| Washiriki wa Shindano hilo wakiwa mazoezini walikojichimbia huko Kunduchi jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kuelekea mjengoni Dodoma leo asubuhi. | 
| Mashindano hayo yanatarajiwa kuwa na mvuto zaidi kutokana na washiriki wake wote kuwa ni wa vyuo vikuu hivyo wanatarajiwa kuweza kufanya mambo makubwa kutokana na uelewa wao. | 
No comments:
Post a Comment