Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, March 30, 2011

BIBI MWINGINE AJITOKEZA KUTOA KIKOMBE KAMA BABU WA LOLIONDO



Baada ya Mchungaji Mwasapila wa Loliondo,Dogo wa Mbeya sasa kuna Bibi ameibuka toka Tabora,Magreth Mutalemwa (40) mwenye Mume na watoto wanne anayeishi Urban Quarter,Uzunguni-Tabora,naye anadaiwa kutoa kikombe cha dozi kwa shs 500,ambacho Kinawatibu magonjwa wale wote wenye kusumbuliwa na magonjwa mbali mbali

Bibi ameanza tangu tarehe 21/March/2011,baada ya kudaiwa kuoteshwa kabla ya tarehe 21 na kuidharau ndoto ile alianza kupata matatizo lakini baada ya kuanza kufanya yale aliyotakiwa kufanya matatizo yakaisha ndio mpaka leo anatibu watu

Ndio mimewasikia Mchungaji Mwasapila, Babu dogo wa Mbeya na ninavyoona mimi huu ni uwezo wa Mwenyezi Mungu tu,kwani katika uoteshwaji wangu nakumbuka sauti iliniambia tupo watatu na tumetunukiwa roho safi kufanya shuhuli hii ya kutoa tiba.Kwa hiyo naamini hao ni wawili na mimi ni wa tatu na ndio tuliotunukiwa” alifunguka Bibi Magreth Mutalemwa toka Urban Quarter,Uzunguni-Tabora
Watu wakimiminika kupata kikombe cha bibi huko tabora.
yule mganga wa mbeya huyu hapa chini
jafar welino(17)
Add Image

  Happy birthday uniqueentertz.blogspot.com

  Am Magese,nawashukuru watizamaji wote kwa kunipa kampani yakutosha kwa mwaka mmoja uliopita pia mwenyezi mungu kunipa nguvu na uhai wakuwapa mavituz ya ukweli,taerhe 1 april tunatimiza mwaka mmoja. www.uniqueentertz.blogspot.com

 


EXLUSIVUU..!! BIFU ZITO NEY (wa mitego) Vs SHALOBALO (wapaka poda)
Wadodosaji katika duru la muziki wamesema hii iyakua chuki ya kudumu kufatia mistari ya msanii wanamuziki wa kizazi kipya ney (wa miego) kuwachana vikali machekibobu wa shalobalo.

 BREAKING NEWZ

GURUMO ALAZWA MUHIMILII LEO!

Kiongozi wa bendi ya Msondo Ngoma 'Baba ya Muziki' Muhidin Gurumo amelazwa Hospitali ya Muhimbili leo, hii ni kutokana na habari zilizotufikia kutoka kwa mdau zikisema.
STAILI MPYA ZA DADA ZETU HAWATAKI TENA WANAUME

Jackline Pentzel (jacky wa chuzi) pamoja na Miriam jolwa (Jini kabula),madai waechoshwa na wanaume wanataka radha mpya kimapenzi.
Kwa staili hii kizazi kijacho familia itakuwa sio taasisi ya kujenga maadili kama mama zetu hawa  wa siku za usoni kujumuika katika matanio ya jinsia moja.


GHANA WAWATUNISHIA MISURI ENGLAND

Coach Fabio Capello believes striker Andy Carroll is still short of his best form, despite scoring his first England goal in the 1-1 draw against Ghana.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal katikati, akitembelea mashamba ya kilimo cha mpunga katika mabonde ya Mto wa Mbu Wilayani Monduli, wakati alipokuwa katika siku ya tatu ya ziara yake ya kukaguwa na kuzinduwa miradi ya maendeleo Mkoani Arusha leo. kulia Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Isidore Shirima
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiangalia mashamba ya kilimo cha mpunga katika mabonde ya Mto wa Mbu Wilayani Munduli, alipokuwa katika siku ya tatu ya ziara yake ya kukaguwa na kuzinduwa miradi ya maendeleo Mkoani Arusha leo.Picha na Amour Nassor VPO.



CHRISS BROWN KAOMBA RADHI  

As he cavorted on stage with semi-naked women just hours after his violent outburst on Tuesday, Chris Brown certainly showed no signs of feeling remorseful.

      But the 21-year-old singer insists he is in fact sorry for flying into a rage after his appearance on Good Morning America and leaving behind a smashed window in his dressing room.
'First of all, I want to apologise to anybody who was startled in the office, or anybody who was offended or really looked, and disappointed at my actions,' Brown said on BET's 106 & Park show.
'Because I'm disappointed in the way I acted,' he added. 'Yes, I got very emotional. And I apologise for acting like that.'

Brown insists he wasn't aware TV anchor Robin Roberts would be asking him questions about his 2009 arrest for assaulting pop star Rihanna.
He said his team had issued a list of 'talking points' for the host adhere to and added that he was 'thrown off' when the topic of his ex girlfriend's restraining order was raised.
Roberts has previously said her guest was made aware of her line of questioning in advance of the live interview.
     'I felt like they told us this just so they could get us on the show to exploit me. That’s what I thought. So I kind took it very, very hard,' said Brown.t
He added: 'I kept my composure throughout the interview, although you could see me upset, you know. I kept my composure and did my performances, and when I got back, I just let off, like, steam in the back.'
He continued: 'I didn't physical hurt anyone, I didn't want to hurt anyone, I just wanted to release the anger that I had inside of me.'
       A statement issued by ABC News said: 'Chris Brown was invited on Good Morning America to perform and to be interviewed. There were no talking points offered.'
After his backstage meltdown, Brown continued with his day as planned.
He visited the Opera Gallery and played a game of basketball at Manhattan's Greenwich Village.
He then enjoyed dinner with his girlfriend Karrueche Tran before heading on to his album launch party at New York's Webster Hall.

      At the event, which marked the release of his record F.A.M.E., he performed on stage with dancers who were wearing no more than their underwear.
Meanwhile, his mother Joyce is said to be 'very disturbed and upset' over her son's recent behaviour, according to Radar Online.
'Joyce spoke with Chris immediately after he left the studio in midtown,' a source close told the U.S. website.
      'She was very, very upset with him. Joyce isn't only his mother, but his manager as well.'
Brown's appearance on Lopez Tonight has been cancelled however he is still scheduled to sing on Dancing With the Stars next week.

TP MAZEMBE KUTUA DAR IJUMAA

OFISA HABARI WA SIMBA, CLIFFORD NDIMBO
MABINGWA wa soka barani Afrika TP Mazembe ya Congo wanatarajiwa kuwasili ijumaa tayari kwa mechi yao ya marudiano na Simba itakayopigwa jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ofisa habari wa Simba Clifford Ndimbo ametaja viingilio vya mechi hiyo kuwa ni :
Sh.40,000 (VIP A), sh.20,000 (VIP B), sh.10,000 (VIP C), sh.8,000 (VITI VYA ORANGE), sh.5,000 (VITI VYA KIJANI NA BLUU).
Tiketi zitauzwa katika vituo vifuatavyo:MIGAHAWA YA STEERS, VITUO VYA MAFUTA VYA BIG BON, JENGO LA BENJAMIN MKAPA, BP MWEMBECHAI NA UWANJA WA TAIFA.

Rihanna reveals her sexual fantasies


The R&B singer confesses to being a sexual masochist, something she is not proud of but believes to be the result of abuse she received as a child.
R&B pop sensation Rihanna will fill the front page of the next edition of Rolling Stone magazine, within whose pages she makes some revealing confessions about her sex-life: "I live feeling like I'm somebody's girl," says the singer.
In a totally spontaneous and honest way, Rihanna opens up to the publication about her most intimate secrets: "I love to be tied up and spanked," she reveals.
"Using whips and chains is too planned... you have to stop and look for the whip. I prefer them to use their hands,"
she adds.
During the interview the singer also says she has to make so many decisions on a daily basis, that in her private life she likes to feel like someone else is in charge. She also declares herself a masochist, something she confesses to not being very proud of, but which she attributes to the abuse she suffered as a child.
Rihanna tells Rolling Stoneshe was just nine years old the first time she saw her father smoke crack: "I was always terrified on Friday because he could come home drunk. That was payday, and half of it went on alcohol," says the artist.
Unbelievable as it may seem, Rihanna says she lives on a diet of chips, cheetohs and KFC, though she is fully aware of the damage this could have: "your tits and ass are the first to go".

No comments: