KIZAAZAA MV MAGOGONI: BIMU YAKATIKA KATIKATI YA BAHARI
Jana jioni katika kivuko cha magogoni mv magogoni ilikatika bimu ya kushushia abiri na mizigo katikati ya bahari,tukio hilo liliwastua watu wengi hususani abiria waliokuwemo ndani ya kivuko hicho.
Habari zinasema kwamba ilifikia wakati watu walitaka kujitupakwenye maji kwa kile kinachozaniwa kumeguka kwa bimu ndiyo mwanzo wa kuzama kwa kivuko hiko lakini hakuna hata abiria mmoja aliepoteza maisha japo foleni ya abiria na magari imekithiri kwa sasa.
MIILI YA VICHANGA 10 VILIVYOTUPWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
Miili hii ya watoto wachanga waliokutwa waliokutwa wamechimbiwa shimo la futi moja karibu na hospitasli ya mwananyamala,hali hii imezua gumzo kwa wakazi wa Dar pamoja na hayo kamanda wapolisi wa wilaya kinondoni Bw.Jordan Rugimbana atatoa ufafasnuzi siku ya leoKAMPUNI YA TRUCKS YAKABIZI MALORI YA TAKA MANISPAA YA ILALA
USIKU WA MAPACHA WATATU
Best dressed at the Screen Actors Guild Awards
Mila Kunis in Alexander McQueen
A-listers, Lea Michele, Natalie Portman, Nicole Kidman put on their Sunday best as they posed for paparazzi. Only an entrée to the grand finale, the Oscars to be held on 28th February, SAGs red carpet saw designs from Oscar de la Renta to Azzaro battled it on the red carpet for the title of the best dress providing a visual treat to fashion lovers.
No comments:
Post a Comment