Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria na Haki za Binadamu (
Mkurugenzi wa TAMWA, Analilea Nkya akiwa ameshikilia bango lake wakati wa maandamano hayo jijini Dar es salaam leo.
Polisi wakiwaamuru waandamanaji watawanyike mara baada ya kufika katika eneo la Salender Brige jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi
wa TAMWA,Mama Ananilea Nkya (kulia) akizungumza na baadhi ya vyombo vya
habari mbalimbali kuhusiana na maandamano yao yaliyodumu kwa muda wa
masaa mawili hivi kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ikae meza moja na
madaktari na kuhakikisha mgomo wao unakoma mara moja na kuhakikisha
shughuli za matibabu hospitali ya Muhimbili na nyinginezo zinaendelea
kama kawaida.

Amri ikitolewa kuwataka wanaharakati kuondoka eneo hilo,kwani ilielezwa kuwa maandamano hayo yamefanyika bila kubarikiwa.

Askari wakiwa eneo la tukio mapema leo jioni.

Ujumbe kutoka kwa wanaharakati hao.

Mwanaharakati akiwa na ujumbe wake.


No comments:
Post a Comment