| Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao | 
Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana blogspot.com
Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na 
Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo 
Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa 
Taifa  
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
WEMA NA WOLPER KATIKA ALAMA ZA 
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio
                                                                      
No comments:
Post a Comment