SHEHENA YA VIFAA VYA WABUDIO SHETANI VYAKAMATWA BANDARI YA MOMBASA
Kontena
ambalo lilikuwa na vitu vya nyumbani, limekamatwa likiwa na bidhaa
nyingi za ajabu kama mafuvu na vitu vingine vya kutisha ambavyo
inasemekana huwa vinatumika kwenye ibada za dini za kishetani. Mzigo huo
bado unashikiliwa na mamlaka za Kenya na hii hapa audio ya ripoti
nzima pamoja na video ya mzigo wenyewe kama ilivyoripotiwa na Citizen
TV
No comments:
Post a Comment