DKT.KIKWETE AKIWA NA DR. MIGIRO NA BALOZI MULAMULA KAMPALA
Rais
Jakaya Kikwete akimpongenza Balozi Liberata Mulamula kwa kazi nzuri
aliyoifanya katika sekreteriati ya Maziwa Makuu kwa miaka mitano.
Pembeni ni Dr Asha-Rose Migiro Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Rais Kikwete na Dr Migiro na Balozi Mulamula leo leo December 15, 2011
katika hoteli ya Speke Commonwealth Resort kitongoji cha Munyonyo nje
kidogo ya jiji la
Kampala kunakofanyika mkutano wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu (ICGLR)
ambapo Balozi Mulamula ndiyo amemaliza rasmi muda wake wa kufanya
kazi kama Katibu Mtendaji wa (ICGLR) na kumuachia kiti Prof. Lumu
Alphonse Ntumba Luaba (59) wa DRC.
No comments:
Post a Comment