Ssebo akiwa kwenye pozi na marafiki zake
MTANGAZAJI wa Magic FM, Denis Busulwa ‘Ssebo’, usiku wa kuamkia leo alisherehekea siku ya kuzaliwa kwake na mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la Nasra a.k.a Lady Naa ndani ya ukumbi wa New Maisha Club Masaki jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake na Ladynaa wa pili kutoka kulia.
Sintah akisimamia zoezi la shughuli hiyo kama MC.
Ssebo, Ladynaa na rafiki yao katika pozi.
Sintah, Ladynaa & rafiki yao
Ssebo & Ladnaa katika pozi
No comments:
Post a Comment