Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, March 14, 2011

MANDAKTARI NA WAGONJWA WAPANGA FOLENI KUNYWA DAWA LOLIONDO

Image Katika hali isiyo ya kawaida nchini Tanzania wagonjwa kukimbia matibabu ya kisayansi na kukimbilia matibabu ya kitabibi,hivi karibuni wagonjwa waliotoroka wodini na kukimbilia loliondo wamejikuta msari mmoja na madaktari waliokuwa wanawatibu huko hospitali wote kwa kwa pamoja wakisubiri kunywa dawa hiyo ya maajabu duniani.
  Watu mashuhuri,wanasiasa na wasanii mbalimbali wameonekana wakienda kunywa dawa hiyo,hivi karibu kwa habari zisizo rasmi inasemekana mjomba alitua na elkopta akapipafu kadhaa then akaendelea na majukumu ya kitaifa.


Mtambo wa Nyuklia walipuka Japan

Mtambo wa Nyukilia japan walipuka
Kumetokea mlipuko mwingine katika kinu cha kinukilia kilichoharibiwa na tetemeko la ardhi cha mji wa Fukushima. Mlipuko huo ulitifua moshi mkubwa katika eneo hilo.
Mlipuko huo wa hewa ya Hydrogen ulitokea katika mtambo wa tatu, lakini katibu wa Baraza la Mawaziri wa Japan amesema kuwa hakuna hatari ya kusababisha kuvuja kwa sumu ya kinukilia kutokana na mlipuko huo ni ndogo sana.
Msimamizi wa kiwanda hicho amesema kuwa mlipuko huo haujaharibu kifaa kinacho hifadhi mtambo huo wa kinukilia. Kiwanda hicho kinasema watu sita walijaruhiwa.
Hadi kufikia sasa watu 22 wametibiwa kutokana na madhara ya kuharibika kwa kinu hicho cha kinukilia. Awali Waziri Mkuu wa Japan, Naoto Kan, alisema kuwa kinu hicho kilichoharibiwa kutokana na uharibifu wa Ijumaa kilikuwa katika hali ya hatari.



New Ja Rule LP Lands In Stores Day Before Rapper's Prison Term

Mlipuko wa hewa ya hydrogen ulirusha hewani paa la sehemu moja ya kiwanda mnamo Jumamosi. Mitetemeko midogomidogo imeendelea kutokea maeneo kadhaa nchini humo.
AllHipHop News) Queens, New York rapper Ja Rule has announced his new album The Renaissance Project will drop in June, just as he starts a 2-year prison term for being caught with a handgun in July of 2007.
Ja Rule was sentenced to the term after pleading guilty to attempted criminal possession of a weapon.
Earlier this week, the rapper's lawyer revealed that a judge had pushed Ja' surrender date to June, so he could pay off an old tax debt and finish recording his album.
Earlier today (March 13th), Ja took to Twitter and announced the official release date for the album is June 7th, the day before he must surrender to authorities and begin his prison sentence.
The Renaissance Project will be released on Ja Rule's Mpire Music Group, which is distributed and marketed by Fontana Distribution.
Ja Rule is due in court to surrender and start his prison term on June 8th.

Jeshi limeukomboa mji wa Brega, Libya

Televisheni ya Libya inasema kuwa jeshi limeukomboa mji wa Brega ulioko mashariki kutoka wale walioelezewa kuwa magenge yenye silaha.
Hali nchini Libya
Hali nchini Libya
Taarifa hizo hazijaweza kuthibitishwa.
Majeshi ya Gaddafi yamekuwa yakisonga mbele kwa kasi dhidi ya wapiganaji wasiokuwa na silaha wala uongozi mmoj, katika maeneo ya mashariki na magharibi mwa nchi.
Kukombolewa kwa mji mdogo wa Brega, kama ni kweli, kutathibitisha mkondo ambao umejitokeza katika siku chache zilizopita.
Jeshi la Gaddafi limeweza kugeuza mafanikio ya wapiganaji waliyoyapata wakati upinzani ulipoanza.
Wapiganaji wanasema wanarejeshwa nyuma kwa sababu nguvu zao na zile za upande wa Gaddafi hazilingani.
Wanasema wanashambuliwa na ndege na manuwari na wanataka jumuiya ya kimataifa kufanya haraka kuweka amri ya kuzuwia ndege kuruka katika anga ya Libya ili kupunguza uwezo wa serikali.
Lakini Kanali Gaddafi amelitoa maanani tishio la kuingiliwa kati.
Inavoelekea yeye na wapinzani wake wako tayari kupigana hadi mwisho.

MOVIE  LETU:DOWANS 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgstHn334AiAUhaygxwL0mgkDXW8gAn6YpAuuCAsQ0gS8_uLX_nENsUhvT_wJTNpfxi3FCQ4ASZJHQz6msQSoNum1rBy4wCo-SZuFg9XtaP2ih3sVQhGfRKdsWLclmGWClSapGpIHHisLS1/s1600/dowans_218.jpg
Piiipoo!!lile bonge la movielililobamba sana pande za Tz mwaka 2010/2011lijulikanalo kama dowans ambapo sterigi wa movie hiyo Ankoo…!!Alladawi aliibuka baada ya parti 1kuisha.Habari ni kwamba movie hiyo itaendelea hivi punde baada ya kumalizika commered break ya babu wa loliondo….!!
Part  11 coming soon






Ofisa Viwango wa Tigo, David Zakaria akikabidhi funguo ya gari aina ya Nissan Hard Body yenye thamani ya shs milioni 56 kwa mshindi wa promosheni ya Bahatika na Tigo, hafla iliyofanyika katika viwanja vya Coco Beach, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Ofisa Uhusiano wa Tigo Tanzania, Jackson Mmbando akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi ya gari ya promosheni ya Bahatika na Tigo ambako washindi wawili walikabidhiwa magari yao aina ya Nissan Hard body yenye thamani ya shs milioni 56 kila moja jijini Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki.

Mwanamuziki wa kizazi kipya Chidi Benz akifanya vitu vyake katika onyesho hilo.

Joe Makini akiwachengua umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika onyesho la Bahatika na Tigo katika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waliofurika katika viwanja vya Coco Beach, Dar es Salaam kushuhudia onyesho la Bahatika na Tigo ambalo washindi walikabidhiwa magari yao ainaya Nissan Hard Body.

SI KWELI DIDDY ANAMZIDI FEDHA BIRDMAN

Wachuguzi wa mambo ya utajiri nchini marekani wamesema hawakubaliani  na twakimu na orodha ya 2011 ya wanamuziki  matajiri kwa kumtangaza diddy a.k.a dirty money kuwa ndiye mwana muziki wa kwanza mwenye hela zaidi kuliko wote
Wadadafuaji hao wamesema birdman anafedha zaidi na vitega uchumi vyake vingi ni haramu kitu kinachosababisha maingizo hayo yasiingie kwenye twakimu lakini ukweli kwamba birdman ana fedha kinyama kuliko diddy
Matumizi ya kila siku ya birdman ni kufuru nakayi ya wanamuziki wachache wanaovaa vitu vya dhamani  na magari mengi ya kifahari ivi majuzi  iliripotiwa kuwa baby a.ka birdman anavaa saa yenye thamani ya bilioni 1.5


MODEL:Zoe Saldana



She's not a pinup girl nor is she your playmate of the month. And you know when they say less is more?  This is what they mean. Dominican born and New York raised actress Zoe Saldana has a sexiness all her own.  You might remember her from early films such as Drumline, Pirates of the Caribbean: The Curse of the Black Pearl, and Havenin... 
 

No comments: