Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, May 29, 2011

EXCLUSIVE: LIL WYNE ALA BATA NDEFU..!!



MANCHESTER HOIU KWA BARCELONA YACHAPWA 3-1

Kocha wa Barcelona Pape Guardiola akipepezwa angani na wachezaji wake baada ya kutawazwa kuwa wafalme wa soka Ulaya kwa kuifunga Manchester United 3-1 kwenye fainali uwanja wa Wembley nchini Uingereza."Nilitaraji timu yangu ingefanya vizuri lakini suala ni kwamba tulikuwa tukicheza na timu bora zaidi, kitimu wako katika kilele kizuri cha mafanikio kakika mzunguko huu.

"Katika maisha yangu ya soka hakuna aliyeweza kutuficha kiasi kile, hakika ni siku kuu kwao. "Walistahili kwasababu wanacheza jinsi inavyopaswa na wanaenjoy soka lao.
"They mesmerise you with their passing and we never really controlled Messi. When we got the lifeline of Wayne Rooney I expected us to do better in the second half but it wasn't to be. Kifupi ni kwamba hakuna aibu kupoteza mbele ya wakali wale.
Boss wa Barca Guardiola amemzungumzia 'mkorofi wa chenga' Lionel Messi kwa kusema: "Lionel ni mchezaji bora ambaye sijawahiona maishani mwangu, probably the best ever. Kwani katengeneza utofauti.
"Messi ni mtu mmoja wa kipekee, Na mara zote naweka matumaini kwake kwani ni mtu asiyekata tamaa. Inapotokea akashindwa kucheza basi jua kwamba kuna kitu hakijakaa sawa katika mazingira yake yanayomzunguka. Let's hope he can continue playing well."
Huku akitokwa machozi kipa wa Manchester United aliyepanga kustaafu soka Edwin van der Sar, amesema kuwa laiti kama siku zingerudishwa nyuma angestaafu soka kabla ya mechi hiyo. Nae Muajentina aliyeondoka Anfield kwa utata akiulazimisha uongozi wa timu ya majogoo wa London kumwachia aondoke kwenda kukiputa Barcelona katika msimu wa usajili majira ya kiangazi, JAVIER MASCHERANO. Kwa upande wake amesema "Najua kuwa mashabiki wa Liverpool bado wanahuzuni kwa kuondoka kwangu. Lakini najua hii itakuwa ni zawadi njema kwao" Akamalizia kwa kusema "You’ll never walk ’elona"





JUSTIN BIEBER NA BATA ZA KILA WEEKEND NA SELENA GOMES

At age 17, most kids are trying to figure out what dress to wear to the prom and who to invite to their graduation. Justin Bieber, however, is a few years ahead of most 17 year olds, spending the past week on a romantic vacation in Hawaii with his girlfriend Selena Gome

Lil’ Wayne & Drake was spotted making it rain in Miami at the Kings of Diamonds last night. The Young Money stars were celebrating Worldstar Hiphop’s 6 Year Anniversary in the business.

No comments: