Warembo wa Miss Shinyanga 2012 itakayorindima wilayani Kahama jumamosi hii ya tarehe 7/07/2013 uwanja wa Taifa Kahama.
Warembo hawa watahusika vilivyo kwa skilz zao, maandari ya eneo 
husika kupambwa na taa maalum, stage la uhakika na sound ya mtikisiko 
kurindima katika kusapoti burudani na yatakayojiri siku hiyo.
Warembo katika pozi style.com
Coca cola ni moja kati ya wadhamini wakuu wa shughuli nzima.
Waremmbo na kinywaji chao katika pozi
Kutokana na maandalizi yaliyofanywa mpaka sasa na msisimko 
unaotajwa kinyang'anyiro hiki kinatajwa kuwavuta mashabiki toka sehemu 
mbalimbali nchini wengi wakitaka kushuhudia live bila chenga mpango 
mzima utakavyokuwa.
Baadhi ya warembo wa kinyang'anyiro cha miss Shinyanga 2012 wakikulingishia tabasamu zao.
No comments:
Post a Comment