Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, December 2, 2011

SIRI NZITO ZA UFISADI WA RADA ZAFICHUKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( Takukuru), 
Dk Edward Hoseah
KASHFA nyingine imeikumba Serikali ya Tanzania, kufuatia tuhuma kwamba ina mkakati maalumu kuzuia watuhumiwa wa ufisadi wa rada kufikishwa mahakamani.Taarifa za mtandao wa Wikileaks ambao umekuwa ukifichua siri za kidiplomasia na ufisadi duniani, umeibua tuhuma hizo mpya kwa Serikali na kwamba hicho ndicho kikwazo cha watuhumiwa husika kutofikishwa mahakamani.Taarifa ya mtandao huo uliyosambazwa jana imeeleza kuwa mpango huo, ndio ulioathiri jitihada za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Clare Shot kuzuia Tanzania kuuziwa rada hiyo.


FAMILIA YA BOB MARLEY YAMSHTAKI BRO KUTUMIA JINA LA BOB
1201_bob_marley_ex
Bob Marley
's widow is smoking mad over a relative pimping out the family name to sell everything from concerts to fish, poultry, energy drinks and booze -- and she's suing to stop him.

Rita Marley and nine of Bob's kids filed a federal lawsuit against Richard Booker -- Bob's bro from another father ... for trademark infringement and unauthorized use of Marley's likeness.

According to the suit, Booker's been real busy -- registering the trademark "Mama Marley" to sell ... among other things ... fish, fish and chips, fish cakes, fish croquettes, fish fillets, fish mousse, and fish sausages. Yes, Bob loved him some fish.

In addition, the suit claims Booker is using Marley's name and image to market an annual concert in Miami, known as the 9 Mile Music Festival. For those not in the know ... 9 Mile is the Jamaican village where Bob was born and buried.

Bob's family says they have the rights to all things Marley and want all of Booker's profits. They also want a judge to order Booker to stop all future use of the name.

Interestingly, next year's headliners at that 9 Mile Music Festival include Stephen, Damian and Julian Marley -- all plaintiffs in the suit.

KONGAMANO LA VIJANA WA CHADEMA MJINI BUKOBA CHINI YA MH. HARIMA MDEE (MBUNGE);

Mchokoza Mada Mh.Mdee Mbunge Jimbo la Kawe(Chadema).

Changamoto ni swala zima la Mswada wa Katiba na kile Chadema walicho Ongea na Mh.Rais Kikwete..


Mbunge Viti Maalumu Bi Konchesta Rwamlaza
Bi Harima Mdee Mbunge Jicho la Kawe (Chadema)

No comments: