Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, June 16, 2013

MARIA TUBETI ATWAA TAJI LA REDD'S MISS KAGERA 2013

Mshindi wa taji la Redds Miss Kagera 2013 Maria Tubeti (Katikati) akiwa na nyuso ya furaha mara baada ya kamati ya majaji kumtangaza mshindi katika kinyanganyiro kilichoshirikisha walimbwendwe 14, Wa pili ni Hilda Athanas na mshindi wa tatu ni Arodia Mahatane
Mshindi wa taji la Redds Miss Kagera 2013 Maria  Tubeti akifurahia kutwaa taji hilo lililokuwa limeshikiliwa na  Miss Talent Tanzania Babylove Kalalaa aliyeshinda mwaka jana 2012.
Eeeee jamani Hongera kwa kushinda...
Warembo wote 14 wa Redd's Miss kagera 2013 wakitambulishwa
Washiriki wa Shindano la redd's miss Kagera 14 wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Majaji walianza kutaja Tano Bora hapa.(Kutoka kulia ni jaji Abella Kamala mtangazaji wa Radio Kasibante fm, jaji wa katikati ni Bi Beata na wa kushoto ni Jaji Edgar)
Tano Bora
Maria  Tubeti akijibu swali
Warembo waliochagulia tano bara wakiwa na tabasamu baada ya kutajwa na kusonga mbele
Miss aliyeachia taji lake leo hii ambaye pia ni Miss Talent Tanzania Babylove Kalalaa
Majaji wakitaja Mshindi wa tatu, wa pili na ..
Jaji Bi. Beata akitaja mshindi wa Redd's miss kagera..
Miss anayeachia taji Babylove Kalalaa na Miss Redd's Kagera 2013 Maria Tubeti wakikumbatiana kupongezana baada ya kuwabwaga wenzie 14 usiku huu kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club.
Warembo kwenye Pozi..(kushoto) ni Miss Redd's Belinda Rupenda aliyeshinda Talent
Mc akiendelea kutambulisha Wadhamini
Majaji wakiwa na Tabasamu hapa baada ya kuwaona warembo jukwaani
Warembo nao hawakukosa ukumbini Lina's kuwacheki wenzio

No comments: