Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, May 4, 2011

BREAKING NEWZ...!! LUNDENGA NA CHIPUNGAELO KUTOANA MACHO..!!

   Rais wqa miss utalii tanzania Bw,Gideon chipungaelo ametupa lawama za wazi kwa mkurugenzi wa Lino Agency kuwa Bw Hashim Lundenga anamuhujumu katika michakato yake kwa kuwarubuni warembo wa miss utalii wafanye kazi na miss Tanzaia bila makuballiano yoyote.
     Lundenga alimjibu Chips kuwa anatakiwa kupeleka malalamiko yake BASATA na sio kulalamika kupitia vyombo vya habari ama kumshitaki kwa waandaji wa mashindano ya dunia.
     kwa jinsi navyowafahamu watu hawa wwili wanahekima na busara za kutatua tofaut zao,Anko na chips nyie ndio dira yetu sisi waandaji chipukizi tunajifunza mengi toka kwenu haina haja kuwapa watu faida malizeni kiutu uzima au vipi broo. 

 
SILYVIA SHALLY AKANUSHA KUMWAGWA NA NKANUMBA!!
Mrembo silyvia shally amekanusha habari zilizoandikwa kwenye blogu hii kuwa hana msongo wowote kimawazo  dhidi ya kumwagana na mume wake mtarajiwa steven kanumba,hiii ni kutokana na ukweli kwamba walizimiana sana enzi za uhai wa penzi lao.
    Silyvia alibainisha kuwa chanzo cha kumwagana si tamaa bali ni tatizo lililopo ndani ya penzi hilo lililobaki kuwa historia dhidi ya wawili hao ambapo kanumba anaonekana kama mwenye furaha zaidi baada ya kuachana na silyvia wakatri dada yetu anasonekana kuumia zaidi licha kudai hana time tena na muigizaji huyo maarufu barani Afrika.
    "sijaachwa na kanumba yeye ndiye alikuja home kuniomba msamaha sikumjibu lolote" alilalama kimwana huyo.
    Hata hivyo kanumba alitoa kauli moja tu "kaka mpenzi wangu ni pesa na nipo kwaajili ya pesa nizichange kwanza,sina time na kidosho huyo tena,anatapatapa tu mwili na roho yake vimeachanana nadhani".The great alipigilia msumali wa mwisho.



 BASTOLA YAMPONZA RAY NUSURA APATE KICHAPO TOKA RAIA

 Msanii wa Bongo Movies Vicent Kigosi "The Greatest" alizusha taflani mid-night flani pande za Club Billicanas akiwa na waigizaji wakike wa Bongo Movies Wema Sepetu na Jack Pentezel
Issue ilikua ni kuhusu parking pande hizo na kutokea kutoelewana kati yake na washikaji wengine na kuamua kutoa bastola na kupiga juu ili kuwatisha wasimzuru baada ya mzozo mkali kutokea maeneo hayo
Baada ya ray kufyatua risasi hewani Kila aliyekua karibu alitafuta uchochoro na baada ya hali shwari punde raia walimzingira na kumpa kipondo baridi kabla kuja askari na kumnusuru na kichapo hiko toka kwa raia. 

REAL MADRID YASHIDWA KUITAMBIA BARCERONA YATOKA SURUHU
Barcelona imejikatika tiketi ya kucheza fainali ya michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya 1-1 na Real Madrid kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali.
Pedro
Pedro
Katika mchezo wa kwanza uliojaa na misukosuko Barcelona ilipata ushindi wa mabao 2-0.
Pedro aliipatia Barcelona goli hilo, huku Marcelo akisawazisha bao hilo.
Barcelona sasa watapambana na mshindi kati ya Manchester United au Schalke 04.
Fainali itachezwa Mei 28 kwenye uwanja wa Wembley, jijini London.

No comments: