Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, May 26, 2011

IDD AZZAN AMLIPUA SHYROSE BHANJI KUHUSU KUJIHUSISHA CHADEMA...!!

  
 Shrose Bhanji
Idd Azzan(mbunge wa kinondoni)
   Idd azzan ambae ni mbunge aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya kushindwa kuthibitisha kauli yake nae kaibuka kumlipua shyrose bhanji kuwa katika uchaguzi mkuu uliopita shrose alitoa sapoti kubwa sana kwa chama cha CHADEMA ila hakupewa adhabu.
   Mbali na hayo Idd Azzan wiki iliyopita alipigwa zengwe na moja ya vigogo hao wa CCM kuwa eti ni pusha mzee wa mapouda..!
   Siasa za kulipuana ndiyo umekuwa mtindo mpya wakukomoana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama cha mapinduzi(CCM).
 
 


KIM KARDASHIAN KAVISHWA PETE YA THAMANI YA $2 MIL ZA USA
Story photo: Kim Kardashian Is Engaged to Kris Humphries!Todd Williamson/WireImage.comUs Magazine
Sorry, fellas: Kim Kardashian is officially off the market!
The reality superstar and mogul is engaged to basketball beau Kris Humphries, her rep confirms to Us Weekly.
VIDEO: Kim tells Us what Kris loves most about her body
Kardashian, 30, and New Jersey Nets forward Humprhies, 26, began dating in December, and the duo quickly became serious.
Indeed, last month, a Kardashian insider told Us that the E! star planned to move to NYC in order to be closer to her man. "This is it for her," the source said. "I foresee an engagement this summer."
PHOTOS: Height challenged! Kim, Kris and other stars with huge height differences
Although she kept her nuptial news a big secret, Kardashian, whose exes include football stars Reggie Bush and Miles Austin plus (briefly) Halle Berry's model ex, Gabriel Aubry, has been frank with Us about her latest man.
Humphries designed the ring with jeweler Lorraine Schwartz, who is a "longtime Kardashian friend."
Kardashian gushed about the rock to People.
"In high school I went to Macy's and bought this fake ring, my 'perfect' ring, and this is almost the exact same," she said. "It's the most beautiful thing I have ever seen. It's perfect."
Kim said she wanted something that would be "her own," distinct from sister Khloe's $850,000, radiant-cut ring. So they went for an emerald cut, with a 16.5-carat center stone and a couple of two-carat trapezoid stones surrounding it.
As for Humphries, it seems the basketball player had one thing on his mind in selecting the perfect ring.





LI WYNE AJIA.CHIA NA DEMU MPYA UFUKWENI
Mwanamziki mahiri wa Rap Lil Wayne jana alidakwa na mapaparazi akiponda raha na girlfriend wake mpya ndani ya Miami Beach, Mtandao mmoja maarufu wa mastaa wa mjini marekani umesema jamaa baada ya kufika ufukweni hapo alipata nafasi ya kupiga picha na mashabiki wake na kuendelea na shughuli zake za kupunga upepo ufukweni hapo.. mpaka wakati huu naandika habari hii sijapata jina la binti huyu mchanga.




RIHANNA NA BRITNEY SPEAR WADENDEKA LIVE
rihanna_britney_spears_kiss.jpg
Wadada hawa walipiga bonge la denda mbele ya umati wa watu uliohudhuria tuzo za muziki za billboard huko usa

 


TBC,STARTIMES VIPANDEVIPANDE..!!
KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) leo inatarajia kulihoji Shirika la Utangazaji (TBC) baada ya kubainika kuwepo kwa mkataba wenye utata kati ya shirika hilo la umma na kampuni ya Star Media kutoka China.
Kwa mujibu wa wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Deo Filikunjombe, kutokana na utata katika mkataba huo kamati hiyo imeazimia kuwaita tena viongozi wa bodi ya wakurugenzi wa TBC Wilfrey Nyachia na mkurugenzi wake Clemence Mshana ili kupata ufafanuzi wa sakata hilo.
Akizungumza katika kikao hicho mjumbe wa POAC Kangi Lugola alisema zipo taarifa kutoka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuwa TBC imepata hati ya mashaka hali inayosababisha kushindwa kujiendesha kiufanisi.
“Hali hii inaonyesha kuwa zaidi ya sh bilioni 8 zimetumiwa kinyume cha sheria kwa kufanya manunuzi… lakini bado kuna utata kati yenu na kampuni ya Star Media ambayo imesababisha hasara hii… hatuwezi kuvumilia wageni wananufaika kwa fedha za walipa kodi wetu; tunahitaji maelezo ya kina,” alisema Lugola.
Kwa mujibu wa makataba huo, TBC inamiki asilimia 35 ya hisa huku Star Media ikimiliki asilimia 65 ambapo wamekuwa hawatekelezi makubaliano yao kinyume cha sheria.
Mjumbe mwingine wa kamati hiyo Murtaza Mangungu alisema TBC inayo madeni mengi ya nje yanayofikia zaidi ya sh bilioni 5.5 huku kampuni ya Star Media ikidaiwa sh milioni 36 ambazo wamekaidi kuzilipa hadi leo.




SIKU YA HARUSI YA KEISHIA COLE NA BOOBIE
Wanandoa keishia cole na bobbie





AMBER ROSE AMZODOA KANYE BAADA YA KUMPATA WIZY KHARIFA
Weekend iliyopita wapenzi wawili ambao mapenzi yao kwa sasa yanashika Chat Wizzy Khalifa na Amber Rose walionekana wakipeana raha katikati ya club moja ya usiku jijini la Paris.
Tukiangalia kwa upande wa Amber Rose, katika cover story ya Gazeti la King, Amber alionekana kuponda mapenzi yake na Kanye West na kusema kwa wizzy ni kila kitu, nanukuu manenoo yake anasema,
"Kipindi nilipokuwa na Mpenzi wangu wa zamani (Kanye west) Sikuwa na Sauti kabisa kwake,Nilikuwa sielewi kila kitu, lakini kwa sasa napata kila kitu... Mimi na Wizy mapenzi yetu tumeweka wazi mbele ya dunia, hatufichi mambo yetu tunapendanaa na tunafurahia mapenzi yetu na tunataka watu wengine wfuate nyayo zetu katika mapenzi hakuna haja ya kuogopa kuwa katika mahusiano.




LETU LA KUMTAFUTA "MKALI WA KUKETI" BADO LINAENDELEA.......PATA MAELEZO HAPA CHINI......

OYAAAA!!!! BADO USAJILI UNAENDELEA, KAMA WEWE NI MDADA NA NI MKALI WA KUPIGA PICHA NJOO UJIUNGE KWENYE KLUBU YA KUMTAFUTA "MKALI WA KUKETI". SHINDANO HILI LA "MKALI WA KUKETI" LINAENDESHWA NA BLOG YAKO YA WAJANJA. SHINDANO HILI LINAKUPA FURSA WEWE BINTI KUIBUA KIPAJI CHAKO. NAMNA SHINDANO LITAKAVYOENDESHWA NI KWAMBA UNATAKIWA KUPIGA PICHA KWA KUIGA PICHA YA MWANAMITINDO WA KIMAREKANI HAPO JUU. KITU CHA KUNOTI NI KUWA AKINANA DADA WATACHUANA KWA KUIGA STAYLE YA PICH NA SIYO VAZI. VAZI UTAKALOPIGA NALO PICHA HII LITAFUATA MAADALI YA KITANZANIA. UPIGAJI WA PICHA UTAFANYIKA JUMAMOSI WIKI  HII NA PICHA ZITAWEKWA KWENYE BLOG HII JUMATATU KWA AJILI YA WADAU KUPIGA KURA ILI KUMPATA MSHINDI HALALI. WALE WOTE WATAKAOPATA NAFASI YA KUTEULIWA KUJA KUPIGA PICHA WATALIPWA NA MSHINDI WA SHINDANO HILI ATAPATA KITITA KINONO NA ATAKUWA BALOZI WA KUTANGAZA NGUO MOJA KATI YA BOUTIQUE MAARUFU HAPA DAR CITY. 
KWA AKINA DADA (WASHIRIKI): NAFASI BADO ZIPO USICHELEWE TUMA MAOMBI YAKO MAPEMA
WADHAMINI: NA KAMA UNGEPENDA KUDHAMINI SHINDANO HILI WAKARIBISHWA.

WASILIANA NASI KUPITIA:
EMAIL: wajanja.dar1@gmail.com
MOBILE: 0715 199869
        
www.wajanjaclub.blogspot.com

No comments: