mzimu wa penzi la kanumba kwa slyvia shally bado unamsumbua kiasi chakumpa msongo wa mawazo zaidi baada ya kupewa kibuti cha moja kwa moja.
    Wachunguzi wa mambo ya kimahaba wanasema kuwa slyvia alimwagwa kutokana na tabia yake ya kuendekeza tamaa zisizo na msingi angali anahudumiwa kila atakacho toka kwa kanumba.
        Dada yetu kapewa usafiri wa kuendea chuo na misele ya hapa na pale,anakaa mazingira mazuri nyumbani kwa staa huyo wa movie,matibabu ya hali ya juu sehemu wanapotibiwa mawaziri,goodtime zakufa mtu na fedha za kutosha lakini inadaiwa hakuridhika na bata zoote hizo.
     Aidha dada yetu nae aliwai kusema ananyanyasika kwa kumpenda superstar huyo kwani yuko bize muda mwingi lakini ni sababu za  wivu na si kweli kanumba hajatulia,swahiba katulia mimi namjua.
     Kwa sasa penzi lao liko chali na kanumba hana time tena na mademu wa kibongo kwani ameona ni wasaliti tu hata humfanyie kitu gani lakini atatoka tu,kilichobaki ni kuzichanga tu.
Kwa mara ya kwanza kanumba na slvia walikutana Club much more katika mchujo wa mamodo mwaka 2009 ndipo kila mmojawao akaonyesha dalili za kumrushia jcho la kumtamani mwenzake 
Uswizi yapiga tanji mali za Gaddafi
Bw Hosni Mubarak
                  Uswizi imesema imepiga tanji  takriban mali zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni moja za Kanali  Muammar Gaddafi wa Libya na viongozi walioondolewa madarakani kutoka  Misri na Tunisia. 
Waziri wa mambo ya nje wa Uswizi Micheline Calmy-Rey alisema takriban dola za kimarekani milioni 960 zimepatikana.
        Waziri huyo alisema, kati ya hizo, kiwango  kikubwa cha faranga za kifaransa milioni 410 zimehusishwa na aliyekuwa  Rais wa Misri Hosni Mubarak na washirika wake.
        Faranga nyingine zenye thamani ya milioni 360 zinaaminiwa kuwa za uongozi wa Kanali Gaddafi.
Na faranga milioni 60 zinamhusu aliyekuwa kiongozi wa Tunisa Zine al-Abidine Ben Ali na washirika wake.
MGANGA ATOKA MWANZA ATOA TIBA KWA BUKU MBILI JIJINI
Dawa ikiwa jikoni.
MGANGA wa kienyeji, Marwa Ndege Gonzaga, mkazi wa Mwanza, amejitokeza hadharani na kutangaza kuwa anatoa dawa ya kikombe yenye uwezo wa kutibu magonjwa sugu zaidi ya sita kwa gharama ya shilingi 2,000.
Gonzaga ameyataja magonjwa ambayo dawa yake inatibu kuwa ni vidonda vya tumbo, presha, kupooza, kutopata mtoto, kisukari na Ukimwi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Gonzaga ambaye jijini Dar es Salaam anapatikana Ilala, Karakata-Airport katika ofisi za Ediperry, alisema alianza kutibu tangu mwaka 1986.
Mganga huyo akichota dawa na kuwapa baadhi ya waandishi waliohudhuria mkutano huo katika Ukumbi wa Idara ya Habari.
RIHANNA NA VIDEO MPYA HUKO JAMAICA
Rihanna teased her fans with a behind-the-scenes look at her island video shoot for her new single 'Man Down,' the latest from her fifth studio album 'Loud.'
 
 
The Bajan babe chose to film the new video in Jamaica and tweeted all the way. "WELCOME TA JAMROCK!!! #projectmandown," she posted upon her island arrival. Rihanna teamed up with long-time partner in crime, director Anthony Mandler for the 'Man Down' video. Mandler began working with Rihanna in 2006 on her 'Unfaithful' video and most recently worked with the superstar on the set of 'Only Girl (In the World).' He has also worked with stars like Drake, Usher, Jay-Z, T.I. and John Legend.
The Bajan babe chose to film the new video in Jamaica and tweeted all the way. "WELCOME TA JAMROCK!!! #projectmandown," she posted upon her island arrival. Rihanna teamed up with long-time partner in crime, director Anthony Mandler for the 'Man Down' video. Mandler began working with Rihanna in 2006 on her 'Unfaithful' video and most recently worked with the superstar on the set of 'Only Girl (In the World).' He has also worked with stars like Drake, Usher, Jay-Z, T.I. and John Legend.
"Eatin a roti, on my way to #JAMRock Rah Rah!!!!," she  posted to her Twitter page on her way to the shoot (left). She tweeted  another ... behind ... the scenes photo of her self in colorful,  barely-there-bottoms and signature red hair with a pal "chillin on set"  (right).
The singer made sure to stay relevant and on top of current events  despite her mini island vacation away from the States -- she wrapped  that video shoot and her series of tweets with a mash up of her 'Man Down' lyrics and a nod to the news of the Osama Bin Laden's death. "Obama Bama Bama...sry I meant, oh Mama Mama Mama, I just shot a man down #brrrap," she wrote earlier today (May 2).
MLA URODA AFUMANIWA KWENYE DANGURO
Mwanaume  huyu wa nchini China amekuwa maarufu duniani kufuatia kusambazwa kwa  picha zake online wakati akihatarisha maisha yake kwa kujaribu kushuka  toka ghorofani akiwa uchi wa mnyama akiwakimbia polisi waliovamia  danguro alilokuwa akijisevia uroda.WAYNE ROONEY HATOCHEZA NUSU FAINALI UEFA
Meneja wa Manchester United,  Sir Alex Ferguson atampumzisha Wayne Rooney katika mchezo wa nusu  fainali ya Ubingwa wa Ulaya mzunguko wa pili dhidi ya Schalke 04 siku ya  Jumatano.                      
Wayne Rooney
Wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-0 waliyopata  katika mchezo wa mzunguko wa kwanza na huku wakikabiliwa na mchezo  muhimu wa kuamua hatma ya ubingwa wa England dhidi ya Chelsea siku ya  Jumapili, Ferguson anajipanga kupumzisha baadhi ya wachezaji wa kikosi  chake cha kwanza.
Dimitar Berbatov huenda akaanza pamoja na Michael Owen katika safu ya washambuliaji wawili.
Fabio da Silva hata hivyo hatacheza, kutokana na kuumia mguu.
Mbrazili huyo aliumia siku ya Jumapili,  Manchester United ilipolazwa  bao 1-0 na Arsenal, matokeo yanayoufanya  mpambano baina ya Man United na Chelsea katika uwanja wa Old Trafford  kuwa muhimu zaidi kwa kuweka wazi nani hasa atakuwa katika nafasi nzuri  ya kutwaa taji la ubingwa msimu huu.
 
 


1 comment:
Twashukuru sana mkuu, unatupa vitu vya uhakika
Post a Comment