Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, March 29, 2011

Majeshi ya Gaddafi yawazidi nguvu waasi


Askari wanaomtii Kanali Gaddafi mjini Misrata
Majeshi yanayoiunga mkono serikali yamezidi kuwashambulia waasi nchini Libya, nahivyo kuwalazimu kurejea nyuma katika mji wa Bin Jawad.
Mapigano hayo mapya yameibuka baada ya wajumbe kutoka nchi mbalimbali kukutana mjini London kwenye mkutano wa kujadili mipango ya usoni ya Libya.
Awali Rais wa Marekani Obama alijitetea kwa kufanya uamuzi wa kuidhinisha harakati za kijeshi kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani, akisistiza Marekani imejihusisha kwa kiwango kidogo.
Lakini pia alisema kumwondoa Kanali Gaddafi kwa nguvu ni kosa.
Majeshi yanayompinga Kanali Gaddafi yamesogea sana upande wa magharibi kutoka kwenye ngome yao ya Benghazi katika siku za hivi karibuni- wakisaidiwa sana na mashambulio ya anga ya kimataifa- yakiteka idadi kadhaa za jamii za kipwani na mitambo muhimu ya mafuta, ikiwemo Ras Lanuf, Brega, Uqayla na Bin Jawa


Wamali washangilia wachezaji wa Gaddafi


Mashabiki wa mpira Bamako, Mali
Maelfu ya raia wa Mali walijitokeza kuishangilia timu ya Libya katika kufuzu kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwenye mji mkuu wa Mali.
Mashindano hayo yalifanyika Bamako kutokana na sababu za kiusalama nchini Libya.
Takriban raia 20,000 wa Mali walijitokeza kushuhudia shindano hilo, wengi wakiwa wamebeba mabango wakipinga uvamizi unaofanywa na nchi za magharibi nchini Libya.
Kapteni Tariq Ibrahim al-Tayib aliiambia BBC baada ya kuichapa Comoro mabao 3-0, "Tumeguswa sana na watazamaji wa Mali"
Mwandishi wa habari aliyopo Bamako Martin Vogl alisema serikali ya Mali ina uhusiano wa karibu na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi na huungwa mkono sana nchini humo.
Baada ya kila goli katika shindano hilo lililofanyika siku ya Jumatatu jioni, mashabiki hao walikuwa wakiita: "Gaddafi! Gaddafi!," alisema.
Bw Tayib alisema wachezaji wengi hawakuweza kucheza kwasababu walikuwa wanaishi Benghazi, mji ulioshikiliwa na majeshi yanayopambana na Kanali Gaddafi.
Lakini alisema hakuna mgawanyiko wowote wa kisiasa upande wa timu ya soka ya taifa.
Alisema, "Timu nzima inamwuunga mkono Muammar Gaddafi".
Siku ya Ijumaa, maelfu ya Walibya walipita mitaa ya Bamako kuonyesha nia yao ya kumwuunga mkono kiongozi huyo wa Libya- wakiandamana kuelekea kwenye mabalozi ya Ufaransa na Marekani kupinga nchi hizo kujihusisha katika harakati za kijeshi dhidi ya Kanali Gaddafi.

Minaj gives Lil Wayne a lapdance

nicky_minaj_lil_wayne_kiss.jpg
Rap sensation Nicki Minaj gave her mentor and tourmate Lil Wayne a night to remember on Sunday, when she treated him to a sexy lapdance during their concert in New York.
The stars took their I Am Music II trek to Long Island for the first of two dates at Nassau Coliseum and gave fans an eyeful during Minaj'sWayne. set, when she decided against pulling a lucky fan up onstage for her concert stunt - and instead chose to bump and grind against a smiling
Before launching into her verse on Sean Kingston'sLetting Go (Dutty Love), she told the hip-hop star, "You got the big moves, legs open, hands behind your back, mouth shut. Let's go!" reggae tune
But the raunchy dance proved a little too much for the Lollipop star - he fell off his chair as soon as Minaj completed the cheeky routine.
The lapdance wasn't the only surprise at the gig - rapper Busta Rhymes joined Wayne onstage for their parts on the Chris Brown track Look At Me Now, although the R&B singer was not present for the performance.
The tour stop marked Wayne's first live show in the Big Apple since walking free from the city's tough Rikers Island prison last year. The star served an eight-month term for a weapons possession charge.


mtoto Adela jicho litakudondoka..... wacha wee..!!


tembelea blogu yake upate stori za mahaba,simulizi za kitandani,maisha na mahusiano ya kutupiana mbichi nk

 

   Danny Welbeck aitwa kikosi cha England,ghana na england kukiputa leo usiku

Mshambuliaji wa Sunderland Danny Welbeck ameitwa katika kikosi cha England kitakachocheza na Ghana siku ya Jumanne katika uwanja wa Wembley.
Danny Welbeck
Danny Welbeck
Welbeck mwenye umri wa miaka 20, ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo akitokea Manchester United, anajiunga na kikosi hicho kutokana na kuumia winga wa Tottenham, Aaron Lennon.
Lennon anasumbuliwa na misuli ya paja baada ya kufanya mazoezi na kikosi cha England siku ya Jumatatu.
Meneja wa England Fabio Capello, anatarajiwa kufanya mabadiliko ya wachezaji saba kwenye timu yake waliocheza dhidi ya Wales siku ya Jumamosi.
Kiungo wa Manchester City Gareth Barry, atakuwa nahodha wa kikosi cha England baada ya nahodha wake mpya John Terry kuwemo katika orodha ya wachezaji sita waliopumzishwa kwa ajili ya mechi hiyo dhidi ya Black Stars.
Frank Lampard na Ashley Cole pia wamepumzishwa katika kikosi hicho cha England, pamoja na mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney na mlinzi wa Tottenham, Michael Dawson.
Kyle Walker wa Aston Villa yeye amerejeshwa katika klabu yake kutokana na kuumia.
Welbeck alifunga bao maridadi wakati timu ya taifa ya England chini ya miaka 21 ilipoilaza Denmark 4-0 siku ya Alhamisi, lakini baadae kocha Stuart Pearce alimruhusu aondoke kambini baada ya England kufungwa mabao 2-1 na Iceland siku ya Jumatatu.
Amekuwa na msimu mzuri katika timu ya Sunderland, ambapo ameshafunga mabao sita likiwemo bao moja walipopata ushindi wa mnono wa kukumbukwa wa 3-0 dhidi ya Chelsea katika uwanja wa Stamford Bridge, lakini alipata matatizo ya kuumia goti mwezi wa Januari.
Iwapo Welbeck atacheza katika kikosi hicho cha England, atakabiliana na mchezaji mwenzake wa Sunderland anayechezea Ghana, Asamoah Gyan.

Wamali washangilia wachezaji wa Gaddafi


Mashabiki wa mpira Bamako, Mali
Maelfu ya raia wa Mali walijitokeza kuishangilia timu ya Libya katika kufuzu kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwenye mji mkuu wa Mali.
Mashindano hayo yalifanyika Bamako kutokana na sababu za kiusalama nchini Libya.
Takriban raia 20,000 wa Mali walijitokeza kushuhudia shindano hilo, wengi wakiwa wamebeba mabango wakipinga uvamizi unaofanywa na nchi za magharibi nchini Libya.
Kapteni Tariq Ibrahim al-Tayib aliiambia BBC baada ya kuichapa Comoro mabao 3-0, "Tumeguswa sana na watazamaji wa Mali"
Mwandishi wa habari aliyopo Bamako Martin Vogl alisema serikali ya Mali ina uhusiano wa karibu na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi na huungwa mkono sana nchini humo.
Baada ya kila goli katika shindano hilo lililofanyika siku ya Jumatatu jioni, mashabiki hao walikuwa wakiita: "Gaddafi! Gaddafi!," alisema.
Bw Tayib alisema wachezaji wengi hawakuweza kucheza kwasababu walikuwa wanaishi Benghazi, mji ulioshikiliwa na majeshi yanayopambana na Kanali Gaddafi.
Lakini alisema hakuna mgawanyiko wowote wa kisiasa upande wa timu ya soka ya taifa.
Alisema, "Timu nzima inamwuunga mkono Muammar Gaddafi".
Siku ya Ijumaa, maelfu ya Walibya walipita mitaa ya Bamako kuonyesha nia yao ya kumwuunga mkono kiongozi huyo wa Libya- wakiandamana kuelekea kwenye mabalozi ya Ufaransa na Marekani kupinga nchi hizo kujihusisha katika harakati za kijeshi dhidi ya Kanali Gaddafi.

 

 KANYE WEST ATUPA MBICHI KWA TAYANA TAYLOR
Word on the street is Kanye West is now dating Teyana Taylor.

We heard rumors of the young Harlem knight being signed to G.O.O.D. Music but nothing has been confirmed. Teyana Taylor has recently broken up with NBA player Brandon Jennings and rumor is she is on with kanye west.

Illseed has talked about this already, but rumor is Kanye is smitten with her and intrigued by her body and innocence. Teyana is currently has a role in Tyler Perry's new movie "Madea's Big Happy Family" and rumored to featured on "Watch The Throne."



    Taylor akiwa ndani ya run way
If any of this is true S/O 2 my fellow Harlem Knight. Teyana Taylor has talent and she deserves her whats due she has been working hard for some time now.

Did Teyana Taylor Sign To Kanye’s GOOD Music Label?
Jazzy F. checking in with the homie illseed and if you want that real NYC ish! follow m

Operesheni ya Libya inayatimiza matakwa yetu asema Rais Obama

Rais Barack Obama wa Marekani ameielezea operesheni ya kijeshi ya Odyssey New Dawn inayoendelea nchini Libya kuwa harakati zinazoenda sanjari na matakwa ya kitaifa ya nchi yake.

 Kiongozi huyo alisisitiza kuwa endapo hatua zisingechukuliwa,hilo lingeacha doa kubwa katika dhamiri ya ulimwengu.Rais Obama alieleza kuwa Jumuiya ya Kujihami ya NATO itaanza kuyatimiza rasmi majukumu yake nchini Libya hapo Jumatano (30.03.2011).Hata hivyo,Rais Obama aliahidi kuwa operesheni hiyo itachukua muda mfupi zaidi na gharama zake zitakuwa chache ikilinganishwa na vita vya Iraq.Kauli hizo zimetolewa muda mfupi kabla ya kikao cha kimataifa kitakacholijadili suala la Libya kuanza mjini London(29.03.2011).Mkutano huo utawaleta pamoja wawakilishi wa mataifa 35.Wakati huohuo,waasi wanaendelea na mashambulio yao yanayoelekea eneo la magharibi la Sirte anakotokea Kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi

JESHI LA POLISI LIMEWASHINDWA NA MAJAMBAZI WA SENGEREMA?

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema,WASAIDIE HUKO SENGEREMA

    Majambazi wanaotishia usalama wa raia wilani sengerema wameendelea kukata watu mapanga,kuiba kwa kuwaingilia usiku wa manane.

    Wimbi la ujambazi huu limeendelea kufanywa na watu wanatuhumiwa ni majambazi sugu wanaosaka mali kwa nguvu dhidi ya raia wema wilani sengerema.

    Wakazi wa wilaya hiyo wameingiwa na simanzi hasa inafika jioni kwani watu wengi huingiliwa na majambazi hayo yakimaliza kazi zao huondoka bila woga wowote kwa kutembea taratibu kwa miguu kama mameneja wanavyoondoka baada ya muda wa kazi.

  Baadhi ya wakazi wa wilaya hiyo wamelilaumu jeshi la polisi wilani humo kutoa ushirikiano hafifu wa kutokomeza janga hili la kiusalama kitu kinachopelekea hisia kuwa kana kwamba majambazi hao wanapewa "corabo" flani na na baadhi ya askari.

   Mi mwenyewe dada yangu suzana magese  anayekaa wilani humo kaingiliwa mara mbili na shemeji yangu kukatwa mapanga kichwani lanini uovu huo bado unaendelezwa na majambazi hao bila hofu yoyote.POLISI MKO WAPI?


Eneo la asili la Gaddafi lashambuliwa


Muasi Libya
Uvamizi wa anga unaofanywa na majeshi ya muungano umeshambulia eneo alipozaliwa Kanali Muammar Gaddafi huko Sirte, eneo muhimu linalolengwa na waasi lililopo upande wa magharibi.
Msemaji wa serikali ya Libya alisema raia watatu wa Libya waliuliwa kwenye bandari ya nchi hiyo.
Uvumi ambao haukuthibitishwa kuwa waasi waliudhibiti mji wa Sirte ulisababisha waasi kufyatua risasi kwa minajil ya kushangilia kwenye mji walioukhodhi wa Benghazi.
Waandishi wa kigeni Sirte walisema walisikia milipuko mikubwa kwenye mji huo huku ndege zikipita angani.
Msemaji wa waasi huko Benghazi alisema Sirte sasa ilikuwa mikononi mwa majeshi ya waasi- lakini hakujakuwa na uthibitisho binafsi kutokana na madai hayo, na waandishi wa habari wa kimataifa ndani ya mji huo walisema bado unadhibitiwa na serikali.
Wakati huo huo, Qatar ni taifa la kwanza la kiarabu kutambua uongozi wa waasi- Baraza la Taifa la Mpito- kama wawakilishi rasmi wa watu wa Libya.


PLIERS NA CHAKA DEMUS KUTUMBUIZA UGANDA

plies na chaka demus kutua uganda kwaajili ya onesho la pasaka mbapo wataimba siku mbili tofauti ikiwa ni siku ya pasaka(jumapili na jumatastu ya pasaka).
  Onyesho hili limeandaliwa na mwanamuziki jajiri nchini uganga namzungumzia Bebe cool.


 

No comments: