Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, March 30, 2011

ILIVYOJILI KATIKA PARTY YA KUMPONGEZA TWENTY PERCENT (20%

Aluatan twenty  per akiwa na mkewe pamoja na mtoto wao (aliepakatwa na mkewe) kwa taarifa tu ni kwamba hapo mkewe alikuwa akitoa burudani kwani nae ni muimbaji na aliwahi kushirikiana na mumewe kuimba wimbo wa NINGEKUSAMEHE.. na ndio huo aliokuwa akiuimba hapo

TIMU YA YANGA YAIDUNDA AZAM FC 2-1


Timu ya yanga ya Dar imeiburuza Azama Fc kwa mabao 2-1 katika mechi ya ligi kuu Bara iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Uhuru.wafungajiwa wa Yanga  Jerry Tegete, huku lile la Azam likifungwa na John Bocco

T.I.’S Wife Wanted To Take The Rap For Drugs Arrest

tiny_ti_rapper_Arkansas.jpgIncarcerated rapper T.I. could have avoided his stint in jail - his wife TAMEKA ‘TINY’ COTTLE offered to “take the fall” for the star, but confesses “it wasn’t able to be done”.
The Live your Life hitmaker, real name Clifford Harris, Jr., has been in and out of prison over the past year and is currently serving an 11-month sentence in Arkansas for violating his probation following a drug arrest in September (10).
the hip-hop star was jailed in November (10) after he and Cottle were detained by police officers who allegedly found drugs during a search of the couple’s car.
Cottle has now opened up about the circumstances surrounding the arrest, revealing she was willing to go to prison to help the star avoid another jail sentence.
she tells XXL magazine, “I feel like, if you don’t know the details on it, you can’t say I could take the fall. If I could have, I would have said, ‘Well, yeah, that’s me.’
“But it wasn’t able to be done. And for one, there were other people, other friends in the car that could have taken the fall, but it couldn’t happen.
“It’s time-out for any nonsense. We know what to do now. Not that we didn’t then, but things happen. He’s never gonna go back to jail. We can’t have that.”

NEWS IN PICTURE -HARUSI TRADE FAIR 2011, MAMBO MOTOMOTO

Mustafa Hassanali, briefs journalists about the upcoming event of Harusi Trade Fair 2011 which will be held at Diamond Jubilee starting on 1st to 3rd April this year. Left is Markerting Manager of Mustafa Hassanali, Hamis Omary
PR&MEDIA Manager of Mustafa Hassanali, Mfaume Shaban speaks during the Press Conference as Mustafa Hassanali (centre) and Hamis Omary, Marketing Manager of Mustafa Hassanali listens in Dar es salaam today..



Uganda yamkaribisha Gadhafi

Msemaji wa rais wa Uganda amesema kiongozi wa Libya, kanali Muammar Gaddafi anakaribishwa nchini Uganda. Kwa mualiko huo, Uganda inaonekana kuwa nchi ya kwanza kusema itamkaribisha Gaddafi. Msemaji wa rais Yoweri Museveni, Tamale Mirundi, ameliambia shirika la habari la Associated Press hii leo, kwamba sera ya Uganda ni kuwapa ukimbizi wanaowasilisha maombi yao kuishi uhamishoni nchini humo. Aidha Mirundi amesema sera hiyo ipo kwa sababu raia wengi wa Uganda waliikimbia nchi wakati wa utawala wa dikteta Iddi Amin. Televisheni ya al Arabiya iliripoti kwamba Uganda ingemkaribisha Gaddafi baada ya nchi za magharibi na mataifa mengine kupendekeza aende uhamishoni, lakini haikutoa taarifa zaidi. Naibu waziri wa mambo ya nchi za kigeni, Henry Okello Oryem, amekanusha ripoti hizo akisema ni uvumi. Hata hivyo amesema wameijadili Libya leo kwenye kikao cha mawaziri, na Uganda itamruhusu Gaddafi kuishi uhamishoni nchini humo iwapo atawasilisha ombi lake.

 

Sexy Jamaican Honey Leesangh Lewis

Jamaican_honey_models_photos_girls_Leesangh_Lewis.jpg 
cick older post uate zilizopita

No comments: