Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, March 9, 2011

BARCA YAICHAPA ARSENAL 3-1Barca will hold the ball possession, Arsenal will do the finishing-->
  3- 1. It has been written, Barca will not see the back of the net. Go Gunners!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
 
 DAWA ZA MCHUNGAJI WA AJABU ZATIBU MAELFU YA WATU

WAKATI watu zaidi ya 3,000 wakiendelea kufurika kila siku kunywa dawa Mchungaji Ambilike Mwasapile amesema bado ataendelea kuwa fiti kuhudumia watu watakaofika nyumbani kwake.

Mbali na kueleza kwamba bado yupo ‘gado’ Mchungaji huyo ametoa onyo kali kwa wajasiriamali na watu wenye magari ya kubeba abiria kwa vitendo vya kupandisha huduma hadi kiwango cha kutisha.

Akizungumza nyumbani kwake na vyombo vya habari juzi Mchungaji Mwasapile, alisema, hivi sasa zaidi ya watu 3,000 wanakwenda nyumbani kwake katika Kijiji cha Samunge wilayani Ngorongoro kwa ajili ya kunywa dawa kwa gharama ya Sh 500 kama alivyoagizwa na Mungu katika ndoto.
“Watu ni wengi wanakimbilia uponyaji na hawa bado ni tone katika wale wanaondelea kuja hapa, nisingependa kuona wafanyabiashara wakianza kuwamiza watu wanaokuja kunywa dawa.

“Hii ni agizo kutoka kwa Mungu kwamba dawa hii itolewe kwa kiwango cha Sh 500 kwa hiyo hata wao wanapaswa kuwatoza gharama za kawaida kabisa watu wanaokuja huku,” alisema Mchungaji Mwasapila ambaye hivi sasa amejizoelea umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi.

Onyo la Mchungaji Mwasapile limekuja muda mfupi baada ya umati wa watu kukimbilia katika Kijiji cha Samunge ambacho kipo umbali wa takribani kilomita 400 kutoka Arusha mjini, ambapo ili kufika huko ni lazima abiria watumie usafiri wa magari aina ya Toyota Landcruiser na mabasi.
Nauli za magari kuelekea kijijini Samunge zimefika kiasi cha Sh.100,000 hadi 130,000 kwa mtu mmoja kwa safari ya kwenda na kurudi wakati nauli ya zamani ilikuwa ni Sh. 37,500. Na kwa upande wa magari aina ya Landcruiser imepaa hadi kufikia Sh. 150,000 na 200,000 kwa mtu mmoja kutoka Sh. 35,000.
Kwa upande wa bei ya vyakula kijijini hapo imezidi kupaa na kufikia Sh.1000 kwa sahani hadi Sh. 3000 kwa sahani ya chakula, wakati nyama ya mbuzi ya kuchoma ikipanda kutoka Sh.4000 kwa mguu hadi Sh. 20,000.Wakati maji ya kunywa yakiuzwa kwa Sh. 1,000 hadi Sh. 1,500 kutoka Sh. 500 sanjari na soda.
Wakizungumzia ongezeko hilo pamoja na Mchungaji Mwasapile akitoa onyo kali kwa watoa huduma hiyo kushusha bei haraka, baadhi ya watu waliokwenda kunywa dawa walisema kwamba kwa sasa wafanyabiashara wamegeuzia gharama za dawa hiyo kwenye mahitaji ya kibinadamu.

“Unajua binadamu tuna matatizo sana Mchungaji amepewa huduma hii na Mungu bure nay eye ameamua kutoa bure, lakini imefika kwetu waananchi wanaona hapa ndoiuo mahali poa kutajirikia jambo hili si sahihi kabisa.
“Sasa hii yote inatoa taswira kwamba kama ingekuwa si Mungu ndani ya Mchungaji na zawadi hii akapewa mtu mwingine au ikawa ni geresha kwa watu hakika wangekuwa wanaitoa dawa hii kwa gharama kubwa haijawahi kuonekana,”alisema Joseph Mwangosi.

Hata hivyo baadhi ya watu wengine waliomba serikali kuingilia kati kwa kusimamia bei za bidhaa katika eneo hilo kwani zitazidi kuwaumiza zaidi ilhali wao wamekwenda kwa ajili ya kupata huduma ya dawa.
Baadhi ya watu waliokunywa dawa hizo wakiwa wamelala kupumzika nyumbani kwa Babu huyo.
Hii ndiyo dawa yenyewe ikiwa tayari kwa kuywewa baada ya kucheshwa.

 

SAFARI LAGER NYAMA CHOMA

Majaji wakipitisha vipimo vyao.

Nyama zililika si mchezo

kiduku kikichukua nafasi yake mara baada ya ushindi wa kwa wana Mbeya Carnival.
 
 

Kesi ya ufisadi ya Bw Muluzi yaanza

Rais Bingu wa Mutharika
Rais Bingu wa Mutharika
Kesi ya aliyekuwa Rais wa Malawi Bakili Muluzi imeanza akituhumiwa kwa mashtaka ya ufisadi.
Mahakama Kuu ilikataa ombi lililotolewa Jumatatu kuzuia kesi hiyo kwa misingi ya hali ya afya ya Bw Muluzi.
Aliyekuwa Rais huyo ametuhumiwa kwa matumizi mabaya ya takriban dola za kimarekani milioni 11 zilizotoka kwa wafadhili wa kimataifa.
Amekana mashtaka hayo- na mara zote amekuwa akisema hayo yote yametokea kutokana na kutofahamiana na Bingu wa Mutharika ambaye alikuja kuwa Rais mwaka 2004 baada ya yeye kumaliza muda wake.
Bw Muluzi alikamatwa mwaka 2005 kwa madai ya kuhusika na ufisadi, lakini hivi karibuni kesi hiyo imekuwa ikicheleweshwa kutokana na afya yake.
Mwandishi wa BBC Raphael Tenthani aliyopo Blantyre alisema tangu ajiuzulu mwaka 2004, Bw Muluzi amefanyiwa upasuaji wa mgongo mara kwa mara.
Rais Mutahrika alikwaruzana na Bw Muluzi baada ya kuingia madarakani, na kumshutumu mwenziwe ambaye aliwahi kumwuunga mkono kwa kuharibu mpango wake wa kupambana na ufisadi.

Sneak peek: Shantanu and Nikhil’s Summer/Resort collection

Lakme India Fashion Week fever is on and as designer duo, Shantanu and Nikhil go into prep mode with fittings and last minute decisions; Vogue.in gets you a preview of their Summer/Resort 2011 collection.

Making its debut, their line S&N Drape by Shantanu and Nikhil has the designers’ signature drape style.  “The brand by itself is positioned to be very dynamic, sexy and young which gives the new line all the ingredients of being a very edgy collection,” explains Shantanu.

With Rihanna assuming the role of a muse, the collection channels rock divas, who are the collections'  primary inspiration. “Resort has various interpretations and what we are showcasing is more evening resort. Clothes that women can wear it when they go out partying or take it for their travels,” explains Shantanu.

When asked for more details, the designers gave us a few hints. “For the first time we are using brocade to give the fit in a pair of shorts and expect to see lot of leather finishes, either in the look or the ensemble. We are also doing a seductive avatar of the sari – a ready-made version with strong drapes and bare legs.”


. Angel Melaku
Angel Melaku adalah seorang profesional booty shaker. Model keturunan Ethiophia berusia 22 tahun ini diberi julukan Video Vixen of the Year pada BET’s Rip The Runway

No comments: