
Hali ndivyo ilivyokuwa...

Abiria wakiwashusha wenzao.


Basi
la Dar Express lililokuwa linatoka Arusha na basi la Simba Mtoto
lililokuwa linaenda Tanga yamegongana uso kwa uso maeneo ya Wami.
Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa k
atika hospitali ya Chalinze.
Mmoja kati ya abiria waliokuwamo katika mabasi hayo akiwa amejeruhiwa usoni baada ya ajali hiyo. Picha na Mtaa kwa Mtaa Blog.
No comments:
Post a Comment