Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, December 28, 2011

TRA KUZUA MSHIKEMSHIKE WA( VAT) JANUARI

Mkurugenzi wa Fedha TRA, Saleh B. Mashoro akitoa maelezo juu ya mpango wa mamlaka hiyo wa kukusanya Ongezeko la Thamani kwa wageni watakaosafirisha bidhaa za ndani kupeleka nje ya nchi
Naibu Kamishna wa Kodi za Ndani, Christine Shekidele (kulia), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kususiana na Ongezeko la Thamani (VAT) na faida zake kwa Taifa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuanzia tarehe 1, Januari 2012 inaanza rasmi kushughulikia marejesho ya kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa wasafiri wakigeni wanaondoka kwenda nchi za nje kwa mujibu wa sheria ya kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Fedha TRA, Saleh B. Mashoro, alisema utaratibu huu wa kukusanya VAT umekuwa ukitumika na nchi mbalimbali duniani kutokana na ukweli kuwa VAT ni kodi inayotokana na matumizi.

No comments: