Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, March 15, 2011

BASATA KUSUKA UPYA MASHINDANO YA UREMBO


Baraza la Sanaa la Taifa litayafanyia mabadiliko makubwa mashindano yote ya urembo nchini ili yafanyike kwa kufuata taratibu na kanuni zilizopo lakini pia kufanyika katika misingi ya haki na uwazi kuliko ilivyo sasa ambapo kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa baadhi ya washiriki na wadau mbalimbali.

Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila Jumatatu barazani hapo wakati akihitimisha mada ya Mchango wa Mashindano ya Urembo na Mitindo katika Kukuza Ajira iliyokuwa ikiwasilishwa na Juliana Urio ambaye ni muandaaji wa Shindano la Kisura linalofanyika kila mwaka.

Alisema kwamba,Baraza linakusudia kuwaita waandaaji wote wa mashindano ya urembo na mitindo ili kuwakutanisha na wadau mbalimbali kwa ajili ya kueleza changamoto zilizopo na baadaye kuja na mapendekezo ambayo yatafanya mashindano hayo kuwa bora zaidi na yatakayofanyika katika misingi ya uwazi na haki zaidi.

“Tunatambua mchango wa mashindano haya lakini lazima yafanyike katika misingi iliyo wazi na bora zaidi ndiyo maana tunataka tuwaite waandaaji wote tuwakutanishe na wadau mbalimbali ili tupate changamoto na michango mbalimbali ya uboreshaji” alisema Materego.

Aliongeza kwamba, si nia ya Baraza kufuta shindano lolote lakini akasisitiza kwamba pale shindano linapokuwa na mapungufu mengi basi lazima lifutwe.Katika hili alisema kwamba, lazima waandaaji wazingatie masharti na taratibu zote wanazopewa ili kuepuka kufutwa kwa mashindano yao.

“Tunajua kwamba,ufutaji wa shindalo lolote utaathiri watu wengi hasa wasanii (warembo) sisi hatutaki kufika huko kwa sasa ndiyo maana tunasema mabadiliko katika uendeshaji wake ni ya msingi.Hatutaki mashindano ambayo washindi wanapatikana kwa misingi ya fedha na vigezo visivyostahili” alisisitiza Materego.

Kwa upande wake Juliana Urio alisema kwamba,washiriki wa shindano la kisura wamekuwa wakipatikana kutoka mikoa mbalimbali nchini na kusisitiza kwamba shindano lake limekuwa likifanyika katika misingi ya uwazi na haki kwani washindi wamekuwa wakipatikana kutokana na kura za wananchi na yeye kama muandaaji hajui kinachokuwa kinaendelea katika kumpata mshindi.

Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego (Kushoto) akisisitiza jambo kuhusu muenendo wa mashindano ya urembo nchini wakati akihitimisha mada kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila Jumatatu kwenye ukumbi wa baraza hilo.Wengine kutoka kulia ni Mratibu wa Jukwaa hilo,Ruyembe Mulimba na Juliana Urio muandaaji wa shindano la kisura.

Mmoja wa washiriki wa shindano la kisura akijibu baadhi ya hoja zilizoelekezwa kwa washiriki wa shindano hilo na wadau wa Jukwaa la Sanaa.Katikati anayemtazama ni Mshindi wa shindano la kisura anayemaliza Muda wake Diana.
K-SHER AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

K-Sher aka Mama Jam Key alifunguka “Kwanza namshukuru Mungu kwa kujifungua salama na kuweza kubeba dhamana ya kuitwa mama,hii itanifanya nizidi kujituma katika maisha yangu ili mwanangu aweze kuishi maisha mazuri hapo baadaye”
Mara ya mwisho K-Sher aling'ara kwenye wimbo wa Bado Tunapanda akiwa Kundi la Tip Top Connection toka pande za Manzese-DSM,ila alisema pamoja kuitwa mama,bado ataendelea na kazi yake ya sanaa na japo alipotea kitambo na hakusikika kwa muda mrefu.

50 Takes G-Unit International With New Distribution Deal


(AllHipHop News) 50 Cent is taking his record label international with a new European distribution deal for G-Unit Records.

According to reports, 50 Cent is planning to open an office in the United Kingdom via a new marketing and distribution deal with PIAS Group.
"Last year we took the decision to restructure the label and begin to carve out it's own world-wide distribution, marketing and promotions strategy, said Nikki Martin, Vice President, G-Unit Records & Entertainment. “After signing with EMI for North America we looked at who could help develop the brand in other key territories and we decided to partner with PIAS who shared our vision and passion for the music."
50's UK's office will be headed up by renowned DJ, Dan Greenpeace, who is a notable figure in the UK music industry.
PIAS is one of Europe's leading independent music labels, launched in 1982 by Kenny Gates & Michel Lambot.
The PIAS Group is headquartered in Brussels and has local offices in the UK, France, Germany, The Netherlands and Spain.
 
MODEL OF THE WEEK:moore
sexy-model-webgirl1.jpg
chembe kidevu lazima ukae.. am big fu of this sexy body

Issoufou ashinda uchaguzi wa urais Niger

Tume ya uchaguzi nchini Niger imetangaza kuwa kiongozi wa upinzani nchini Niger Mahamadou Issoufou ameshinda uchaguzi wa urais kwa asilimia 58 ya kura.
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou
Bw Issoufou aliwahi kushindwa na aliyekuwa rais, Mamadou Tandja, mara mbili katika uchaguzi za hapo awali.
Seini Oumarou mgombea wa kiti cha urais kutoka chama cha MNSD ambacho ni chama cha Bw Tandja, alipata kura aslimia 42.
Uchaguzi huo inatazamiwa kurudisha hali ya utawala wa raia katika nchi hiyo.

DIRTY MONEY WAKIKAMUA 
Didy,skyler and Dawn richard... ndani ya stage moja  HELO GOODMORNING..!!

QUEEN SUZY AKWEPA LAWAMA ZA MCHUMBA WAKE ARUDI MWENYEWE KUNDINI

MNENGUAJI mahiri aliyewahi kupitia katika bendi ya Fm na baadaye akaipa kisogo na kutimkia Twanga Pepeta kwa kile kilichodaiwa wivu wa mapenzi na mpenziwe G7, ambaye pia ni rapa wa Fm Academia, Suzana Godwin Chubwa ‘Queen Suzy', amerejea tena Fm Academia baada ya kushindwa kuvumilia kufanya kazi mbali na mpenziwe.

PROFILE:Sexy Sudanese Model Ajak Deng

 

Born December 7, 1989, Sudanese-Australian model Ajak Deng has walked for Jean Paul Gaultier, Chloe, Givenchy and Lanvin, in New York and Paris since her Melbourne Spring Fashion Week debut in 2008.

Yet most fans are not aware, Ajak Deng’s story is “as unique as her look”.
At age 12, violence forced Ajak , her mother, 4 brothers and 3 sisters to flee their home in Sudan for a refugee camp in Kenya.
sudanese model ajak deng breasts
It was there where Ajak’s mother died from malaria, leaving Ajak to take care of her younger sisters and brothers, including a 6 month old baby sister.
In 2005  Ajak and her family managed to  immigrated to Australia.
sexy sudanese model ajak deng
From Melbourne, Australia Deng signed to FRM Model Management and inspired by fellow Sudanese Model Alek Wek, she began building her career as a model.
sudanese model ajak deng in swimsuit
Ajak Deng would sign to New York’s IMG Modeling agency and walk in New York Fashion WeekParis Fashion Week and work campaigns for Benetton, Topshop, Banana Republic and Nordstrom. and
Sexy Sudanese Supermodel Ajak Deng
Ajak Deng was also featured in Interview, Arise and V magazines.
Despite having a busy modeling career, Ajak Deng still finds time to study for her Victorian Certificate of Education and hopes to study law.


INTERVIEW YA DAWN RICHARD WA DIRTY MONEY

""Dawn and Q chopped it up about chopping it down. They’re talking about boning all night long, ejaculating in faces, nipple rings...man, just cum on...
In a recent interview with Angela Yee, on her Shade 45 radio show Lip Service, the couple reveals a few details about how they get down in the bedroom.
They started by talking about their turn-ons. While Dawn chose to plead the fifth"

In a recent interview with Kontrol magazine, Dirty Money’s Dawn Richard opened up about the demise of her former group Danity Kane. The 25 year old touched upon accusations of favouritism from Diddy within the group, their break-up, her apprehensions joining a new group, and more.
Extract after the jump…

The fame seemed to quickly fall shortly thereafter, as many rumors began surfacing and individual members of the group felt what they believed to be favoritism on Diddy’s behalf. “Puff doesn’t favor people, he’s a businessman and knows talent; it’s that simple”, Dawn immediately responds back during the interview. Although the plug was pulled on Danity Kane, Diddy quickly resurfaced with a new group featuring himself, Dawn Richards, and Kalenna Harper, who called themselves “Dirty Money”. When asked about her initial feelings of possibly being in a new group she responds, “I had a lot of armor on, especially with the situation with Danity Kane. I had the thought process of them being forever, so the idea of being in a new group was sort of skeptical, but the crazy thing is I had the idea of being in a group, hence, the whole reason for me doing “Making the Band”. It was a bittersweet thing; I wanted to be a part of something like that, so it was exciting to still be a part of a group, yet, scary knowing that I had to learn to like and to rely on a new set of people, one of them being my boss! The same guy who fired my previous group”, mentions Dawn laughingly. “I also wanted to kind of prove that the things being said, like the solo stuff weren’t true, because they really weren’t. I was battling to prove people wrong, to prove myself right, and then be a part of what I really wanted. I’ve always wanted to be a part of a movement with a group of people who shared the same passion, which I thought was Danity Kane, but when it disappeared and when the opportunity arouse itself I thought about making the right decision of joining another group because of my differences that people would not have understood”
Reading this has me missing Danity Kane that much more. Not only did they blow Dirty Money out of the water, they possessed so much promise. Oh well…

No comments: