain. Two days ago, T.I. helped police in convincing a suicidal man not to jump from a 22-floor Atlanta building, but the rapper's rescue, and the police's gratitude toward T.I. for assisting in the situation (one of the officers reportedly spoke at today's hearing), apparently did not factor into the judge's decision. T.I. was given two weeks to turn himself into authorities.
Photos: Random Notes
T.I. and his wife Tamika "Tiny" Cottle were arrested on September 1st after their Maybach was pulled over in Los Angeles. Police smelled pot coming from the vehicle, and a search of the car turned up multiple controlled substances. The rapper was charged with possessing ecstasy, testing positive for opiates and associating with a convicted felon.


 AKUDO WAJIACHIA MARA KINOMA NOMA


                          AKUDO SOUND



Dolce and Gabbana accused of tax evasion: report

 

ROME (AFP) – Italian prosecutors have accused the fashion house Dolce and Gabbana of failing to declare revenues of around 840 million euros (1.2 billion dollars), Italy's main business daily reported on Saturday.
Investigators have closed their inquiry against founders Domenico Dolce and Stefano Gabbana, as well as five other people, but no formal charges have yet been presented, Il Sole 24 Ore said, citing prosecutors in Milan.
The allegation is that Dolce and Gabbana created a company in Luxembourg in 2004 and 2005 which was given control of the group's brands, thereby avoiding Italian taxes. The Luxembourg company, Gado, was in fact run from Italy.
The unpaid taxes amount to 420 million euros, Il Messaggero daily reported.
Italy has been cracking down on widespread tax evasion in recent months in an effort to raise government revenues following the global economic crisis.
Dolce and Gabbana was set up in 1985 and employs more than 3,000 people, with a network of 116 stores and 17 factory outlets in 2009, the group's website said.

Katy Perry, Akon to share runway with VS models

 

NEW YORK – Katy Perry, Akon and model Adriana Lima in a $2 million fantasy bra are among the highlights planned for this year's Victoria's Secret fashion show.
Other models expected on the runway include Alessandra Ambrosio, Rosie-Huntington Whiteley, Chanel Iman and Candice Swanepoel. Missing from the lineup is Heidi Klum, who recently parted with the brand.
The lingerie show has become a holiday tradition of sorts, with many of the catwalkers outfitted in elaborate, fanciful wings — and very little else — parading in front of elaborate sets.
The fantasy bra has become a signature, too: This one created by jeweler Damiani features diamonds, sapphires and topaz.
The show will be taped Nov. 10 to be televised in an hour-long special on CBS on Nov. 30.