Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, December 7, 2011

AKUTWA KAFA HOTELINI NA KETE 60 ZA DAWA ZA KULEVYA

Kete 60 za madawa ya kulevya ambazo zilikuwa mwilini mwa Bushaga Masalai mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa jijini Dar es Salaam ambaye ni mfanyabiashara kati ya Dar es Salaam na Tunduma mkoani Mbeya amefariki dunia akiwa chumba cha kupanga katika Hoteli ya High Class, Tunduma.

Marehemu alifika hotelini hapo Desemba 2, mwaka huu akitokea jijini Dar Es Salaam, lakini Desemba 3, wahudumu walipokuwa katika shughuli zao za usafi katika hoteli hiyo walijaribu kugonga mlango wa chumba hicho alichopanga marehemu, lakini haukufunguliwa kutokana na ukimya huo waliamua kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi majira ya saa 6 mchana.

Hata hivyo Jeshi la polisi mji mdogo wa Tunduma baada ya kupewa taarifa lilifika hotelini majira ya saa 6 na dakika 30 ili kufanya uchunguzi na kisha kuubomboa mlango huo ndipo walipomkuta Bwana Bushanga akiwa amefariki dunia.

Wakati huo huo kete hizo zitasafirishwa kwa mkemia mkuu jijini Dar es salaam kwa ajili ya uchunguzi ili kubaini aina gani ya madawa hayo, pamoja na thamani yake na kwamba shughuli za kusafirisha mwili wa marehemu zitafanyika baada ka kukamilika kwa zoezi la kuwapata ndugu wa marehemu huyo.


SOULJA BOY NA MANENO MBOFUMBOFU
Soulja Boy Tell EmSoulja Boy was nothing more than an ignorant 16-year-old when he skyrocketed to fame in 2007 -- and now, the rapper's suing his ex-manager ... claiming the guy took advantage of his naive teenage brain.
Soulja filed the documents in Georgia Superior Court, claiming his manager/lawyer Philip Ransom coerced him into signing multiple contracts when he was just starting out -- contracts that were "unconscionable, oppressive, and unjust."
According to the docs, the contracts included a management agreement that gave Ransom 5% of Soulja's income ... forever ... relating to work the rapper completed while Ransom was his manager.
Another contract allegedly gave 50% of all Soulja's music copyrights to his record label -- a deal the rapper now claims is  "commercially unreasonable" and "contrary to music industry custom and practice."
But in reality, Soulja's just bitching because he didn't read the fine print -- the contracts Soulja signed ARE industry standard ... some recording contracts even take 100% of the copyrights.
Ransom denies the allegations -- filing new legal docs claiming Soulja's full of crap ... and still owes him money from their time together.

No comments: