r!

Msanni wa kizazi kipya alikili kuwepo kwa uhusiano  wa karibu na mrembo mwenye figa matata Wema sepetu uuzi wakati akihojiwa  na moja ya TV za hapa nyumbani.
Ni kweli mtu mzima anajiloweka pwachaa... juu ya  mrembo huyo hii ni baada ya kuundwa kwa kampuni ya kutengeneza movie  itwayo DW maana yake Diamond and Wema.
MH.WASIRA ATETEA KIBARUA CHAKE
Steven wasira 
Waziri steven wasira amesema wizara yake ni ngumu na ni muhimu kwa maslai ya taifa zima kwa jumla Hii imetoka na kauli ya viongozi  wa chama pinzani kudai wizara hiyo haina kazi muhimu na ipo kichama zaidi pia mzee wasira alifafanua kuwa wananchi wa bunda wasimlaumu kwa ukame uliopo jimboni kwake kwani swala la mvua liko nje ya kazi ya ubunge
CUF NA NCCR VYAMA VINAVYOELEKEA KUPOTEZA MVUTO WA KISIASA
Ile hali ya sitofahamu hatma ya vyama vya siasa vya CUF na NCCR dhidi ya wapiga kura 2015.Ukweli ni kwamba nyinyi ni vyama pinzani na sio chama tawala na kwanini mnakipinga chama cha CHADEMA ambacho ni wapinzani wenzetu na kusahau wajibu wenu kukipinga tawala.Ni dhamila kuwa mvuto wa vyama hivi viliwahi kutikisa nchi lakini siku hizimmekuwa kisiasa kuiandama CHADEMA
Mustafa Hassanali invited Origin Africa “Fibre to Fashion” Event 2011
Launch of ‘Serengeti’ collection in Mauritius
Origin Africa, source Tanzania aimed to promote Tanzanian Textile and tourism industry
Tanzania’s  own renowned pan African designer Mustafa Hassanali has been invited to  the Origin Africa “Fibre to Fashion” Event 2011 to be held from the  16-18 March 2011 in Mauritius. Fresh from Showcasing at the Arise  Magazine Fashion Week in Lagos, Nigeria, Mustafa Hassanali will now  unveil His second Collection for the year 2011 in Mauritius together  with 20 other designers from the African continent.
“I  am so very much looking forward to launch my neo collection in the  Indian Ocean island of Mauritius, another first for Mustafa Hassanali  and Tanzania at this International  event aimed at bringing stakeholders  from the Textile and fashion Industry including  buyers and press from  across the globe. ” stated Mustafa Hassanali
Mustafa  Hassanali will unveil his new collection named “Serengeti” in  Mauritius; the collection has been inspired by the wilderness of the  Serengeti plains, the flora and fauna of Tanzania famed tourist  destination, “Serengeti” The brown hues of the dust ruffled up by the  wild beast migration to the flaky mud on the elephant. The florals of  the dry savannah bring the sense of tranquility away from the hustle and  the bustle of a metropolis.
“Serengeti”  truly defines Tanzania as not only a Touristic destination but also  potentially a place to source Tanzania, Originally made in Africa  Textile and garments
“As  per my tagline, if your ensemble isn’t embellished with bling and your  gown don’t have a trail, that’s not a Mustafa Hassanali gown, this  collection is a ready to wear collection that has been made using cotton  made in  Tanzania’s blended with Tanzanian fabric “Kitenge” whose  floral print entice  the serene serendipity of Serengeti .” concluded  Hassanali.
ABOUT MUSTAFA HASSANALI
Mustafa  Hassanali, a creative entrepreneur believes in the ‘never say die’  attitude and uses his talent and creativity in making a better today and  tomorrow for the fashion fraternity along various  social causes very  close to his heart. Mustafa is truly a fashionista personified!
Mustafa’s  work has been highly appreciated at international levels. His showing  at the Arise Magazine Fashion Week 2011, Fashion Business Angola 2010,  FAFA (Festival of African Fashion and Arts in Kenya) 2010, Africa  Collection in Douala, Cameroon 2010, India International Fashion Week  20009, Naomi Campbell’s Fashion for Relief 2009, Arise Africa Fashion  week 2009, Durban & Cape Town Fashion Weeks, Vukani Fashion Awards  in Pretoria, Miss Ethiopia Beauty Pageant, Mediterranean Fashion  Festival in Sicily, Italy; M’Net Face of Africa, Mozambique, Uganda  & Kenya Fashion Weeks has brought him immense adulation.
ABOUT ORIGIN AFRICA “FIBRE TO FASHION” EVENT
The  Fiber to Fashion Mauritius event from 16-18 March 2011, held in  collaboration with the Mauritius Export Association (MEXA) and  Enterprise Mauritius, will highlight the creativity and innovation of  the African cotton, textile and clothing industries, and raise the  profile of the continent as a source of supply of cotton, textile  products, fabrics and clothing.
 This  world class event will bring together business leaders and decision  makers from 20 countries across Africa, providing opportunities for  international buyers to establish contacts with African designers and  industry, and to do business.
 
 

No comments:
Post a Comment