Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, June 25, 2013

SUGU ATIWA MBARONI NA KUACHIWA KWA SHUTUMA ZA KUMTUKANA MH.PINDA

Kw habari zilizotufikia hivi sasa zinadai kuwa Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi amekamatwa na jeshi la polisi kwa kile kinachodaiwa ni uchochezi na kumkashifu Waziri Mkuu Mzengo Pinda.  
Hivi  karibuni, Mh. Sugu  alidai  kuwa  Tanzania  haijawahi  kuwa  na  waziri  mkuu  mpumbavu  kama  Mizengo  pinda.
 NEW:
Sugu alikamatwa na kupelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma na baada ya kuhojiwa aliachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti kituoni hapo kesho asubuhi kwa mahojiano mengine.

No comments: