Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, October 5, 2014

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT

Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam. (Picha na Pamoja Blog)
Tano bora ilikuwa hii
 Msami akitoa burudani ya nguvu ndani ya Maisha club jijini Dar
Mardha John akifanya vitu vyake

 Elizabeth Eliud akikizungusha kiuno chake
Dorice Molel akifanya ya kwake kwenye stage
  Kwa Naomi Kisaka ilikuwa ni shidaaaaaa
 Huyu alikuja kiivi
 Sabina Thomas  alitoka kivyake vyake
  Weeeeee hii ni shida 
 Maureen Godfrey akishake kwenye stage
 Nicole Franklyn Sarakikya akiimba kwa hisia kali
 Hapa ni mwendo wa burudani tu
Ni mwendo wa furaha tu
 Camilla John aliimba kwa hisia 
Happy Sosy alikuja kama Beyonce 
Queen Latifa Hamisi yeye aliamua kukata nyonga 
Ni mwendo wa mauno
 Majaji wakijadiliana jambo
 Ilikuwa ni shidaaaaaa
 
Ommy Dimpoz (kulia) akiimba pamoja na Christian Bella waimbo wa mama ulioleta amasa kwa mashabiki wake.
 
  Chief Jaji Martin Kadinda akitangaza washindi
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia kwa makini tukio lililokuwa likiendelea

No comments: