Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, June 30, 2013

LUCY CHARLES NDIYE MISS LAKE ZONE 2013


Mrembo Lucy Charles akitabasamu baada ya kuvikwa taji la Redd's miss Kanda ya Ziwa usiku wa jana.
Kinyanganyiro cha kumtafuta mnyange wa Kanda ya Ziwa kwa mwaka 2013, kimeteguliwa usiku huu kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest baada ya Mrembo Lucy Charles msomi wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino, kuwabwaga warembo wengine 17 waliojitokeza.
Vinara watatu .katikati ni Lucy Charles mshindi wa Redd's miss Lake zone 2013, kulia ni Eshe Rashid kutoka Mara na kushoto ni Salsha Isdore kutoka Geita na wote watatu wanaenda ngazi ya taifa.
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga
Show ya ufunguzi kwa warembo ikaanza
Warembo wakionesha vipaji vyao
Furaha ikitanda kwa kila mmoja
eee..na yule yumo...!!!
Kila mrembo akiesha uchezi wake hapa na makeke zaidi ..kiufundi kujitengenezea nafasi ya kushinda taji
Furaha zikapenya kwa Viongozi hawa ambao ndiyo walikuwa majaji
Mashidonge- akicheza na Moto kwenye ukumbi huu wa Gold Grest Hotel
...
Miss Talent naye akuwa Nyuma Babylove Kalalaa akaanza kuonesha vitu vyake ...kipanji toka moyoni.Babylove Kalalaa akiwa na nyoka wake jukwaani kuwapagawisha mashabiki wake.
Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Januari Yussuf Makamba ilibidi asimame maana ilikuwa kazi kweli kweli na kwa mara ya kwanza namuona na yeye anachukua kumbukumbu kwenye simu yake.!!
matukio ..tunachukua na sisi...
Babylove Kalalaa akijikusanyia makato!!
warembo wote wakaitwa !!
Kiongozi wa BHATT ELECTONICS LTD Akiteta baada ya kuchagua warembo na kuwapatia kazi kwenye ofisi zao. Kumbuka BHATT ni wakala wa Samsung.
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga akijiandaa kuanza kuita 10 Bora hapa
Top Ten hii hapa.
Ommy Dimpoz akishambulia jukwaa
Dadaz wakidata na nyimbo za mkali Ommy Dimpoz
P...Omama yoyo!!
wewe tu ...nipe tano kwanza!!
kamata kitita chako Mrembo!!!
ushindi  mtamu jamaniiii!
Wanyange !!

No comments: