UNIQUEENTERTZ has learned ... contrary to news reports about Kobe Bryant's wealth -- the BBaller's net worth is approximately $150 million, according to sources in a direct position to know.
Sources
intimately familiar with the situation tell us ... the $150 mil
accounts for real estate holdings, stock, cash and other assets.
The
figure is far less than news reports which set Kobe's fortune north of
$400 million. But the $150 mil figure is the accurate one.
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI, AKABIDHI NISHANI YA DR WILBERT CHAGULA KAMPALA LEO
Rais
Jakaya Kikwete akiwa na mazungumzo na Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib
Bilal na Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda mara baada ya kurejea jijjini
Dar es salaam kutoka Kampala, Uganda, alikohudhuria mkutano wa siku
mbili wa wakuu wa nchi za maziwa makuu
Rais Jakaya Kikwete akiagwa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uganda,
Mh Nsavike G. Ndatta katika uwanja wa ndege wa Entebbe leo Desemba 17,
2011 asubuhi wakati akiondoka Uganda kurejea nyumbani baada ya
kuhudhuria mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za maziwa makuu
Rais Jakaya Kikwete akiwakabidhi Bw. Clement A. Chagula na bintiye
Olivia A. Chagula medali kwa niaba ya baba na babu yao Marehemu Dkt.
Wilbert Chagula, ambaye aikuwa ni mmoja wa mawaziri katika serikali ya
awamu ya kwanza na mmoja wa watu maarufu waliotunukiwa nishani katika
kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Tigo Bi. Alece Maro akimkabidhi kidhibao
ca kuuzia vocha kwa Bw. Abdul Nasir wakati wa udhinduzi wa Boda Boda
Tigo Rusha iliyofanyika Dar es salaam leo waendesha bodaboda watakua
wakiuza muda wa maongfezi wa tigo rusha.
RAPPER SLIM DUNKIN AUWAWA KWA RISASI
Rapper Slim Dunkin was shot and killed Friday night, December 16, at an Atlanta music studio.
The Waka Flocka affiliate, whose real name is Mario Hamilton, was
taken to Grady Memorial Hospital where he was pronounced dead, according
to his attorney.
According to the Associated Press:
No comments:
Post a Comment