Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, July 22, 2011

REDD'S MISS KINONDONI WAPIGWA MSASA

   Warembo wa shindano la Redds Miss Kinondoni 2011 wametakiwa kulinda heshima yao katika jamii kwa kufanya mambo mema yatakayotoa mwongozo kwa wanajamii hasa wanawake.
   Wito huo ulitolewa jana na Meneja wa kinywaji cha Redds Victoria Kimaro wakati akizungumza na warembo waliofika katika kiwanda cha Tanzania Breweries Limited (TBL) Ilala.
    Victoria alisema kuwa warembo wanaoshiriki shindano la Redds Kinondoni wanao wajibu wa kuwafundisha wanajamii masuala mbalimbali yahusuyo ukwimwi, Malaria na masuala mengine muhimu yanayoigusa jamii.
    Victoria alisema kuwa warembo wanaweza kuifundisha na kuibadilisha jamii kuondokana na dhana potofu mbalimbali ambazo zinaathari katika jamii na kuiweka jamii katika mstari ulionyooka.
     Aliwataka warembo hao kutambua kuwa ushupavu ndio njia pekee ikayowawezesha kufika mbali ikiwa pamoja na kufikia ndoto zao za baadae.
    “Ni kwamba mtazamo wa Redds ni kuhusu suala la kujiamini, kujitambua na kuwa na maadili na ndio maana kupitia kinywaji hiki tumeamua kuwafikia akinadada kupitia kinywaji cha Redds kwa kudhamini masuala ya urembo” alisema Victoria.

    Warembo wa shindano hilo walipata nafasi ya kuzungumza na wafanyakazi wa kiwanda hicho ikiwa pamoja na kujionea shughuli mbalimbali za kiwandani hapo, shindano la Redds Miss Kinondoni linafanyika Jumamosi ijayo katika ukumbi wa Mlimani City.




JUSTINE TIMBERLAKE NA MILA KUNIS WANYEMELEANA..!!
Celebs are always being bombarded with questions about who they're dating and who’s getting their loving.
Of course whenever they’re asked about their relationship status, we all know their favorite response is none other than “we’re just friends."
But that remark can be so vague and leaves room for so much more. Did this latest acting spill into real life? Are they just BFFs, or something more? 
Vague comments leave us wondering what can be going on between two celebs. We are all also familiar with the friendly agreement two “friends” sometimes attempt to take on. This is the agreement to get physically intimate without developing any deep feelings, the no strings attached agreement, or as some love to call it “friends with benefits."

 


 

BASI LA HOOD LILIVYOPATA AJARI

 Baada ya basi la Hood lililokuwa likitoka Mkoani Mbeya kwenda Arusha,lilipogongana uso kwa uso na lori la mizigo lilolokuwa na mafuta ya kula tani 24 kutoka Morogoro kwenda Songea jana kwenye barabara iliyopo ndani ya hifandi ya Taifa ya Mikumi,mkoani Morogoro.watu watano walifariki na 41 kujeruhiwa.
Na ndipo Moto mkali ukiwaka mara baada ya magari hayo kugongana.




KILICHOMFANYA TYRA BANKS KUPANDA NGUZO YA TRAFFIC RIGHTs HIKI HAPA
Is that an army of green superwomen led by supermodel/talk show host/aspiring author Tyra Banks taking over NYC?
Yes, that is Tyra Banks and yes, she is wearing a pink catsuit, black knee high boots and an inexplicable eye patch with an eye on it.
But don't fear, she's not planning to take over the world, nor is she auditioning to be Anne Hathaway's stunt double. She's promoting the first novel of her fantasy/fiction book trilogy, Modelland, based on her experiences as a model.
Tyra and her army of afro-ed models in green spandex and yellow sashes took to the streets of NYC and appeared at places associated with the number 7. For what reason, we have no idea.
But while Tyra's fashion sense in this case is questionable, we have to say her body is still looking top notch at age 36. We're wondering how she pulled it off in this heat!
Speaking of heat, the new season of Top Model promises to be off the chain with all the drama we expect. Tyra recently said, "I have girls from cycle one until now - the fan favorites. I am editing the show right now and it is crazy. They are all these Type A personalities because you are getting the best of the best and they are effervescent and they pop."
Sounds like cat fights and drama to us, which always makes for good reality television.
Check out the picures of Tyra and her crew of comically menacing models in their catsuits on the following pages!




VODACOM MISS KANDA YA MASHARIKI KUWAKA MOTO LEO
 Warembo 11 wanaotakao panda jukaa la Hotel Oasis mjini Morogoro hii leo Julai 22,2011 kuwania taji la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja katika kambi yao iliyopo Usambara Lodge. Miongoni mwao atapatikana Mrembo mwenye haiba ya Picha (MD Digital Company Miss Photogenic 2011)
 
Thureya Dabas (21) 
Elimu: Chuo DSJ Cheti Uandishi wa Habari
Miss Pwani 3

 
Winifrida Gration (21) 
Elimu: Diploma UDSM
Miss Pwani 1
 
Rahma Swai (21)
Elimu: Cheti cha Biashara na Utawala CBE
Miss Mtwara
 
Pendo Daniel (22) 
Elimu: Kidato cha 4
Miss Morogoro 5
 
Asha Iddy (19) 
Elimu: Kidato cha 4
Miss Lindi 3
 
Ritha Kavishe (22) 
Elimu:  Shahada ya Utalii
Miss Morogoro 2
 
Mariaclara Mathayo (21)
Elimu:  IAMCO Cheti cha upigaji picha za video.
Miss Pwani 2
 
Sharifa Issa (20) 
Elimu: Kidato cha Nne
Miss Morogoro 3
 
Aqsaritah Mabula (20) 
Elimu: Diploma Airline
Miss Morogoro 4
 
Loveness Flavian (20) 
Elimu:Degree ya Mahusiano ya Kimataifa.
Miss Lindi 1
 
Asha Saleh (20)
Elimu: Kidato cha sita
Miss Morogoro 1

No comments: