Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, February 21, 2012

WAPIGANAJI WA BOKO HARAM WAUWA NA MAJESHI YA NIGERIA

Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kwamba wanajeshi watatu walijeruhiwa katika
makabiliano hayo ya risasi na kundi la Boko Haram.

Walinda usalama katika mji wa Maiduguri
Hata hivyo alikanusha kuwa kuna raia yeyote aliyeuwawa katika kisa hicho.
Lakini wenye maduka katika soko la Baga wamenukuliwa wakisema kuwa wameona maiti zipatazo ishirini hivi zikipakiwa kwenye lori.
Eneo hilo la Maiduguri ni ngombe kuu ya wapiganiaji wa Boko Haram . Na katika miaka ya hivi karibuni sehemu imeshuhudia milipuko kadhaa na ufyatuliananji wa risasi.
Tayari serikali ya rais Goodluck Jonathan imetangaza hali ya hatari katika mji huyo na miji menginea ambayo imeshuhudia mashambulizi toka kwa kundi hilo la Boko Haram.
Lakini wakazi wa miji hiyo wanasema kuwa suluhu ya kijeshi haijafaulu leta mafanikio yeyote

No comments: